Recent content by Candlestick

  1. Candlestick

    Freelancer mstaafu: Niuze swali lolote kuhusu Freelancing na Remote work

    Kwa nini umestaafu wakati miaka mi3 ni michache sana ktk mastery ya skill/career yoyote ambayo ni profitable?
  2. Candlestick

    Mahakama ipige Marufuku Watu kuingia na Simu au Kifaa chochote cha kurekodi ,kupiga picha au kuchukua Matukio katika kesi Ya Lissu

    Pamoja na kua na maslahi binafsi kwa hayo mnayoyaandika au kuyafanya lakini ifike hatua msiwe mnanafakari madhara yake. Pesa na madaraka havina thamani ikiwa vinapatikana kwa kumuumiza binadam mwenzio. Stop that sh*t men
  3. Candlestick

    Dark days 17/03/20

    L Iink yake mkuu
  4. Candlestick

    Kama unataka ufanikiwe maishani wape wanyama chakula

    Wakuu uzoefu wenu tafadhali. Vyakula pendwa vya paka ni vipi
  5. Candlestick

    Kufanya meditation bongo ni kazi mno! ile unafunga macho tu mawazo ya ada ya mtoto, ukijirudi kidogo mara inakuja harufu ya chemba imecheua kwa jirani

    Sure mkuu ni vile wanafanya vitu lakini hawajui logic yake. Mfano mtu anaposali ile rozari hajui state ya mind inakuwaje. Anapokua anazitamka zile sala (mantras) kwa kuzirudiarudia hawajui impact yake ni Nini ktk mind. Mfano mwingine ni zile poses+sala za Islam lengo ni kuichanel mind ktk kitu...
  6. Candlestick

    Kufanya meditation bongo ni kazi mno! ile unafunga macho tu mawazo ya ada ya mtoto, ukijirudi kidogo mara inakuja harufu ya chemba imecheua kwa jirani

    Nineamua kumuacha maana yupo tu kwa ajili ya kubishana na si kwenda kusearch juu ya mada. Anajibu I tu kirahisi eti theory 😄
  7. Candlestick

    Kufanya meditation bongo ni kazi mno! ile unafunga macho tu mawazo ya ada ya mtoto, ukijirudi kidogo mara inakuja harufu ya chemba imecheua kwa jirani

    Meditation ukiwa committed nayo itakufanya uweze kuijua kweli, ujijue wewe halisi (soul). It's a spiritual journey na sio religious journey, hata hicho unachokiita ushetani u takuja kugundua ni stori tu ambazo umesimuliwa/umefundishwa. The kingdom of God is within you, zama ndani yako utajijua...
  8. Candlestick

    Kufanya meditation bongo ni kazi mno! ile unafunga macho tu mawazo ya ada ya mtoto, ukijirudi kidogo mara inakuja harufu ya chemba imecheua kwa jirani

    You can't stop thinking instead observe/witness them without any judgement, they will stop themselves. Kikubwa uwe ktk comfortable pose na mazingira ambayo Ni tulivu. Wengine wanatumia mbinu ya kufocus kwenye kitu kimoja mfano breathing, mwanga wa mshumaa au repeated words (mantra) n.k...
  9. Candlestick

    Fahamu matokeo ya meditation

    Bonge la Uzi ktk topic ya meditation. Nimetia nanga mkuu
  10. Candlestick

    CHADEMA imfukuze Lissu sasa

    Kwa makosa yapi?
Back
Top Bottom