Kaka umenena, majangili wanapeta kwa mwendo wa kasi, Jana tu Tembo mmoja akiwa na mtoto wake wamepigwa risasi nne nne, na kufa hapohapo. Ni katika eneo fulani la hifadhi ya Selous. Nyalandu yupo sahihi kwani ripoti ya lembeli ililenga kuteka hisia za wengi na kushinda, lakini yeye anajaribu...