Walimkamata Tundu Lisu wakadhani chama kitayumba ... nondo anazozitoa huyu Heche na kuzidi kukistawisha chama ukizingatia CHADEMA walizuiliwa kufanya mikutano ila bado wanasonga .hii ndiyo hofu inayowatisha ..... na mimi nashauri Mhe Heche pia punguza interviews za media . Sasahivi Radio , TV...
Hivi unajua kuwa wewe ndiye chanzo cha Mama wa watu kutukanwa ??? Japo ni vigumu kusahau lakini wewe ndiye unazidi kutukumbusha vilio vya October 29 . Pumbavu sana
Hivi wewe unaijua katiba ya Tanzania kweli ? Hao majaji wa kuu wa mahakama wanateuliwa na Rais , IGP ,Mkuu wa Majeshi nk ..... Jiulize tu hata kwa ufahamu wako mdogo ? Kama kweli hausiki na mauaji yale na utekaji wowote , mbona hajawahi kuwawajibisha hata tu kwa kukataza kwa unafiki matukio haya...
Hata kama muasisi wa mauaji alikuwa Magufuli kuendelea kuua kwa kisingizio mbona fulani aliua nadhani adhabu yako itakuwa mara mbili zaidi ....je unadhani kila anaekukosoa adhabu ni mauti ??? Mtaua wangapi ? Maana kila siku ndiyo wanazidi tu kuchipuka .... ila damu ya mtu haijawahi kupotea bule...
Mbona sio jambo la kushangaza ?? Unyanyasaji wawa Zanzibar kwa wa Tanganyika haukuanza leo labda kama hukuwahi kuishi Zanzibar.... sema kwa sasa wako proud sana kwa sababu Tanganyika haina kiongozi wa kuwatetea ..... yote kwa yote ni kutokana na ujinga tulionao wa Tanganyika . Hatuna umoja...
Mbona huyu nilikuwa ninamuamini sana . Karogwa lini ? Shida ukiwa ccm ni kama una laana , hata huwe na hekima ya kiasi gani kuna siku utaongea matapishi .... kama huyu kwa kauli yake hii kurudisha imani tena ngumu sana .
Ma chawa tu hawa ..... hawa ndiyo chanzo cha kudidimiza uhuru wa habari kwa ku deal na waandishi wanaouliza maswali magumu kwa serikali. Combo hoki kinatumika ki ccm sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.