Tatizo Samia na washauri wake hawajielewi .... pale tu walivyoona kuna kuwa na mashinikizo ya wanasiasa ,viongozi waandamizi kama kina Jaji warioba , Mama tibaijuka nk , Taasisi za dini kama TEC na jumuia za ulaya na haki za binaadamu kwa mataifa wote wakitaka kesi ifutwe ila wao Samia ,Kikwete...
Kuna muda nahisi huu ni wakati wa Mungu kuwapa wa TANZANIA Uhuru wa kweli ...... hebu fikiri walihisi labda Tundu Lissu ndiye tishio kwao wakambambikia kesi ya uongo ila huyu makamo wake ( HECHE ) anaeleweka vizuri na ndiye mwiba kuliko . Sasahivi hata radio zimeshitika kuwa ukitaka listener (...
Mama Angu mdogo aliuawa akienda kununua vocha .... mpaka leo ukoo wote tumeshindwa kusahau ..... harafu anatokea kichaa kama huyu anaongea hivi daaah ?? Na yule Boss wake naye anasema wa Zanzibar hakuwafinya ila wa Tanganyika ....Eeeh Mungu sisi tumeshindwa kusamehe tunakuachia wewe
Kitu cha kwanza lazima ujuwe kuwa madhumuni ya mlango ni usalama na falagha ...kujibu.swali lako kwanza inategemea na eneo ulilopo lina mazingira ya kiusalama kwa ukubwa gani ? Uimara wa uzio wa nyumba unavizuizi ya usalama kwa ukubwa gani ? Mimi mwenyewe napenda sana mlango wa bao na kusiwe na...
Sio kila kitu unachowaza lazima uanzishe mada. Hiki ulichoandika ni kibaya sana (1) unawapa watu wasio na watoto ugonjwa wa ki saikorojia (2) pili ni kama dhihaka na unakufulu ...
Labda nikuulize !! Vp wewe mwenye watoto kama ikitokea wengine wakawa makahaba na wengine majambazi wauaji ?? Harafu...
Dr watu wanateseka sana na wengi hutumia fursa hii kupata mafanikio .. please naomba sana usifanye hivyo . Toa namba yako mimi niwe ushuhuda kwa wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.