Recent content by bwananyama

  1. B

    PRESS RELEASE: Prof. Alexander Songorwa hajawahi kufukuzwa kazi ama kuadhibiwa

    Dah! Ndo Maana Sisi Tunayumba huku kwenye mapori ya akibaa!! loh!
  2. B

    Tiketi za ndege ziliwekewa 'cha juu' mara 16 serikalini!

    Jamani..!!! Polisi, pccb tunawategemea, lindeni mali za nchi si tu kwa vibaka wa kariakoo na wezi wa mitaani. Huu ni wizi mbaya unao rudisha nyuma maendeleo ya nchi. Cag report ni ushahidi wa kuwashtaki wenye dhamani ktk taasisi tajwa. Msiogope! Woga ni dhambi.
  3. B

    Pepoo! pepoo! tokaaa!

    haswaa kaka umenena!
  4. B

    Wanakigoma kutoa tamko kuwa wana vyama 3 tu vya siasa

    bora umesema wewe. Hivi vyama vya kuibukaibuka kama uyoga bora tuchukue kad zao tupate karatas za kuwash1a moto
  5. B

    Wanakigoma kutoa tamko kuwa wana vyama 3 tu vya siasa

    tatizo vyama vingine vinaibuliwa kama uyoga. Vinasababisha tuanze mwanzo. Huu ujinga, mbona vipo zaidi ya cdm na ccm. Iweje vianzishwe vingine, kama si vyama vya husda mbaya?
  6. B

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    doctor slaa
  7. B

    Wassira amjibu Lazaro Nyalandu!

    Kaka umenena, majangili wanapeta kwa mwendo wa kasi, Jana tu Tembo mmoja akiwa na mtoto wake wamepigwa risasi nne nne, na kufa hapohapo. Ni katika eneo fulani la hifadhi ya Selous. Nyalandu yupo sahihi kwani ripoti ya lembeli ililenga kuteka hisia za wengi na kushinda, lakini yeye anajaribu...
  8. B

    Ni vipi mtanzania mzalendo anaweza kuitumikia jamii bila kuwa mwanasiasa?

    tuwianishe posho, mishahara na mifumo mingine ya kiutumish wa umma ili isiwe na "gap" kubwa kati ya viongoz na wale wa ngaz za juu. Wabunge Wapunguziwe Posho
  9. B

    Hata kama hujui kusoma lazima utakuwa unajua kuangalia picha, hii picha itawaumiza sana akina Mbowe.

    Wapendanao (mbowe&zito) Wakigombana Chukua Jembe Kalime. ' Wakipatana Utabaki Na Aibu
  10. B

    Tundu hafai kuwa mwanasheria wa CHADEMA

    Hukumu ya "dizaini" hii inanikumbusha sinema ya kihindi iliyochezwa na Amita Bhachan,ni Ile Itwayo "hamza kanuni" . Peaple's Power will win this kind of bend down law.
  11. B

    Wana Azania tukutane hapa

    Azapound-the big nation enz za kwayu, mchwa, lyoba, shija, tokyo n.k = mi dv 1 ya kumwagilila mpaka kuzasa 1995>1998, na 1999>2001. ILA MADOGO WA SASA WANAAIBISHA CHAMA. SHAFII DAUDA (CLOUZ) EBU WAAMBIE MADOGO
  12. B

    Malipo ya ndege za coastal zituapo hifadhi selous

    Kabla ya mwaka 2009, pori la selous kanda ya utalii ya Matambwe, Ilikua ikikusanya zaidi ya 10mil kwa mwez kutoka kampuni ya ndege ya caastal, ikiwa kama landing fee.Fedha hizo zilikua zikitozwa pale pale pindi ndege zilipotoa. Lkn baada ya mwaka huo, utaratibu wa...
Back
Top Bottom