Recent content by cashimiry

  1. C

    Music na Maisha

    hoja mchanganyiko
  2. C

    Music na Maisha

    Wadau wanasema kuwa mziki wa Nigeria uko juu zaid ya Bongo.!!
  3. C

    Chizi wa Mapenzi

    Nina mjomba wangu wa kike anaesoma form three,amekuwa na mtindo wa kutoroka na kwenda kwa jamaa ake usiku kila mara pasipo sie kujua sasa tumeligundua na kuwafumania huo usiku na mpaka sasa hivi wapo ndani (jela) je!?mnanishauli niwafanyeje!?
  4. C

    Hivi kwanini mwarabu anamdharau mwanamke?

    Hakuna chuki ya aina yeyote ile bali ni misingi na sheria(matakwa)ya dini ndizo zinazo amrisha mwanamke kuwa katka mzingira ya namna hyo ila unapaswa kujua kuwa hakuna mtu anae thamininiwa kama mwanamke ktk dini ya kiislaam...inshaallar kwa leo mi naona niishie hapa..!!!!
  5. C

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 11 Machi 2014

    mimi naona kura za wazi ni poa tu ili maovu na naudanganyifu vi kome
  6. C

    Ushoga: Benki ya Dunia yasitisha mkopo kwa Uganda

    sawa ila la msingi ni kukwepa laana isio na manufaa hapo kesho kaburini...
  7. C

    Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

    hongera nyingi kwa rair wa zmbabwe coz sizan hata M/Mungu anapendezwa na vitendo hivyo....!!
  8. C

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    kaka hiyo niya kweli kabisa huja mistake hata neno moja 2habarishe kaka wengine wanazania ni kuingia2....!
  9. C

    Mume wangu kaibiwa nikiwa masomoni

    pole kwa yote unachotakiwa kujua hiyo haikuwa ridhiki yako..!
Back
Top Bottom