Fanyeni kazi nyiye watu, msingojee kutaifisha taifisha, we hate communism, wavivu wengi hawawezi kuanzisha investments wasubiri kutaifisha, Azimio la Arusha limetutia umaskini! potelea mbali wewe na azimio la Tanga, you'll find out that unataifisha hata watu kama BAKWATA!