Dalali wa kimataifa
Member
- Apr 10, 2025
- 40
- 44
Finishing imesimamaNYUMBA MPYA INAUZWA
IPO GEZAULOLE (BAMBA BEACH) DAR ES SALAAM🇹🇿
INA JUMLA YA VYUMBA VINNE YA KULALA,SEBULE,JIKO,STOO
BEI TSH 390M
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
#luxuryapartments #houseforrent #viral #houseforsale #plotforsale
Dalali tu kategesha ya kwake 100 juu hapoNyumba nzuri.
Hivi hizi bei mfano 390m zinapata wateja? Maana 390 naziona nyumba tatu kama hizo
Hatari. Hiyo nyumba bei yake kwa ujenzi wa mafundi wa kawaida ni 130. Kiwanja tuseme 30. Jumla 160.Dalali tu kategesha ya kwake 100 juu hapo
Nmechunguza nimegundua kuwa viwanja na nyumba bei huwaga juu sana sabab ya madalali. Wanaweka extra 50% au zaidi ya bei ya muhusika hasa majumba ya kuanzia milion 100Hatari. Hiyo nyumba bei yake kwa ujenzi wa mafundi wa kawaida ni 130. Kiwanja tuseme 30. Jumla 160.
Bei ya kuuza ikiwa 200/ 220 bado ni unyama
Mamlaka ya kudhibiti madalali ianzishwe haraka sana kudhibiti hizi bei za kitapeli, wote sisi tunajua kuwa nyumba hiyo haizidi hata milioni 120 kiwanja,kujenga mpaka finishing, acheni kuropoka bei za kitapeli. milioni 390 napata ghorofa kibada au hata huko gezaNYUMBA MPYA INAUZWA
IPO GEZAULOLE (BAMBA BEACH) DAR ES SALAAM🇹🇿
INA JUMLA YA VYUMBA VINNE YA KULALA,SEBULE,JIKO,STOO
BEI TSH 390M
🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
#luxuryapartments #houseforrent #viral #houseforsale #plotforsale
Hakuna nyumba ya 390 hapo.Mamlaka ya kudhibiti madalali ianzishwe haraka sana kudhibiti hizi bei za kitapeli, wote sisi tunajua kuwa nyumba hiyo haizidi hata milioni 120 kiwanja,kujenga mpaka finishing, acheni kuropoka bei za kitapeli. milioni 390 napata ghorofa kibada au hata huko geza