Recent content by captai

  1. captai

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Shida ya wavuta bangi yaani kitu kidogo anapanik akianza kuwaka mpaka moshi unatoka mdomoni
  2. captai

    JamiiForums Tanzania Mboga za makaburini

    Hapa kuna jamaa alivuta kinyesi chooni akaenda kumwaga shambani naskia amelima mboga na zimestawi kweli🤔🤔🤔🤔
  3. captai

    JamiiForums Tanzania CCM Tulimuacha Msigwa ajikaange Kwa Mafuta Yake Mwenyewe na Ndio Maana tulimzungusha Maeneo Mbalimbali Nchini. Ogopa Mungu na Teknolojia

    Kwa sasa nguvu pekee waliyobaki nayo chademwike niyakusukumia mavi tuuu
  4. captai

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wenye UKIMWI wanakuwa na hasira sana?

    Hivi ni mimi tu au nanyie wenzangu mmegundua ARV za raundi hii zina kauchachu flani hivi🫘🫘🫘
  5. captai

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Usikute hata marekani kwenyewe hajawahi kanyaga🦫🤣🤣🤣🤣
  6. captai

    JamiiForums Tanzania Nimekubali nimefilisika, kwa sasa natuliza ubongo

    Milion 30 duh
  7. captai

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Afadhari ukamuonyeshe tu daktari huku mtandaoni hakuna msaada utapata🕊🕊🕊ila una moyo mwanangu na picha umetuma😭😭😭
  8. captai

    JamiiForums Tanzania Ni Timu gani ya Taifa utakuwa unaishabikia katika Kombe la Dunia 2026?

    Timu atayochezea chama nitaishabikia
  9. captai

    JamiiForums Tanzania Kuna tabia ya kike imeingia miongoni mwa wanaume kulala kwenye vitanda vya kike

    Hata ukilala mwanaume haitakiwi kugeuka geuka unatakiwa ulale umenyooka mpaka asubuh 🤣🤣🤣
  10. captai

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa yangu matatani baada ya mke wangu kudai nimemdhalilisha

    Mwambie kama hataki kukusamehe basi aondoke unamuangalia tu anaendelea kula ugali wako hapo🏃🏃🏃🏃
  11. captai

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pombe ikitumiwa kwa usahihi ni burudani isiyo na mpinzani

    Acheni tuu yaani nilivoamka leo mungu anajua ivi hapa natembea lakini naona kama sikanyagi chini naelea flani ivi..nikipiga miayo nahisi kutapika😇😇
  12. captai

    JamiiForums Tanzania Hakuna kijana anakataa kazi yenye maslahi tatizo mabrother mnataka tuwasindikize kwenye utajiri

    Nina bosi wangu amenilipa mshahara baada ya wiki 2 nikamuomba aniazime laki 2 tutakatana kwenye mshahara eti ananambia inamaana hela yote ile umeshamaliza kama unaona kuweka pesa huwezi afadhari niwe nakuwekea😇🤣🤣🤣🤣aisee nimecheka kwa herufi kubwa Hivi mabosi huwa wanatuchukuliaje??
  13. captai

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Asilimia kubwa ya wanawake wa kiislamu ni wanyenyekevu sana

    75% ya wauza baa ni waislam
  14. captai

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbaya sana unamtongoza mdada anakujibu ana mtu!!

    Unamwambia ::huyo mtu wako mbona naskia amekufa😅😅
  15. captai

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    Anyway tufanye hiyo kansa wamepewa na mungu na kufia tumboni ni mungu kawauwa🤣🤣🤣
Back
Top Bottom