Habari za mchana ndugu zangu,
Jana kumekuwa na shida kuanzia saa nane mchana saa za Dubai/UAE kuhusu kutuma pesa Tanzania kwa njia zote: Western Union, Mpesa, Instant Cash, na bank transfers.
Mashirika haya yanadai kumekuwa na memo toka Central Bank ya Tanzania kuhusu utumwaji wa pesa Tanzania until further notice. Je, kuna mwenye habari kuhusu jambo hili? Na ni nini hasa kinaendelea? Watu wetu wanasumbuliwa. Mwenye uelewa wa jambo hili atueleze ama kutufikishia ujumbe tafadhali.
Jana kumekuwa na shida kuanzia saa nane mchana saa za Dubai/UAE kuhusu kutuma pesa Tanzania kwa njia zote: Western Union, Mpesa, Instant Cash, na bank transfers.
Mashirika haya yanadai kumekuwa na memo toka Central Bank ya Tanzania kuhusu utumwaji wa pesa Tanzania until further notice. Je, kuna mwenye habari kuhusu jambo hili? Na ni nini hasa kinaendelea? Watu wetu wanasumbuliwa. Mwenye uelewa wa jambo hili atueleze ama kutufikishia ujumbe tafadhali.