Recent content by candiasis

  1. candiasis

    Baadhi ya wanaume waliooa hawana haya wala soni

    Mke mmoja anapunguza nguvu za kiume
  2. candiasis

    Vijana wa Heche ni wakorofi, waonywe

    Tatizo la wananchi wa Tanzania kisu angechomwa askar ungesikia askar mzembe jeshi LA polis lina askar legelege Kachomwa huyo jamaaa kwan polis ana mamlaka ya kuua Tuwe wakweli humu nani alikuwa katika eneo LA tukio na nan anajua ukweli halisi Tuache kujenga hisia kwa mawazo hasi
  3. candiasis

    Korea Kaskazini Iko Tayari Kuharibu na Kuangamiza Silaha Za Nyuklia Hadharani

    Kuna watu watakuja kukwambia maandiko yapi hayo baada ya kwenda kusoma biblia wao watataka watafuniwe
  4. candiasis

    Mange Kimambi kuja na maandamano nje ya World Bank HQ; huu mkakati umenishtua sana

    Nitajieni nchi moja wapo duniani serikali yake yenye kutenda haki kwa kila mmoja wa wananchi? Baada ya hilo swali za kuambiwa changanya na zako
  5. candiasis

    Sauti Kubwa: Kikwete anajilaumu, angemjua vema Magufuli asingempa Urais

    Uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapo
  6. candiasis

    Mpambe ( ADC ) wa sasa wa Rais Dr. Magufuli nimemkubali na namtabiria makubwa mazuri

    Ukiwa na kitu flani bas hata mwenzako anacho inawezekana s kwa uwezo huo ukawa mkubwa au pungufu. Haimanishi kwamba kila mtu anajua kila kitu katika maisha yake hapana s hvyo tu ni kujenga heshima ambayo itakufanya uwe bora zaidi Ulimi humfanya mtu kuwa bora zaid
  7. candiasis

    Sauti Kubwa: Kikwete anajilaumu, angemjua vema Magufuli asingempa Urais

    Ukijua ukiichambua democracy na kuifahamu raha saana na ukiijua politics ma kuichambua raha saana Inaonekana wew ndio huelewi kile ambacho nakimaanisha ila unalazimisha nielewe kile unachokielewa wew kwa upeo wa chin ya kitovu
  8. candiasis

    Sauti Kubwa: Kikwete anajilaumu, angemjua vema Magufuli asingempa Urais

    Ningekuwa sina uhakika nisingeandika
  9. candiasis

    Kuna baadhi ya members wakichangia tu uzi wako unabuma sijui wana nyota gani?!

    Comment or like hazinamaaana saana katika thread ujumbe kama umefika umefika tu na pia huku weng washazoea maneno mepesi mepesi ukiandika kile cha ndani zaid watu hawacoment kwakuwa hawaelewi na wanaogopa kuingia katika mitego Na pia humu watu wana watu wao wakiona thread zao bas wanafuata...
  10. candiasis

    Sauti Kubwa: Kikwete anajilaumu, angemjua vema Magufuli asingempa Urais

    Democracy + politics in hv vitu ukiviweka kwa taifa changa na watu wake wakavielewa tofauti bas hilo taifa halitokuja pata maendeleo mpaka yesu atakaporudi ndio watapata akili
  11. candiasis

    Rais kushindwa kutumia gari la wazi leo Dodoma ni ishara kuwa hatuko salama au ametishwa?

    Ni kawaida tu unaufahamu ulinz wa rais wa marekani? Kweli? Acha kuwatisha watu hv kuna rais anaechukiwa zaid kama Donald trump marekan na dunian kiujumla tatizo mnapenda kujua kila aina ya ulinz wa viongozi.
  12. candiasis

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Itakuwa n upuuzi kuandamana wakati muhamasishaji yuko ulaya anakula bata na familia yake
Back
Top Bottom