osama BLD
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 561
- 295
Wana JF wenzangu napenda ushauri wenu
Mimi nina 35 yrs na ni baba wa watoto wanne. Bahati mbaya nimetengana na mama yao ndani ya miaka 2 iliyopita. Naishi Dar mwaka huu wa15.
Tangu naingia kwa kweli nimetembea na wanawake nisiojua idadi yao wanaeza wakajaa mwendokasi 5 kubwa, Mungu nisamehe. Lakini tangu hapo mwanzoni sikuwahi fanya mapenzi bila kinga miaka yote na nilipokuwa namsikia mwanaume mwenzangu akisema kafanya bila kinga nilimuona mtu wa ajabu na huenda aliefanya nae kamutoa Buguruni au Ambiance.
Sasa baada ya kutengana na mama watoto wangu nilikutana mdada mmoja anafanya kazi Barrick Gold Mining as an expeterate, she is 34. Basi nikaanza nae baada ya kupima ila mimi licha ya kupima sikuwa tayari kufanya bila kinga. Mwisho wa siku nimejikuta nimeenda bila kinga sasa baada ya hapo nimeshindwa kujizuia kila nikikutana nae situmii kinga.
Sielewi ni shetani gani huyu mpaka sasa baada ya kutengana na mama watoto nimetembea na wanawake karibu 40 bila kinga.
Ushauri ndugu zangu awali sikuwa hivo
Mimi nina 35 yrs na ni baba wa watoto wanne. Bahati mbaya nimetengana na mama yao ndani ya miaka 2 iliyopita. Naishi Dar mwaka huu wa15.
Tangu naingia kwa kweli nimetembea na wanawake nisiojua idadi yao wanaeza wakajaa mwendokasi 5 kubwa, Mungu nisamehe. Lakini tangu hapo mwanzoni sikuwahi fanya mapenzi bila kinga miaka yote na nilipokuwa namsikia mwanaume mwenzangu akisema kafanya bila kinga nilimuona mtu wa ajabu na huenda aliefanya nae kamutoa Buguruni au Ambiance.
Sasa baada ya kutengana na mama watoto wangu nilikutana mdada mmoja anafanya kazi Barrick Gold Mining as an expeterate, she is 34. Basi nikaanza nae baada ya kupima ila mimi licha ya kupima sikuwa tayari kufanya bila kinga. Mwisho wa siku nimejikuta nimeenda bila kinga sasa baada ya hapo nimeshindwa kujizuia kila nikikutana nae situmii kinga.
Sielewi ni shetani gani huyu mpaka sasa baada ya kutengana na mama watoto nimetembea na wanawake karibu 40 bila kinga.
Ushauri ndugu zangu awali sikuwa hivo