Recent content by byakunu

  1. byakunu

    Nimepoteza kibati cha chasis number za gari

    Ukipigwa makofi vizuri utatueleza vzuri hicho kibati kimeenda wapi, mambo ya gari za kubatiza tunayajua sana michezo ya tunduma namanga na mipakani
  2. byakunu

    Ukizaliwa/ukizamia tu America 🇱🇷 tayari una asilimia 95% za kufanikiwa

    Hongereni kwa kuzamia nchi za watu iwe kihalali au isivyo kihalali, mnaenda huko mnaishia kuwa watumwa, mnakua desperate na maisha, mnatunza makaratasi ya kuishi huko na kuyathamini, badala ya kutunza fedha urudi nyumbani kwenu kuendeleza. Dunia ya sasa iilishsbadilika sana na hata kibiashara...
  3. byakunu

    Kwagilwa: Mtendaji Kata ya Kipunguni ‘B’ achukuliwe hatua kwa kuchelewa kufika kazini na kushindwa kutoa huduma kwa wananchi ipasavyo

    Muda wa kwenda na camera za millard ayo, na global tv, chocho kwa chocho kona kwa kona.
  4. byakunu

    Je, ushawahi nyandua mwanamke mpaka akaanza kukuhonga hela?

    Hongereni kwa kuwanyandua mademu mpaka wanawahonga hela, kuna siku manesi watawapongeza kwa kumaliza kikombe cha uji.
  5. byakunu

    Kwa mwenye kufahamu kinacho endelea ujenzi wa barabara jijini Mbeya

    Nipo mbeya saiz napita kwnye barabara mbovu hamna hata dalili ya mkandarasi kuwepo. Au ilikua ni michongo ya kampeni za oktoba tunatiki. Baada ya hapo mkandarasi kafungasha vilago?
  6. byakunu

    Kupitia kikundi, tunakabidhi gari kila wiki

    Gari kila wiki nyie mna yard au ICD ?? Aloo mjini hapa za kuambiwa changanya na zako
  7. byakunu

    Nini cha kuzingatia ukitaka kununua gari kwa mtu (used)?

    Kutest gari uiendeshe ni 30,000 kuja na fundi akague ili aikosoe au aisifie 20,000 hutak ukwende
  8. byakunu

    Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

    Zitajiondoa mara ngapi wakat zilisha jiondoa,?? Ni kama mazda cx5 zinavyo jiondoa zenyewe sokoni, Yeyote anae agiza au kununua dualis yard ni mtu wa kumzaba makofi mawili mazito namkutia bonge la singi
  9. byakunu

    Familia ya Magufuli itaitazama vipi familia ya Kikwete, Membe & Rostam?

    Nilisema tu kuna siku walio dhurumu uhai wa JPM watawekwa hadharani tayari wameanza kuonekana kwa pattern ndogo ndogo. Ile ni roho ya mtu, jaman ukiua mtu utajulikana tuu, hata umzike chumbani kwako kuna siku ataweweseka tu huko kaburini, na itafahamika
  10. byakunu

    Kipato cha Tsh. 3000 kila siku ni poa au napoteza muda na nguvu?

    Umeweka phobia nyingi sana kwenye maisha yako, kufeli kwako kunaanza na wewe mwenyewe, sina cha kukushauli zaidi ya kukuambia inuka anza kuikana hiyo roho ya woga ndani yako.
  11. byakunu

    Power Breakfast Clouds FM inaboa siku hizi

    Sasa kama unatumia spotify, podcasts, apple music hizo ni wewe masta.. ni interest yako binafsi sio public interest
  12. byakunu

    Power Breakfast Clouds FM inaboa siku hizi

    The world now is very fair to every one wajaribu hiyo idea yako it might work vzuri sana
  13. byakunu

    Power Breakfast Clouds FM inaboa siku hizi

    Ukiwa kwenye gari unaenda au unatoka kwenye mishe zako katika foleni za hapa na pale asubuhi au jioni unaskilizaga AMAPIANO tuu?
  14. byakunu

    Power Breakfast Clouds FM inaboa siku hizi

    Hoja si kwamba wasiende kusoma. Hoja ya msingi ni kwamba walio soma wana kipi cha extra ambacho ni very significant?? Uwasilishaji wa hoja umekua mbovu kipindi hakina ladha, mimi binafsi nabadilisha sana stesheni asubuhi, unlikely the previous times
Back
Top Bottom