Recent content by Bukirilo

  1. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Leo ilikuwa zaidi ya blue monday

    Pole sana ... bombe ni mbaya sana hasa kama unakunywa ukiwa na ratiba ya majukumu ya kazi kwa kesho .
  2. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu; Mashihidi upande wa mshitakiwa tuanze na Samia

    Tatizo Samia na washauri wake hawajielewi .... pale tu walivyoona kuna kuwa na mashinikizo ya wanasiasa ,viongozi waandamizi kama kina Jaji warioba , Mama tibaijuka nk , Taasisi za dini kama TEC na jumuia za ulaya na haki za binaadamu kwa mataifa wote wakitaka kesi ifutwe ila wao Samia ,Kikwete...
  3. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Nilishawishiwa kupewa fedha ili niingize chama kwenye uchaguzi

    Kuna muda nahisi huu ni wakati wa Mungu kuwapa wa TANZANIA Uhuru wa kweli ...... hebu fikiri walihisi labda Tundu Lissu ndiye tishio kwao wakambambikia kesi ya uongo ila huyu makamo wake ( HECHE ) anaeleweka vizuri na ndiye mwiba kuliko . Sasahivi hata radio zimeshitika kuwa ukitaka listener (...
  4. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Katambi: Oktoba 29 yaliyotokea kwao ilikuwa sherehe wakahamasisha watu wakawavutisha bangi na kuwapa viroba wakaingia barabarani

    Mama Angu mdogo aliuawa akienda kununua vocha .... mpaka leo ukoo wote tumeshindwa kusahau ..... harafu anatokea kichaa kama huyu anaongea hivi daaah ?? Na yule Boss wake naye anasema wa Zanzibar hakuwafinya ila wa Tanganyika ....Eeeh Mungu sisi tumeshindwa kusamehe tunakuachia wewe
  5. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Kazi nzuri mkuu.
  6. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Wazanzibar wote tulishikana katika Uchaguzi, ndio maana ikapandisha ushindi hadi 97%

    Hivi kwa nn bado anapenda kuzungumzia mambo mabaya ya uchaguzi ? Hajui tu anatutonesha maumivu ?? Au anapenda kuendelea kutukanwa ?
  7. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Nimepata Milioni 2 Biashara ya Chips naona ngumu, nawaza kuwekeza kwenye hisa

    Hata mimi nasubiri mawazo ya wengine ... MWENYE ELIMU TAFADHALI.
  8. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Kama father Kitima alikuwepo basi kikao kilikuwa cha moto sana .... hapindishi maneno yule mwamba
  9. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Kitu cha kwanza lazima ujuwe kuwa madhumuni ya mlango ni usalama na falagha ...kujibu.swali lako kwanza inategemea na eneo ulilopo lina mazingira ya kiusalama kwa ukubwa gani ? Uimara wa uzio wa nyumba unavizuizi ya usalama kwa ukubwa gani ? Mimi mwenyewe napenda sana mlango wa bao na kusiwe na...
  10. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Kalapina ampondea Sugu

    Pia ana mabasi ya Jm .. maduka ya nguo nk . Kwa ufupi tu hana njaa
  11. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Ni laana kubwa kwa mwanaume kutozaa mtoto dunian.

    Kuwa na Amani Mkuu . Mengine muachiye muumba
  12. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Ni laana kubwa kwa mwanaume kutozaa mtoto dunian.

    Sio kila kitu unachowaza lazima uanzishe mada. Hiki ulichoandika ni kibaya sana (1) unawapa watu wasio na watoto ugonjwa wa ki saikorojia (2) pili ni kama dhihaka na unakufulu ... Labda nikuulize !! Vp wewe mwenye watoto kama ikitokea wengine wakawa makahaba na wengine majambazi wauaji ?? Harafu...
  13. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Hata mimi niliwatuhumu Polisi mwanzo ... ila kwa Hali halisi ilivyo kumbe polisi hawastahili kutupiwa lawama ... tuwe lunatii sheria bhana
  14. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Figo kuanza kufeli: Fahamu dalili na tiba yake ya mimea

    Dr watu wanateseka sana na wengi hutumia fursa hii kupata mafanikio .. please naomba sana usifanye hivyo . Toa namba yako mimi niwe ushuhuda kwa wengine
Back
Top Bottom