Kiukwelii tangia nizaliwee sijawahii kuhisi maumivu kama siku ambayo nilifanya interview mbili kwa siku moja pale Dodoma kipindi hicho mambo ya kufanyia online hayajaanza usiku saa mbili nipo zangu lodge nakutana na NOT SELECTED zote moja nimepata 49 na wamechukua hadi 50 na hapo nimetokea SONGEA hadi Dodoma.
Maumivu niliyoyasikiaa sijawahii kuyasikia tangia nizaliwee ila namshukuru Mungu hatimaye nilikuja kupata kazi kupitia ajira portal lakini yale maumivu sitokuja kuyasahau
Maumivu niliyoyasikiaa sijawahii kuyasikia tangia nizaliwee ila namshukuru Mungu hatimaye nilikuja kupata kazi kupitia ajira portal lakini yale maumivu sitokuja kuyasahau