Recent content by captai

  1. captai

    JamiiForums Tanzania Kuna nini hasa kati ya Dotto Magari na Cherry Hollister? Beef yao imeanzia wapi mpaka kufikia tuhuma nzito kiasi hiki?

    Acheni masikhara bhana huyo binti ana ukimwi?
  2. captai

    JamiiForums Tanzania Dr. Nchimbi kaniacha kinywa wazi

    Zero brain
  3. captai

    JamiiForums Tanzania Kwanini siku moja tusiamue wanywaji wote tusinywe pombe hata mwezi mmoja ili wapunguze bei?

    bia nimekunywa gongo nimekunywa mbege nimekunywa msabe nimekunywa kangara nimekunywa komoninimekunywa ulanzi ndio usiseme wazuki nimekunywa choya nimekunywa pombe kali ndio usiseme banana nimekunywa wine nimekunywa nadhani imebaki kunywa pombe ya mavi tuu ili nifunge ukurasa
  4. captai

    JamiiForums Tanzania Watu 10 maarufu zaidi kuwahi kutokea duniani

    1:yesu 2muhaa madee 3diamond platnumz 4p square 5wema sapetu 6prison break 7yule jamaa wa soz 8daz baba 9anko nzala 10kinyambe
  5. captai

    JamiiForums Tanzania Dr. Nchimbi kaniacha kinywa wazi

    Ametuchana tu ukweli kwamba bimdash anapotezea suala la katiba ili asilipotezee basi wananchi tunatakiwa tutoe mihemko vinginevyo katiba mpya tutaiskia kwenye vitabu na kuisoma kwenye radio
  6. captai

    JamiiForums Tanzania Anaweza kuondolewa Madarakani, Iwapo...

    Steringi wakwanza kafa wapili anapumulia mashine ila tunaona hafi tuu inabidi tumuombe daktari achomoe tu hiyo mashine mgonjwa asiendelee kuteseka..
  7. captai

    JamiiForums Tanzania Lodge za Mtwara Mjini

    Mbili lodge pale ni 5000 chumba 35000 inabaki ulale bila nguo ukilala na nguo asubuhi unaamka na mifugo
  8. captai

    JamiiForums Tanzania Madogo wa Kiume, Acheni Tabia ya Kuja Inbox Kuomba Hela

    Wataje mkuu
  9. captai

    JamiiForums Tanzania Nchi imepitia mengi hii

    Hiyo pesa ya dhambi wangetumia hata kujengea vyoo tu mungu angewaelewa
  10. captai

    JamiiForums Tanzania JamiiForums ukiropoka ujinga kwenye uzi utajuta, No Delete Section

    nima sana🤣
  11. captai

    JamiiForums Tanzania Naona mwili nao umeanza kumkataa. Watanzania wamebakia na kete moja tu.....

    Msiba wa pili kabla ya kumaliza muhula
  12. captai

    JamiiForums Tanzania Nimezoea sana kudate na wazungu!

    Halafu wazungu wepesi sana kutoa 071.....
  13. captai

    JamiiForums Tanzania Bikra is overated

    Hivi vibikra mpaka kaje kapate akili ya kujua nini maana ya mke aisee umeteseka saaana
  14. captai

    JamiiForums Tanzania Bikra is overated

    Mi nimetoa 3 ila wote sijaishi nao nimekuja kuoa mwenye birika na maisha yanaenda na wao wameolewa hukooo...kuna dem aliniomba nimtoe tu bikra nikatoa akasepa akanipa na 40000....
  15. captai

    JamiiForums Tanzania Karia: Nataka kuifuta ligi ya under 20 kuna udanganyifu wa umri sana!

    Inabidi awashirikishe ccm kwanza wasije wakamkarabati
Back
Top Bottom