Recent content by byakunu

  1. byakunu

    JamiiForums Tanzania Daraja lakatika Kigamboni wananchi wanahaha

    😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁 mtu mweusi muache aishi weusi wake
  2. byakunu

    JamiiForums Tanzania Eti Mapenzi yanauma? Hivi mnajuaa maumivu ya NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW AJIRA PORTAL nyie?

    Hauko peke yako, nmefanya interview 2 za BOT last weekend nilikua Mbeya na zote zimesoma "Not selected for oral interview" kudadek hapa niko nalewa siku ya 7 ya wiki nipo Bar na lewa nikiwa na andika hii comment.
  3. byakunu

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza kibati cha chasis number za gari

    Ukipigwa makofi vizuri utatueleza vzuri hicho kibati kimeenda wapi, mambo ya gari za kubatiza tunayajua sana michezo ya tunduma namanga na mipakani
  4. byakunu

    JamiiForums Tanzania Ukizaliwa/ukizamia tu America 🇱🇷 tayari una asilimia 95% za kufanikiwa

    TAKATAKA 🚮🚮🚮🚮🚮
  5. byakunu

    JamiiForums Tanzania Ukizaliwa/ukizamia tu America 🇱🇷 tayari una asilimia 95% za kufanikiwa

    Hongereni kwa kuzamia nchi za watu iwe kihalali au isivyo kihalali, mnaenda huko mnaishia kuwa watumwa, mnakua desperate na maisha, mnatunza makaratasi ya kuishi huko na kuyathamini, badala ya kutunza fedha urudi nyumbani kwenu kuendeleza. Dunia ya sasa iilishsbadilika sana na hata kibiashara...
  6. byakunu

    JamiiForums Tanzania Kwagilwa: Mtendaji Kata ya Kipunguni ‘B’ achukuliwe hatua kwa kuchelewa kufika kazini na kushindwa kutoa huduma kwa wananchi ipasavyo

    Muda wa kwenda na camera za millard ayo, na global tv, chocho kwa chocho kona kwa kona.
  7. byakunu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ushawahi nyandua mwanamke mpaka akaanza kukuhonga hela?

    Hongereni kwa kuwanyandua mademu mpaka wanawahonga hela, kuna siku manesi watawapongeza kwa kumaliza kikombe cha uji.
  8. byakunu

    JamiiForums Tanzania Kwa mwenye kufahamu kinacho endelea ujenzi wa barabara jijini Mbeya

    Nipo mbeya saiz napita kwnye barabara mbovu hamna hata dalili ya mkandarasi kuwepo. Au ilikua ni michongo ya kampeni za oktoba tunatiki. Baada ya hapo mkandarasi kafungasha vilago?
  9. byakunu

    JamiiForums Tanzania Kupitia kikundi, tunakabidhi gari kila wiki

    Gari kila wiki nyie mna yard au ICD ?? Aloo mjini hapa za kuambiwa changanya na zako
  10. byakunu

    JamiiForums Tanzania Nini cha kuzingatia ukitaka kununua gari kwa mtu (used)?

    Kutest gari uiendeshe ni 30,000 kuja na fundi akague ili aikosoe au aisifie 20,000 hutak ukwende
  11. byakunu

    JamiiForums Tanzania Nissan Dualis zitajiondoa zenyewe sokoni

    Zitajiondoa mara ngapi wakat zilisha jiondoa,?? Ni kama mazda cx5 zinavyo jiondoa zenyewe sokoni, Yeyote anae agiza au kununua dualis yard ni mtu wa kumzaba makofi mawili mazito namkutia bonge la singi
  12. byakunu

    JamiiForums Tanzania Familia ya Magufuli itaitazama vipi familia ya Kikwete, Membe & Rostam?

    Nilisema tu kuna siku walio dhurumu uhai wa JPM watawekwa hadharani tayari wameanza kuonekana kwa pattern ndogo ndogo. Ile ni roho ya mtu, jaman ukiua mtu utajulikana tuu, hata umzike chumbani kwako kuna siku ataweweseka tu huko kaburini, na itafahamika
  13. byakunu

    JamiiForums Tanzania Kipato cha Tsh. 3000 kila siku ni poa au napoteza muda na nguvu?

    Umeweka phobia nyingi sana kwenye maisha yako, kufeli kwako kunaanza na wewe mwenyewe, sina cha kukushauli zaidi ya kukuambia inuka anza kuikana hiyo roho ya woga ndani yako.
  14. byakunu

    JamiiForums Tanzania Power Breakfast Clouds FM inaboa siku hizi

    Sasa kama unatumia spotify, podcasts, apple music hizo ni wewe masta.. ni interest yako binafsi sio public interest
  15. byakunu

    JamiiForums Tanzania Power Breakfast Clouds FM inaboa siku hizi

    The world now is very fair to every one wajaribu hiyo idea yako it might work vzuri sana
Back
Top Bottom