denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Lile jambazi lililotupiga jana linalipwa randi 950,000 kwa mwezi, lilikuwa kazini serious hawa jamaa wako vizuri, hao wengine naendelea kuwatafuta taratibu.
Wengine: Lazarous Kambole randi 120,000 Leonardo Castro randi 180,000 Willard Katsande randi 200,000
Thamani ya timu yao kwa ujumla inakadiriwa kufikia randi bilioni moja.
Wengine: Lazarous Kambole randi 120,000 Leonardo Castro randi 180,000 Willard Katsande randi 200,000
Thamani ya timu yao kwa ujumla inakadiriwa kufikia randi bilioni moja.