Mjadala mtamu sana huu.
Naomba kaka Mshana Jr ni tag kwenye huo mwingine uhusuo "laana"
Nashauri wale wafia dini wakae pembeni wabaki kuwa wasomaji tu maana kwetu tunao taka kujifunza mambo mapya mnakuwa kero.
Tulieni muwe wasikilizaji na wasomaji zaidi,pengine ikawajilia neema mkapata kujifunza...
Yote kwa yote nenda Regency Hospt Upanga bhana.
Yaani ukiandikiwa na Dr uenda maabara ujue ndo umefika na kibaya zaidi unaweza kufika asb baada ya mzunguko wa kuonana na Dr akakwambia nenda maabara kapime mfano damu, mkojo au choo ujue umekwisha, sikilizia music wake hapo, utashangaa saa moja...
Dah,imenisikitisha mno kwakweli.
Nakushauri nenda pale Shule ya Msingi Buguruni Viziwi watakusaidia,maana pale huwa mashirika na wafadhili mbali mbali hujitokeza mara nyingi sana hasa shirika la waamerika liitwalo Star Key hawa hujitolea kuwapima na kuwapa wahitaji hawa vifaa hivyo bure kabisa...
Kuna kitu nimejifunza hapa.
1.Dini ni imani tu lengo ikiwa ni kuifanya dunia kuwa na amani.
2.Vitabu kila imani ina vitabu vyake na ina viheshimu hivyo huwezi kumlazimisha mwenzio aamini chako.
3.Kila kiumbe kina Mungu wake.
4.Ulimwengu wa roho upo hii haina shaka na kila mmoja anao uwezo wa...
Hapa nakubaliana nawewe kabisa.
Tena watu wasilete kejeli ktk hili maana nature iko wazi pale jinsia mbili zilipo umbwa na kutengenezwa.
NDOA ilikua ni mpango kazi wa Mungu kwa maana ya kumpa Adam msaidizi ili wasaidiane ktk kila jambo,hivyo ni kweli kabisa kwamba hizi jinsia zinategemeana mno...
Ila mi nashauri wale wote wenye matatizo ya ndoa au mahusiano wanapoleta malalamiko yao humu basi wahakikishe au wajitahidi na wenzawao wanakuwemo humu tusikie pande zote ili kama ni ushauri tutoa baada ya kusikia toka kwa wote bila hivyo binafsi naona ni kupoteza muda tu…
Jitahidini iwe kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.