Nilitaka/niliandika maneno mabaya Sana kuhusu Dini yako,
Kwabahati mzuri Niliikumbuka familiya ya jirani yangu jinsi tunavoishi kwaupendo, kusaidiana,
Pia hata Huo upande wa uchinjaji unaosema, Mimi ndio mchinjaji wake,
Kuku wake mwenyewe kanunua kwapesa zake mwenyewe
lkn Mimi ndio Namchinjia...
Unazingua kijana hii tambua Dunia haiwezi kuwa Sawa kila mtu anaangalia kwenye fursa ndio anakimbilia km walivyo baadhi ya Africa wanakimbilia ulaya pia baadhi yawatu ulaya wanakimbilia Africa kila mmoja kwake anaona fursa IPO Kwa upande wa mwingine
Mzungu anakimbilia Africa kuwekeza
Mwafrica...
Huyo binti anatakiwa aandaliwe wataalamu wasaikorojia ndio wampe taarifa
Bila yakufanya hivyo Kuna uwezekano mkubwa wakumpoteza nayeye kulingana nataarifa atakayofikishiwa
Napia itakua vizuri apewe taarifa akiwa hospitali au karibu Na hospitali ili lolote Likitokea iwe Wepesi kupata msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.