Recent content by bunited

  1. B

    Mbeya: Mtoto aliyezikwa jana akutwa chumbani kwake mara baada ya mazishi

    Kuna kitu cjaelewa hapa, imesemekana waliporudi walimkuta mtoto anashangaa, mara tena mtoto kazikwa leo.
  2. B

    Maalum kwa wanaohitaji kusafiri: Aina ya usafiri, bei za nauli, tahadhari za kuchukua

    Mbeya _ arusha kupitia dodoma, ipi gari nzuri kati ya Kiazi kitamu na gresious.
  3. B

    Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

    Inasemekana aliaga anaenda kwenye birthday ndio yalipotokea hayo. Kiukweli inauma sana. Mungu amuweke panapostahili
  4. B

    Njoo tukumbushane maneno ya kizamani

    Wowowo-ngongingo,kinabo,usilete shobo.
  5. B

    Kwanini unaogopa kifo?

    Siogopi kufa sbbu nakuwa sielewi nn kitatokea huko niendapo.ninachoogopa ni Ile kufukiwa na kuliwa na wadudu.
  6. B

    Tusalimiane kinyumbani!

    Mwashinjiadhe.
  7. B

    Rais Magufuli ateua Wakuu wa Mikoa, Makonda apangiwa Dar

    Hongera sana muheshimiwa paul. Tunaomba uzd kuchapa kazi
  8. B

    Serikali imefuta service charge za TANESCO (Kanusho)

    Safi sana km itakuwa kweli.wametuibia vya kutosha
  9. B

    Tatizo la umeme Arusha imekuwa kero

    Ni kweli kbsa.hili tatizo ss kwa Arusha limezd.Tanesco tunaomba mje mtoe maelezo hapa
  10. B

    Unapendelea Bosi wa kike au wa kiume?

    Napenda boc wa kiume na awe mchapakazi
Back
Top Bottom