Habarini jamvini,
Leo katika pita pita zangu YouTube nimekutana na video ya wimbo wa msanii Moni Centrozone unaokwenda kwa jina la 'MIHELA'. Kilichonifanya nikaja na uzi huu ni zile pesa zinazoonekana kwenye ile video, ni nyingi saaana kiasi kwamba kama ni zake basi ni miongoni mwa wasanii...
Fid Q aliwahi kusema maneno haya kwenye mojawapo ya nyimbo zake, "Ni vema kujifunza mengi sio kujua kila kitu" na mie kwa kulitambua hilo ningependa kujuzwa kuhusu upepo na hewa.
Je, ni kitu kimoja au vitu tofauti? Nini chanzo cha upepo na hewa?
Afisa tarafa wa Themi Arusha Felician Mtahengerwa amepiga marufuku wakina Mama kubeba Watoto mgongoni na kwenda nao sokoni.
_
Amewataka kina Mama wote wenye Watoto waajiri Wasichana wa kubaki nyumbani na Watoto hao “Hatuamini kwamba Mama huyo atashindwa kupata elfu 30 ya kumlipa Msichana wa...
Habarini jamvini,
Leo ningependa tuongelee kidogo umuhimu wa blogs, websites na mobile apps kwenye biashara.
Biashara nyingi ndogo na za kati hufa ndani ya mwaka wa kwanza hadi mwaka wa tatu tangu kuanzishwa kwake. Kuporomoka hadi kufa kwa biashara hizo ni kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo...
Nyimbo ya Diamond Platnumz "Hallelujah" imemfikia mchekeshaji maarufu duniani Rowan Atkinson a.k.a Mr Bean.
Tazama / sikiliza remix ya 'Hallelujah' kutoka kwa Diamond Platnumz akimshirikisha Mr Bean.
Download mp3: http://bit.ly/2wx7Ple
Download our app: http://bit.ly/2yojmsf
For more info...
Habarini za muda huu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
line za uwakala zinauzwa kwa yoyote anayehitaji.
- tiGO Pesa (3)
- M Pesa (2)
- Airtel Money (2)
Bei ni 150,000 (kwa kila moja), Mahali zilipo ni Dodoma.
------- UPDATES ---------
- tiGO Pesa zimebaki 1
- M Pesa imebaki 0
- Airtel...
Habarini wanajamvi,
Watu wengi tumekuwa tukiishi kwa mazoea bila ya kuwa na udadisi kwa vitu tunavyofanya au hata kusema kila siku, yapo maswali mengi amabyo mtu anaweza kujiuliza kwa mfano: nini chanzo cha upepo? na vitu vingine vinavyofanana na hivyo lakini kutokana na uvivu wetu wa kufikiri...
Sheria Ngowi sio jina geni kwa watu ambao ni wapenzi na wafuatiliaji wazuri wa mitindo nchini Tanzania na dunia nzima, hivi karibuni mbunifu huyo wa mavazi amezindua mobile application yake ambayo mpaka sasa inapatikana kwa play store.
Sheria Ngowi – Програми Android у Google Play
Mobile...
Habarini wana jamvi,
Chumba cha biashara kinapangishwa Dodoma. Kipo maeneo ya airport mkabala na Chako ni Chako, mlango wake unatazama uwanja wa ndege.
Pia kuna kibanda (removable) kinachohamishika kipo maeneo ya Kilimani (chinyoya) karibu ukumbi wa Kilimani, Uzunguni Dodoma nacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.