Mambo vp !!?? [emoji74] ebu soma kwa umakini post pia soma au pitia comment za wachangiaji wenzako unaweza jifunza k2 au kumpata m2 anaelewa zaid yko ukawa umeelewa kdgo au vp kaka napita tu maana nimekufatilia umekuwa ukibisha 2 sasa sijajua utaishia wp !
Umewaza vzr umeona mbal pia, huu uhuru unaoitajika hapa au unaotajwa hapa hata kwenye uchaguzi mkuu unaitajika pia 'maana tume ya uchaguzi inaundwa na chama tawala au serikali iliyoko madalakani kwaiyo tunapolalamika hapa kwenye uchaguzi mkuu watu wakilalamika msione kero !!!
Sasa hapo ndg yngu umeondoka na mawazo yako wakat tunayaitaj il na cc tusiojua mbele wala nyuma tupate ufahamu kidgo na ubongo upate chochote kitu ama nn ^funguka ndg na mawazo yko !!!.
Kitu cha wizi kitam sana endelea kutoboa ndg kama mtoto acha azaliwe hana makosa huyo si ulikojolea ndan au sasa ulitegemeaje hahahaaaa chezea mkojo wa moto ww .......
Usinune, ila kwa mtazamo wng we unaonekana n mjanja sasa wanaume wng kuish na wanawake wanaowazid kwa ujanja aiiseee n shda sio Elimu hapana ujanja wa mtaan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.