Iyo pesa ni nzuri sana .Tuliza akili kwanza usiwekeze katika biashara moja . 2 usiwekeze katika biashara yenye mtaji mkubwa bali tafuta biashara ndogo yenye mzunguko mkubwa mfn Biashara kuuza chakula . 3. Hakikisha iyo biasha unaisimamia kwa 90%.... UTAKUJA KUNISHUKURU .
Amejitangaza kashinda kwa kura 98 %. Ila anajificha katika jeshi . Sawa ila roho za wa Tanganyika 13000 na vilema 5600 bado damu zao zitaongea ... ni swala la muda tu kuna mambo utayafanya ki binaadam ila MUNGU yupo . Samia umeua watu wengi sana kisa madaraka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.