Upo sahihitajiri mjinga ni faida...
kwanza kuwa maskini ni kama tusi ,,,,
Toa mfanoInawezekana,
mfano: utajiri wa kurithi, unaweza kuupata ukiwa mjinga kabisa!
Sierra Leone walichagua Rais mjinga?Wa kwanza anaitwa Michael Carroll, mwaka 2002 alikuwa akimiliki utajiri wa pound 9,700,000 ambazo ni zaidi ya bilioni 28 na milioni 600 za kitanzania ambazo ndani ya miaka mi5 kapoteza pesa ooote na sasa anafanya kazi katika kiwanda cha kutengeneza biskuti.
Wa pili anaitwa Valentine Strasser. Huyu jamaa alishawahi kuwa rasi wa Sierra Leone mwaka 1992 - 1996 lakini kwa UJINGA wake leo hii ni 'ombaomba'.
Wa tatu ni Idris Sultan, wote mnamjua
ufafanuzi tafadhaliAyo maneno yana maana tofauti na unavofikir wewe,...
Ha ha ha ha ha haIts better to cray on BMW rather than on bicycle
sent from my iPhone 6
Mtoto nenda ukanyonye. Kitoto kidogo unarumia iphone. Mweeeeufafanuzi tafadhali
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk