Recent content by Buricheka

  1. Buricheka

    Can u solve this???

    Wewe sio Gauss? Unatubu eenh? Uache dharau!
  2. Buricheka

    Can u solve this???

    Hiyo linki uliyo gugu ni wapi ilipopingana na definition yangu ya sequence and series? Hizi hesabu hapo juu mmesolve kwa kujaribu jaribu namba na, au, ku gugu, hawezi ku predict n-term! Umesema kuna formula ya ( n -1)th term kwenye hesabu ya pili hapo juu, iweke basi! Fibonacci Sequence...
  3. Buricheka

    Can u solve this???

    Hizi sio sequence and series. Sequence and series zina definition ya n-th term! Hizi hazina, jibu linapatikana kwa guess or google! Sequence and series sio hesabu za form two, sequence and series ni hesabu zinazoanza kutambulishwa form II. Katika Sayansi na Hesabu vitu "interesting" ni...
  4. Buricheka

    Can u solve this???

    Lete jibu kwanza ndo upate mamlaka ya kusema "it is not exactly Poincare's conjecture"! Sasa hivi hujui! "A bit more interesting" ndo nini, inakusumbua, sio? Na ukisha solve, andika the n-th term of the sequence. Ndio hapo kweli utahalalisha utashi wa kusema "hesabu hizi rahisi... sio...
  5. Buricheka

    Can u solve this???

    What's the n-th term of the sequence?
  6. Buricheka

    Uongozi Mpya wa CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu 2010

    Nilitegemea unatoa sifa zilizofanya uwarejeshe madarakani!
  7. Buricheka

    'Miafrika' ilipigwa lini/wapi teki na 'Mizungu'?

    Rais anakaa Ikulu, anakula Ikulu, hebu nisaidie, wewe ungetoa pendekezo Rais Muislam aende kufuturu wapi?
  8. Buricheka

    Kwa Wataalam wa hesabu

    Brother, hapo ndo nashindwa kukuelewa. Tunajua kabisa tuna dili na sifuri gawanya kwa sifuri, numerator na denominator zote zinajulikana, sasa utasemaje tena "kulingana na nature ya numerator na denominator"? Nature si ushaijua kaka? Ambayo ni sifuri juu, sifuri chini, sivyo?
  9. Buricheka

    Kwa Wataalam wa hesabu

    Baba Mkubwa, Zero divide by zero sidhani kama inawezi kuwa "a certain number depending on the nature of the numerator and denominator" hata siku moja. Hiyo "depending on" inakuja vipi tena wakati ushafahamu numerator ni zero na denomionator ni zero? Kitu chochote gawanya kwa zero ni undefined...
  10. Buricheka

    Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    Kutumia maneno sahihi ili iweje zaidi ya kuelewana? Ndege wa angani na wanyama wengine hawana "maneno sahihi," kama wana maneno, na bado wanakaribia kuelewana. Fahari la ngo'mbe linafahamishwa na jike kwamba sasa ni wakati wa kuumba ndama. Na katika zizi zima, fahari huwa halifati-fati jike...
  11. Buricheka

    Caption this picture: Jenerali Mwamunyange!

    "Tuliomba kumtunuku kamanda aliyeongoza majeshi, wewe ukalazimisha! Basi chana nywele or go get a haircut."
  12. Buricheka

    Sasha Obama Sneaks Up On Her Dad Barack In Oval Office

    Mfanyakazi wa kawaida akienda na katoto kake ofisini kakapita pita chini ya viti watakafukuza na mzazi wake. Next thing analeta ki intern kufanya kazi ya kupuliza, tutaaza mashitaka ya bunge... ulifanya hukufanya nyiingi
  13. Buricheka

    Mzee Tryphon Maji Amefariki Dunia

    Jamani marehemu hata hajazikwa, it is disrespectful to speak the truth about the dead. Mungu alitoa, Mungu ametwaa. Mungu kwa nini unatuchezea chezea kutoa na kuchukua? Lakini kazi yako haina makosa. Familia, ndugu na marafiki, poleni sana. Amina.
  14. Buricheka

    GE2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

    Leo mbona tutafaidi ma blogu ya chadema...
Back
Top Bottom