Wakati huo huo unamuacha mwizi wa mabilioni ya pesa anayewaibia wa Tanzania na kusababisha vifo vya watu masikini wanaokufa kila leo kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu ...???
Sio polisi wote ni wakatili .... wengine ni wema wachaMungu wazuri sana na wanakasirishwa na haya mauaji yanayotokea ,tatizo ni mifumo mibovu ya wakubwa wao inawakatisha tamaa
Huyu Waziri kapewa ofisi inayomzidi uwezo ..... anafanya vitu vya kitoto sana .....hatuna la kufanya katika serikali hii wenye akili wanatupwa bali wajinga wanapewa cheo
Hivi na sisi wa Tanganyika , hivi tumeshindwa kabisa kwa umoja wetu kukataa hii mifumo ya watu tena kakikundi ka chache kanachoamua kuua maelfu na kuumiza ,kuteka na kudhurumu watanganyika.?
Lissu sio mtu wa kawauda... one of the genius adimu sana kuwahi kutokea ... anaakili nyingi sana na zaidi kuna kitu Mungu anataka amtumie kwa nyakati zijazo..... kwanza ni ajabu sana kukataa mabegi ya pesa alizoletewa na Abdul
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.