Hauko peke yako, nmefanya interview 2 za BOT last weekend nilikua Mbeya na zote zimesoma "Not selected for oral interview" kudadek hapa niko nalewa siku ya 7 ya wiki nipo Bar na lewa nikiwa na andika hii comment.
Hongereni kwa kuzamia nchi za watu iwe kihalali au isivyo kihalali, mnaenda huko mnaishia kuwa watumwa, mnakua desperate na maisha, mnatunza makaratasi ya kuishi huko na kuyathamini, badala ya kutunza fedha urudi nyumbani kwenu kuendeleza.
Dunia ya sasa iilishsbadilika sana na hata kibiashara...
Nipo mbeya saiz napita kwnye barabara mbovu hamna hata dalili ya mkandarasi kuwepo. Au ilikua ni michongo ya kampeni za oktoba tunatiki. Baada ya hapo mkandarasi kafungasha vilago?
Zitajiondoa mara ngapi wakat zilisha jiondoa,?? Ni kama mazda cx5 zinavyo jiondoa zenyewe sokoni, Yeyote anae agiza au kununua dualis yard ni mtu wa kumzaba makofi mawili mazito namkutia bonge la singi
Nilisema tu kuna siku walio dhurumu uhai wa JPM watawekwa hadharani tayari wameanza kuonekana kwa pattern ndogo ndogo. Ile ni roho ya mtu, jaman ukiua mtu utajulikana tuu, hata umzike chumbani kwako kuna siku ataweweseka tu huko kaburini, na itafahamika
Umeweka phobia nyingi sana kwenye maisha yako, kufeli kwako kunaanza na wewe mwenyewe, sina cha kukushauli zaidi ya kukuambia inuka anza kuikana hiyo roho ya woga ndani yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.