Recent content by bwanawewe

  1. B

    Wakristo Wenzangu Hivi Kumchezea Mungu Ndombolo, Sebene Na Kwaito Alituagiza?

    Linda sana nafsi yako kwa kadri unavyoamini na uelewa wako kwa mujibu wa maandiko matakatifu! Ya ngoswe mwachie ngoswe na hukumu mwachie Muumba vinginevyo kwa kizazi hiki utapoteza "energy" na wakati bure ukitaka kuhoji mambo!
  2. B

    Yawezekana kuwepo urafiki usio wa kimahaba kati ya mwanaume na mwanamke?

    Mashoga (choko) na wanawake maslahi yao mamoja
  3. B

    Neno moja kwa mume, mke ama mpenzi aliyekusaliti

    Kuumia ni kutojitambua na kutoutambua wakati tulliopo! Hainiingii akilini mimi nijipange ktk siku zangu alonipa Mwenyezi Mungu kwa kumtegemea kiumbe mwingine! Halafu mifumo ya ki mapenzi ya mwaka 47 kweli tunaweza iweka akilini hii 2017? Kuumia ni kujitakia kwa kutaka "ideal"! Be happy chapa mwendo!
  4. B

    Dhambi ambayo hata shetani huikimbia

    Wataalam wengi wanaoelezea sababu mbambali zitakazosabaisha mwisho wa dunia (extinction ya 6) wanatoa sababu kuu 5! Mojawapo ni Binadamu anazidi kuwa mjinga (dumper)! Zamani tulitambua normal na abnormal lakini leo abnormal ni normal na watu wanashangilia! MWISHO WA DUNIA U-KARIBU!
  5. B

    Huyu dada simuelewi, anataka nini hasa

    Aliongea kwa mafumbo! Pesa na mali awezapata hata zaidi kwa wengine au kwa kuwa na wengi! Anaridhika na mgegedo wako hivyo hata kipato chako kikiyumba ataendelea kuwa nawe! Acha uchoyo!
  6. B

    Ushauri kwa wana JF kuhusu suala la mapenzi bila kinga

    35 yrs ukiongeza 20+ yrs ya kuishi kwa matumani (endapo itatokea) = 55+! Siyo mbaya sana, au una mpango wa kuhamia duniani?
  7. B

    Tukio gani linakufanya uamini kuwa Mungu yupo?

    UHURU WA WEWE KUHOJI INANITHIBITISHIA MUNGU YUPO!
  8. B

    Michepuko inavyoleta umasikini kwenye familia

    Kilicho haram kwako usikiharamishe na kwa wengine, kila mtu ana tafsiri yake kuhusu maisha! Hapa duniani tunapita, hatuhamii na kila mtu anambwembwe zake za jinsi ya kusafiri! Kuna asiyetaka hata demu, kuna wa demu 1 na wengine 2, 3, 4,.. wote wapo sahihi alimradi wako happy!
  9. B

    Mbowe: Hatukubali matokeo EALA na tutakwenda mahakamani

    Sijawahi kuviamini vyama vya upinzani, kwa sababu 90% au zaidi ya viongozi ni mapandikizi na wapinzani wa kweli ni watu wasiopewa nafasi ktk vyama hivyo! Kuweka wagombe 2 wakati wangeweza kuwa hata 8 kwa nafasi hizo mbili ni kama kutuaminisha kwamba chama hiko hakina wengine wenye uwezo! Napo...
  10. B

    Fedheha kubwa kwenye mapenzi

    Tatizo ni kuwa na mitizamo ya karne ya19 wakati tupo karne ya 21! Ukiwa na uelewa na mtizamo sahihi huwezi kuumizwa! Hakuna papuchi ya kujimilkisha, nukta.
  11. B

    Kina dada mliozaliwa miaka ya 80 your reign is over

    Umri ni namba tu, ngombe hazeeki maini!
  12. B

    Namna gani ya kufurahia mgegedo na mtu aliekeketwa?

    Asilimia kubwa ya wanawake wamekeketwa (rejea mila na desturi za makabila ya tz)! Unamaanisha wanaume wengi wapo katika dhiki kama yako?
  13. B

    Huyu mwanamke anapenda mapenzi kuliko kawaida mpaka nakuwa mtoro kazini

    Huyo hakuamini au ana wivu! Lengo lake ni kuhakikisha ankunyan'ganya risasi ulizonazo zote kila akuonapo ili usiweze winda ukutanapo na vitoweo vizuri!
  14. B

    Kukosea namba kwanipa msichana bikra

    Kuhangaika na bikra karaha sana, hata Yero anajua!
Back
Top Bottom