50 wakatwa mshahara kwa kutokwenda kazini Desemba 26

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,536
12523072_1020111924719932_7879270700190473767_n.jpg
 
Kwa mwezi tsh 80000/- kukatwa kwa siku tsh 3000/-! Kwa hiyo usipoenda siku 30 utakatwa tsh 90000/-.... Duh!
 
Isije kuwa mhemko wa mwandishi ana kutokuwa chimba walalamika sawa sawa!

Kuna kufanya Kazi siku ya sikukuu na kujiingizia mara mbili ya malipo ya kiwango cha siku cha Mshahara husika.
Kuna kutokufanya Kazi siku ya sikukuu na hivyo mshahara kubaki kama kawaida!

Sasa isije kuwa hawa ambao hawakufika Kazini 26/12/2015 baada ya kukosa hiyo ziada ya malipo kama wenzao 20 waliofika kazini sasa wameligeuza kuwa wamekatwa Mshahara!

Kama wanalipwa 80.000/= kwa Mwezi kwa maana hiyo kwa siku walikuwa wanastahili = 3.076.9tsh/=
 
Back
Top Bottom