FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553

Kwenye hiyo series nimekuwa confused kisa kukosa uelewa wa hali ya juu, juu ya haya mambo... "FUTURE INFLUENCE PAST" Kongole Jr.Kaka mshana naomba nikupe assigment then tutakutana one day... Ila sjui kama unawezaga kuconcentrate na story za wazungu. Tafuta tv series inaitwa Dark. Inahusu story ya present, past na future! Naona kwenye story hapo uliingia ulimwengu wa kiroho kimya kimya... Mmi kwangu naona as ushatravel to ur future aisee![]()
PouwaKaka mshana naomba nikupe assigment then tutakutana one day... Ila sjui kama unawezaga kuconcentrate na story za wazungu. Tafuta tv series inaitwa Dark. Inahusu story ya present, past na future! Naona kwenye story hapo uliingia ulimwengu wa kiroho kimya kimya... Mmi kwangu naona as ushatravel to ur future aisee![]()
Umeshasoma kitabu cha A girl from tomorrow? Nadhani hiyo movie imeanzia kwenye hicho kitabu kwakuwa ni cha kitambo.. Mimi nilikisoma way back 90'sKwenye hiyo series nimekuwa confused kisa kukosa uelewa wa hali ya juu, juu ya haya mambo... "FUTURE INFLUENCE PAST" Kongole Jr.
Ooooh sijui nitakipata google kweli.. Ngoja nikitafute...Pouwa
Umeshasoma kitabu cha A girl from tomorrow? Nadhani hiyo movie imeanzia kwenye hicho kitabu kwakuwa ni cha kitambo.. Mimi nilikisoma way back 90's

Hivi umesema uliingia ulimwengu wa roho kimyakimya?
Duh.
You are a very complicated man.
jamaa anatishaMe upande wangu ni wa Mungu ila bado niponipo sanaMaisha unayoishi sasa yanachora ramani ya mwisho wako... Chagua upande sasa ili uweze kuchora ramani yako vema.. Jijulishe bila woga kuwa upande wangu ni huu
Ways of a great thinker...Kuna kitu nimejifunza hapa.
1.Dini ni imani tu lengo ikiwa ni kuifanya dunia kuwa na amani.
2.Vitabu kila imani ina vitabu vyake na ina viheshimu hivyo huwezi kumlazimisha mwenzio aamini chako.
3.Kila kiumbe kina Mungu wake.
4.Ulimwengu wa roho upo hii haina shaka na kila mmoja anao uwezo wa kutoka ndani ya mwili wake akiwa ktk roho na hata ukitaka ku-practice hilo unaweza ni maamuzi na kujiandaa tu kisaikolojia..
Na tena unaweza kabisa ukauona mwili wako uliko uacha hii si kwa uchawi wala dawa bali ni kiroho zaidi.(unaweza nisieleweke hapa lkn ndio ukweli))
5.Tusiwe wepesi kukanusha jambo bila kufanya utafiti au kujifunza kikubwa kuwa mpole ueleweshwe uliza ujibiwe.
Mwisho nawatakia amani ktk roho na mwili.

Jee ukiwa upande wa shetani unaondoka vizur au.Maisha unayoishi sasa yanachora ramani ya mwisho wako... Chagua upande sasa ili uweze kuchora ramani yako vema.. Jijulishe bila woga kuwa upande wangu ni huu
Kinachokufa ni mwili uharibikao, kilalacho ni roho, roho haifi... Kitakachohukumiwa ni software ya mwili (roho)... Mwili hauna nafasi tena kwenye hukumu kwakuwa hautakuwepoMtu anapofariki hulala ktk usingizi mzito, ndio maana biblia hutuambia kuwa, 'akafa akalala na baba zake' hapo zinasubiri hadi siku ya hukumu atakaposhuka 'mwana wa Adamu' (YESU KRISTO) kuja kuchukua walio wake (watakatifu) kasha wale wengine kutupwa jehenam.
kivp nambie bas.Inategemea
umemaliza kila kitu/ watu wanakariri vitu wanaleta hukuSi kweli huu ni upotoshaji wa shetani ili watu wengi wapotee na wasiende mbinguni na wasimtumainie Mungu
Duniani kuna nguvu mbili tu ya Mungu na ya shetani yaani ya wema au ubaya
Ili kwenda mbinguni inahukujkubidi uwe chini ya nguvu ya Mungu na hakuna yeyote anaeweza kwenda kwa Mungu bila kujitoa kikamilifu kwake na haikuhitaji kufanya chochote cha ziada ili kuwa kwake ila kila kitu kimeshaandaliwa kwa wote wanaokubali kumtii
Hayo mengine ni mbinu za shetani kuwapa watu matumaini ya uongo ili waweze kujitumainia wenyewe na mwisho wafe ktk dhambi zao na kuangamia ktk moto siku ya hukumu
Kwa mujibu wa biblia mtu anapokufa anarudi ktk hali aliyokuwa nayo ya kutojifahamu kabla hajazaliwa hadi atakapofufuliwa tena kwa ajili ya hukumu ndipo atakapopata tena fahamu na kwenda motoni au mbinguni kupo chini ya Mungu yaani siku ya hukumu tambua hakuna binadamu ama roho yoyote inayoweza isaidia roho nyingine kwenda popote pale mbinguni ama motoni hizo ni porojo za shetani
umemaliza kila kitu/ watu wanakariri vitu wanaleta hukuSi kweli huu ni upotoshaji wa shetani ili watu wengi wapotee na wasiende mbinguni na wasimtumainie Mungu
Duniani kuna nguvu mbili tu ya Mungu na ya shetani yaani ya wema au ubaya
Ili kwenda mbinguni inahukujkubidi uwe chini ya nguvu ya Mungu na hakuna yeyote anaeweza kwenda kwa Mungu bila kujitoa kikamilifu kwake na haikuhitaji kufanya chochote cha ziada ili kuwa kwake ila kila kitu kimeshaandaliwa kwa wote wanaokubali kumtii
Hayo mengine ni mbinu za shetani kuwapa watu matumaini ya uongo ili waweze kujitumainia wenyewe na mwisho wafe ktk dhambi zao na kuangamia ktk moto siku ya hukumu
Kwa mujibu wa biblia mtu anapokufa anarudi ktk hali aliyokuwa nayo ya kutojifahamu kabla hajazaliwa hadi atakapofufuliwa tena kwa ajili ya hukumu ndipo atakapopata tena fahamu na kwenda motoni au mbinguni kupo chini ya Mungu yaani siku ya hukumu tambua hakuna binadamu ama roho yoyote inayoweza isaidia roho nyingine kwenda popote pale mbinguni ama motoni hizo ni porojo za shetani