Yani kayumba ndo awe anamuweka uwoya mjini!? Haiwezekan... huyo demu huwa anatafuta watu wa kufichia mahusiano yake, itakua anatoka na mtu respected ambaye hataki media zimjue
Navyojua sio kwamba hazina dhamana.. issue ni kuwa mahakama za chini (hakimu mkazi na zingine) hazina uwezo wa kutoa dhamana kama kesi inahusisha zaidi ya tsh bilion 1.
Ila kesi hiyo ikifika mahakama kuu mtuhumiwa anaweza pewa dhamana kama atakidhi vigezo.
Tatizo ni hadi ifike mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.