It's okay no hard feelings..ila usione mtu kakosea ukaanza kushambulia kosa..uliza i phone users auto typing yake kama una speed katika typing na usiporudia kusoma txt lazma iwe ina makosa ya kutosha tu..
We jamaa ni kilaza kweli..ujinga unakusumbua..na even you ain't know lugha ya kiswahili kwangu ni lugha ya ziada sanaa..utabaki na ujinga wako wa kukosoa lugha za maandishi..ndio nyie nlisomea ualimu mnalia mpo nyumbani mnasubiria ajira so sio kosa lako..
Cdhani mkuu,maana kama amepewa atume io cash kwa mpesa ameshindwa na kule amesema katuma,ata kama lingekua suala la kutumia bank pia angekula ivyo ivyo..ni uroho tu wa vijana wetu.
Habarini wakuu,,
Napenda kuwataadhalisha wakuu au maboss wa kampuni hizi kubwa msiwaamini sana vijana wenu hasa kwenye suala la hela hizi ndogo ndogo..
Mm nafanya kazi kwenye kampuni flan ivi ambapo ni dealer wa kampuni kuu iliopo Dar es salaam..miezi iliyopita TMSM walitangaza Tender kama 3...
How to increase financial IQ-Robert kiyosaki
Huyu jamaa anaeleza jinsi ya kuwa smart na kipato chako na kufanya mambo makubwa,hajalishi kipato na anashauri kama kweli una nia ya kuwa tajili just get smart on spending and Saving..anashauri njia mbali mbali za investments kwa walionacho na jinsi...
Zote ulizotaja ni sababu izo..alikiba ndio ma fovourite artist kwa bongo ila bado halijui soko la mziki limekaaje na anaridhika mapema..ye anajua akishaachia ngoma ndio bas io kilichobakia ni show tu na mkwanja alioutarget kupata..hajui kutumia social networks kuexplore fans..akiendelea ivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.