Linda sana nafsi yako kwa kadri unavyoamini na uelewa wako kwa mujibu wa maandiko matakatifu! Ya ngoswe mwachie ngoswe na hukumu mwachie Muumba vinginevyo kwa kizazi hiki utapoteza "energy" na wakati bure ukitaka kuhoji mambo!
Kuumia ni kutojitambua na kutoutambua wakati tulliopo! Hainiingii akilini mimi nijipange ktk siku zangu alonipa Mwenyezi Mungu kwa kumtegemea kiumbe mwingine! Halafu mifumo ya ki mapenzi ya mwaka 47 kweli tunaweza iweka akilini hii 2017? Kuumia ni kujitakia kwa kutaka "ideal"! Be happy chapa mwendo!
Wataalam wengi wanaoelezea sababu mbambali zitakazosabaisha mwisho wa dunia (extinction ya 6) wanatoa sababu kuu 5! Mojawapo ni Binadamu anazidi kuwa mjinga (dumper)! Zamani tulitambua normal na abnormal lakini leo abnormal ni normal na watu wanashangilia! MWISHO WA DUNIA U-KARIBU!
Aliongea kwa mafumbo! Pesa na mali awezapata hata zaidi kwa wengine au kwa kuwa na wengi! Anaridhika na mgegedo wako hivyo hata kipato chako kikiyumba ataendelea kuwa nawe! Acha uchoyo!
Kilicho haram kwako usikiharamishe na kwa wengine, kila mtu ana tafsiri yake kuhusu maisha! Hapa duniani tunapita, hatuhamii na kila mtu anambwembwe zake za jinsi ya kusafiri! Kuna asiyetaka hata demu, kuna wa demu 1 na wengine 2, 3, 4,.. wote wapo sahihi alimradi wako happy!
Sijawahi kuviamini vyama vya upinzani, kwa sababu 90% au zaidi ya viongozi ni mapandikizi na wapinzani wa kweli ni watu wasiopewa nafasi ktk vyama hivyo! Kuweka wagombe 2 wakati wangeweza kuwa hata 8 kwa nafasi hizo mbili ni kama kutuaminisha kwamba chama hiko hakina wengine wenye uwezo! Napo...
Tatizo ni kuwa na mitizamo ya karne ya19 wakati tupo karne ya 21! Ukiwa na uelewa na mtizamo sahihi huwezi kuumizwa! Hakuna papuchi ya kujimilkisha, nukta.
Huyo hakuamini au ana wivu! Lengo lake ni kuhakikisha ankunyan'ganya risasi ulizonazo zote kila akuonapo ili usiweze winda ukutanapo na vitoweo vizuri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.