rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 18,071
- 25,747
hiyo 0 tarrif naiskia leo wateja ambao matumizi yao hayazidi unit 75 wanakuwa tarrif 4
Nilishawahi kuweka elfu 20,nikapewa unit moja,Tanesco naichukia sana.Taarifa nilionayo ya kuaminika ni kwamba serikali imeagiza watu wote kubadilishiwa taarif za tanesco na kusajiliwa taarifu 0 au D1 ambayo haina service charge za kila mwezi.
Mameneja wote wa tanesco wa wilaya wameagizwawahakikishe hili linafanikiwa .
Inaweza kua habari njema kwa watu wasiopenda service charges.
Itakua imekaa poa sana maana hilo no jipu uchungu. Liliiva kitambo ila walishindwa kulitumbua. Sasa naanza kuona watu walivyo ndumila kuwili. Mhongo huyu huyu alisema kama hatuwezi kulipa bei mpya za umeme tutumie vibatari. Kisa kaja mzee wa upako wanaamua kushusha. Anyway poa tu lakiniTaarifa nilionayo ya kuaminika ni kwamba serikali imeagiza watu wote kubadilishiwa taarif za tanesco na kusajiliwa taarifu 0 au D1 ambayo haina service charge za kila mwezi.
Mameneja wote wa tanesco wa wilaya wameagizwawahakikishe hili linafanikiwa .
Inaweza kua habari njema kwa watu wasiopenda service charges.
Mbona umeongea kama Bulembo?Hilo bado halijatekelezwa bali limetelekezwa... Kwakuwa Leo nimekatwa zaidi ya elfu sita
Mmmmmh...
Sidhani...
Ewura na rea wataishije???
Ewura na rea hawategemei service charge kuishi.Mmmmmh...
Sidhani...
Ewura na rea wataishije???
RTD.....Source???
Uwe unasikiliza taarifa vizuri......hii D1 inawahusu watu wa vijijini tu na wala haiwahusu watu wa mjini kabisa. Kuanzia sasa wateja wanaounganishiwa umeme vijijini watasajiliwa kwenye LUKU kama D1 customers ila matumizi yao ya umeme yatafuatiliwa over six months na endapo itabainika kuwa matumizi yanazidi 75 units in average, basi mteja husika atapelekwa T1. D1 haina service charge while T1 ina service charge. In addition, D1 uniti moja ya umeme in Tshs 100(122 ukijumlisha VAT REA na EWURA), yaani ndiyo cheapest tariff.Taarifa nilionayo ya kuaminika ni kwamba serikali imeagiza watu wote kubadilishiwa taarif za tanesco na kusajiliwa taarifu 0 au D1 ambayo haina service charge za kila mwezi.
Mameneja wote wa tanesco wa wilaya wameagizwawahakikishe hili linafanikiwa .
Inaweza kua habari njema kwa watu wasiopenda service charges.