Recent content by byakunu

  1. byakunu

    JamiiForums Tanzania Hivi BOT Mnasubiri Nini Kuweka Picha Ya Rais Samia katika Noti Zetu? Mnataka Taifa lifanye Maandamano yasiyo na kikomo?

    Wanakuchakata we jamaa, af naskiaa unakalia kigogo kwa nyuma
  2. byakunu

    JamiiForums Tanzania KERO Viongozi wa hospitali ya rufaa ya kanda KCMC, na serikali ya Tanzania,hamuoni madhira haya kwetu watumishi wenu tunaovuja jasho kila siku?

    Akili ukiwa nazo wewe inatosha mkuu, tuwekee salary slip yako hapa tuone matunda ya akili zako
  3. byakunu

    JamiiForums Tanzania KERO Viongozi wa hospitali ya rufaa ya kanda KCMC, na serikali ya Tanzania,hamuoni madhira haya kwetu watumishi wenu tunaovuja jasho kila siku?

    Malalamiko mareefu hayana paragraph inachosha kusoma. halafuu mambo ya ofisini kwako kuyaleta Jamiiforums na kulalamika ni majungu tu yasio na maana. Wewe ni staff wa KCMC unaonesha kukosa weledi. Tafuta wakubwa zako wa kazi huko kazini kwako wasilisha malalamiko yako au mfuate MOI, or RMO...
  4. byakunu

    JamiiForums Tanzania Heche: Mwenye mpira ndio anayekabwa

    ⊘ 𝘛𝘩𝘪𝘴 𝘮𝘦𝘴𝘴𝘢𝘨𝘦 𝘰𝘯𝘭𝘺 𝘢𝘱𝘱𝘦𝘢r𝘴 𝘵𝘰 𝘱𝘦𝘰𝘱𝘭𝘦 𝘸𝘩𝘰 𝘣𝘢𝘵𝘩.
  5. byakunu

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa, Gezaulole

    Mamlaka ya kudhibiti madalali ianzishwe haraka sana kudhibiti hizi bei za kitapeli, wote sisi tunajua kuwa nyumba hiyo haizidi hata milioni 120 kiwanja,kujenga mpaka finishing, acheni kuropoka bei za kitapeli. milioni 390 napata ghorofa kibada au hata huko geza
  6. byakunu

    JamiiForums Tanzania Watu wa Mwanza, Arusha na Mbeya wanafuata nini Dar?

    Umeandika hoja na una comment mwenyewe, tusipangiane wapi kwa kuishi kila mtu yuko huru kuishi anapo pataka ilimradi ni ndani ya mipaka ya nchi
  7. byakunu

    JamiiForums Tanzania Chalamila acha dharau kwa wawekezaji na wananchi

    Anatingisha meza ya GSM yenye vinywaji vya gharama, huyo hana muda atahamishiwa mkoa aende mikoani huko akahangaike na kesi za kubaka na kesi za kuku
  8. byakunu

    JamiiForums Tanzania Daraja lakatika Kigamboni wananchi wanahaha

    😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁 mtu mweusi muache aishi weusi wake
  9. byakunu

    JamiiForums Tanzania Eti Mapenzi yanauma? Hivi mnajuaa maumivu ya NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW AJIRA PORTAL nyie?

    Hauko peke yako, nmefanya interview 2 za BOT last weekend nilikua Mbeya na zote zimesoma "Not selected for oral interview" kudadek hapa niko nalewa siku ya 7 ya wiki nipo Bar na lewa nikiwa na andika hii comment.
  10. byakunu

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza kibati cha chasis number za gari

    Ukipigwa makofi vizuri utatueleza vzuri hicho kibati kimeenda wapi, mambo ya gari za kubatiza tunayajua sana michezo ya tunduma namanga na mipakani
  11. byakunu

    JamiiForums Tanzania Ukizaliwa/ukizamia tu America 🇱🇷 tayari una asilimia 95% za kufanikiwa

    TAKATAKA 🚮🚮🚮🚮🚮
  12. byakunu

    JamiiForums Tanzania Ukizaliwa/ukizamia tu America 🇱🇷 tayari una asilimia 95% za kufanikiwa

    Hongereni kwa kuzamia nchi za watu iwe kihalali au isivyo kihalali, mnaenda huko mnaishia kuwa watumwa, mnakua desperate na maisha, mnatunza makaratasi ya kuishi huko na kuyathamini, badala ya kutunza fedha urudi nyumbani kwenu kuendeleza. Dunia ya sasa iilishsbadilika sana na hata kibiashara...
  13. byakunu

    JamiiForums Tanzania Kwagilwa: Mtendaji Kata ya Kipunguni ‘B’ achukuliwe hatua kwa kuchelewa kufika kazini na kushindwa kutoa huduma kwa wananchi ipasavyo

    Muda wa kwenda na camera za millard ayo, na global tv, chocho kwa chocho kona kwa kona.
  14. byakunu

    JamiiForums Tanzania Je, ushawahi nyandua mwanamke mpaka akaanza kukuhonga hela?

    Hongereni kwa kuwanyandua mademu mpaka wanawahonga hela, kuna siku manesi watawapongeza kwa kumaliza kikombe cha uji.
  15. byakunu

    JamiiForums Tanzania Kwa mwenye kufahamu kinacho endelea ujenzi wa barabara jijini Mbeya

    Nipo mbeya saiz napita kwnye barabara mbovu hamna hata dalili ya mkandarasi kuwepo. Au ilikua ni michongo ya kampeni za oktoba tunatiki. Baada ya hapo mkandarasi kafungasha vilago?
Back
Top Bottom