Recent content by bundas

  1. B

    CCM,TBC,TANESCO, EWURA Mnaishi maisha ya nchi gani?

    Wapendwa salam, Shirika la utangazaji la Taifa TBC limekuwa likirusha vipindi maalumu kadhaa featuring makampuni na authorities kama TANESCO na EURA to name the few, katika vipindi hivi ambavyo mara nyingi huendeshwa na waandaaji na waandishi waliobobea wanatoa maelezo yaleyale ya miaka nenda...
  2. B

    Libyan Lebels ni sawa na CHADEMA nchini, tukiwachekea watatuletea maafa!

    I hope alikuwa na maan ya to go to hell! Hawa jamaa wamerogwa sijui nini? huwezi amini kwa akili ya kawaida kila kitu hakiendi yeye anasema go! Go to where?
  3. B

    Libyan Lebels ni sawa na CHADEMA nchini, tukiwachekea watatuletea maafa!

    Wewe isitoshe ni mchawi,unapenda vipi matatizo??? CHADEMA siyo rebels, hawapo msituni wamo mjini humu humu, hawana silaha silaha mnazo ninyi CCM na CUF wakezenu! Serikali inaitambua kambi rasmi ya upinzani hebu sema kiongozi wake ni nani? wewe unatoka wapi, ni kweli kuuawa kwa Ghadafi siyo kitu...
  4. B

    Libyan Lebels ni sawa na CHADEMA nchini, tukiwachekea watatuletea maafa!

    Uelewa wako una utata, unahitaji uende shule upya ili uweze kuelewa, waasi na wapinzani ni vitu viwili ambavyo hata mwanao hawezi kuvichanganya! kwa hivi muulize atakufundisha, janga la taifa ni kitu ambacho kina muelekeo wa kuleta maafa, CHADEMA wana wabunge, madiwani na wanauongozi wa kambi...
  5. B

    Tamko la waislam wa Tanga

    Fanyeni kazi nyiye watu, msingojee kutaifisha taifisha, we hate communism, wavivu wengi hawawezi kuanzisha investments wasubiri kutaifisha, Azimio la Arusha limetutia umaskini! potelea mbali wewe na azimio la Tanga, you'll find out that unataifisha hata watu kama BAKWATA!
  6. B

    Tunawasubiri CHADEMA mje na sababu zenu Igunga!

    Unamaana ipi unaposema 'makini?' hivi ni hilohilo neno la kwenye kamusi! Sidhani kama unalielewa, kitu kimoja tu kitakacho kupa mwanga ktk umakini huo, niambie CCM mara ya mwisho kuhakiki mahesabu yenu ilikuwa lini? je pesa mlizowanunulia ndizi na mihogo waswekeni wa Igunga mnaweza kuzi-account?
  7. B

    Tunawasubiri CHADEMA mje na sababu zenu Igunga!

    Hii siyo sababu, mnashangilia kuchaguliwa na wananchi wa vijijini, wasio na upeo wowote wa kufikiria, wanao gawiwa pande za kanga na sukari, pilau etc, ambao haohao utawasikia hatan leo ukisikiliza kwenye media wakilalama na kuomba serikali iwasaidie shida hata za majumbani kwao, hawana hata...
  8. B

    On a Serious Note: Waziri wa Sheria anapokuwa hajui Katiba!

    It is a bizarre really! They always dwell on their fear which corrodes their minds, unfortunately it is a massive thought!
  9. B

    Sitta awasha moto mpya DOWANS

    Ajiuzulu! Wajua action speaks louder than words! akiweza kuonyesha huo mfano tutamtetea asiuawe na magamba, kwanza kesha kula sana yeye na mkewe aliyekamatwa akitoa rushwa na kuachiwa! Akijiuzulu na kuomba ulinzi against magamba atawaincourage wengine wote akina Ngereja wamfuate wanatamani...
  10. B

    Sitta awasha moto mpya DOWANS

    Pesa walizokopa kuendeshea uchaguzi wa 2005 kwa (DOWANS)-Mbunge Mstaafu wa Igunga kama wanavyomwita(Rostam) hazijarudi, sasa watanzania wote tunawajibika kulipa mikopo ya chama kimoja ambacho kimetuletea hasara ya kuendelea kwa miaka yote kilipokuwa madarakani tangu utaifishaji wa mali, vita vya...
  11. B

    Waziri mkuu mstaafu Warioba na TTCL

    Una maana gani sasa!??
  12. B

    Ukaguzi wa mahesabu ya chaguzi-Katiba mpya

    True that! They're extremely scared kwamba nchi itakapochagua viongozi wake kiuhakika madudu yao yatafichuka, magereza yatajaa au mafisadi wengi watakuwa asylum seekers! lakini wazo moja rahisi na lenye faida kwao, wakumbuke kwamba hata Rupia Banda hakutegemea kudondoshwa but he saw it coming...
  13. B

    On a Serious Note: Waziri wa Sheria anapokuwa hajui Katiba!

    Huyo hajui kitu! kwanza alikataa ati serikali haina pesa ya kubadili katiba akili yake inatia mgomo! Thamani ya mamilioni inapotea hauwezi kuilinganisha na uozo uliopo, katiba itabadilika kwa nguvu na gharama yoyote!
  14. B

    Hatma ya Katiba Mpya: Kikwete na Karata ya Kisiasa Kuangamiza Taifa 2011

    We nawe mpaka msukumwe kwa vidole vitano ndo mseme, sasa si utulie watu tujadili, you don't have a will at all, kwanza mnafikiria nafasi zenu za burebure mtazipata vipi! Huo ni UKOMA kiakili!
  15. B

    Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

    Unashukuru nini sasa, it seems hata wewe huelewi unachoambiwa! Moderator can you block guys like this! kwanza anachafua hali ya hewa tu!
Back
Top Bottom