Recent content by bwambwaa2

  1. B

    Siku hizi vijana wanafaulu sana, nini kinachangia?

    Sio kweli, wengi ni weupe sana, nadhani wanakaririshwa tu. Sent from my SM-A205S using JamiiForums mobile app
  2. B

    Ni movie gani umewahi kuangalia ikakutoa machozi?

    Imitation of life.
  3. B

    Mama Samia Suluhu na Mwigulu Nchemba, huu ni ushauri wangu kwenu nnaoamini wenye manufaa makubwa kwa uchumi wa Tanzania.

    Napata shida kujadili hoja ya currency pegging kwasababu nilikutana nayo mara ya mwisho kwenye darasa la Prof. Wangwe mwaka 1981. Lakini hoja ya pili ya marekebisho ya kodi ina mashiko. Mfumo wetu wa kodi ni masalia ya siasa ya Ujamaa na sera zake za import substitution, ambapo viwango vya kodi...
  4. B

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Atendezwe....!!
  5. B

    Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

    Mfumo wa Kodi wa nchi yetu ulibuniwa enzi za Mwalimu, wakati nchi ikiwa na azma ya kujenga uchumi wa kijamaa. Ujasiriamali ulitambulika kama ubepari ambao ulikuwa moja ya vitu vya kupigwa vita. Mfumo wa Kodi ulibuniwa pamoja na mambo mengine pia kupambana na ubepari, na ndio maana masharti ya...
  6. B

    Kuna ulazima sare za shule za msingi kufanana nchi nzima?

    Naunga mkono hoja. Ni kuwafunza watoto ubaguzi na udini katika umri mdogo.
  7. B

    Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

    Kwanini bei ya gesi ilinganishwe na bei ya petroli wakati gesi hii inazalishwa hapa nchini, kusafirishwa kwa bomba (letu), au tayari Serikali imeshaingiza matozo ya REA, TBS, Railway Levy n.k, kwenye mfumo wa bei ya gesi??
  8. B

    Ninachokijua kuhusu Law School of Tanzania

    Wahadhiri wa Kitanzania hawajielewi. Matokeo ya wanafunzi kuwa mazuri inapaswa kuwa ni positive feedback kwa Mhadhiri kuwa amefundisha vizuri na kueleweka. Wanafunzi wanaojiunga na vyuo sio vilaza, kwani wote ni wahitimu wa vyuo/taasisi nyingine. Kama waliweza kufaulu huko walikotoka iweje...
  9. B

    Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

    Natafuta wimbo wa Jamhuri Jazz Band 'Mganga No. 1'. Naomba aliye nao auweke hapa.
  10. B

    Mfahamu Michael Grzimek, Mjerumani aliyekufa kwa kuanguka na ndege Ngorongoro mwaka 1959

    Nadhani Kiswahili cha vulture ni tumbusi. Tai ni eagle.
  11. B

    JKT yatangaza majina ya vijana waliohitimu Kidato cha Sita 2021 wanaotakiwa kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria

    Zamani wahitimu wote wa kidato cha sita, walikuwa wanalazimika kutumikia JKT. Siku hizi nasikia sio wote wanashiriki. Swali langu ni kwamba vigezo gani vinatumika kuteua nani waende JKT na nani wasiende?? Pili, faida gani anayoipata kijana kwa kwenda kutumika JKT, au ni hasara gani itayompata...
  12. B

    Hawa Kaizer Chiefs wana watu na uchumi wanao

    Kama sh. 156m za Bongo.
  13. B

    Rais Samia Suluhu: Kusanyeni kodi kwa kutumia akili, sio nguvu

    Tuna mfumo wa kodi ambao ulibuniwa kipindi Taifa linajenga uchumi wa Kijamaa. Kutumia mfumo huo huo kipindi hiki tukiwa katika mfumo wa Soko huria, ni kama kuingiza "a square peg in a round hole". Tunahitaji kufumua mfumo huu wa kodi na kubuni ambao unafanana na malengo yetu ya kiuchumi kwa sasa.
  14. B

    Kilinge kilipata shambulio... nikaunganisha na likizo

    Au ulikuwa Lushoto, unakamilisha zoezi la kumngoa yule Askofu??
  15. B

    Naomba kufahamu kwa anayejua wapi 'Cheese'/Jibini zinauzwa

    Irene Farm Lushoto, wanatengeneza jibini za ubora mkubwa. Ukipenda naweza kukupa contact zao.
Back
Top Bottom