Watu wa Mwanza, Arusha na Mbeya wanafuata nini Dar?

Watu wa Mwanza, Arusha na Mbeya wanafuata nini Dar?

Ukitaka kujua Dar ni uchafu ni wakati ndege inatua au inaondoka,chini utaona mji umejaa mabati ya kutu, barabara kama vichochoro na mji usiopangwa,aibu tupu
 
Dar maisha rahisi sana ndio maana kila mtu anapakimbilia, Dar ukiwa mtafutaji hukosi hela kwa siku.
Jichange uende Dodoma, wali maharage 2,000 bila hata mboga za majani. Maeneo mengi hayana daladala kwahio lazima upande bajaji au boda 3,000-8,000 inategemea na unapoenda.
Arusha Mbeya na Mwanza ni majiji yaliyotakiwa yawe mazuri yenye kuvutia ila ndio hivyo siasa za kipumbavu zimeharibu hayo majiji.
Baada ya miaka 20 Dodoma inaenda kuwa jiji zuri lenye kuvutia kuliko majiji yaliyokuepo mwanzo.
 
Dar maisha rahisi sana ndio maana kila mtu anapakimbilia, Dar ukiwa mtafutaji hukosi hela kwa siku.
Jichange uende Dodoma, wali maharage 2,000 bila hata mboga za majani. Maeneo mengi hayana daladala kwahio lazima upande bajaji au boda 3,000-8,000 inategemea na unapoenda.
Arusha Mbeya na Mwanza ni majiji yaliyotakiwa yawe mazuri yenye kuvutia ila ndio hivyo siasa za kipumbavu zimeharibu hayo majiji.
Baada ya miaka 20 Dodoma inaenda kuwa jiji zuri lenye kuvutia kuliko majiji yaliyokuepo mwanzo.
Haiwezi kufikia Mwanza cause Mwanza inaopendezeshwa na Zika Victoria pia. Dodoma hakuna ziwa..

Mwanza inaweza kuwa hata nchi huru na ikaenda vizuri sana
 
Dar maisha rahisi sana ndio maana kila mtu anapakimbilia, Dar ukiwa mtafutaji hukosi hela kwa siku.
Jichange uende Dodoma, wali maharage 2,000 bila hata mboga za majani. Maeneo mengi hayana daladala kwahio lazima upande bajaji au boda 3,000-8,000 inategemea na unapoenda.
Arusha Mbeya na Mwanza ni majiji yaliyotakiwa yawe mazuri yenye kuvutia ila ndio hivyo siasa za kipumbavu zimeharibu hayo majiji.
Baada ya miaka 20 Dodoma inaenda kuwa jiji zuri lenye kuvutia kuliko majiji yaliyokuepo mwanzo.
Acha uongo nimeishi dar zaidi yA miaka 30 juzi nimeenda njombe nimeuziwa chakula Cha ajabu 4500
 
Jiji la Dodoma makao makuu nchi Saa1 usiku hakuna daladala, umetoka zako mtoko so uanze kutafuta bajaji na bodaboda sasa si kama kijijini tu hio mtu uweke tu akilini nifanye yote lakini Giza likiingia Saa1 usiku niwe ndani kwangu kama kuku au mwanafunzi boarding, ila mambo mengine Dodoma Ina improve na angekuwepo late magufuli angeifikisha mbali zaidi Kwa haraka.
 
Mi nadhani siasa chafu imechangia kudidimiza majiji ya mbeya Arusha na dar, why sababu population ni kubwa, pesa ipo madini yapo shida Nini kuyajenga yawe ya kisiasa, angalau Arusha imejengeka japo mji mdogo ila ujenzi wa uwanja wa AFCON unaenda kunifanya iwe ya kisasa zaidi, mwanza inajiweza kikubwa miundo mbinu tu na Jiji lipangwe Haina shida ya kulijenga tena, mbeya Sina cha kuwasaidia matajiri kibao hela wanapelekaga wapi?
 
Umeandika hoja na una comment mwenyewe, tusipangiane wapi kwa kuishi kila mtu yuko huru kuishi anapo pataka ilimradi ni ndani ya mipaka ya nchi
 
Watu wana hama sehemu moja kwenda nyingine tokana na urahisi wa kufanikisha fursa anayoipambania.

Mfano, vijana wanaofanya masuala ya sanaa wanaamini wakifika Dar kuna urahisi wa kufanikiwa.

Vilevile wanaofanya kilimo, biashara za vyakula kwa ujumla wanaamini wakienda Mbeya, Morogoro n.k watafanikiwa hata kama wanatoka Dar...

Inategemeana..
 
Back
Top Bottom