Recent content by Bukirilo

  1. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo amtembelea Rais Samia Ikulu na kumfariji baada ya kufiwa na Mume wake

    Huyu ndiye alituponza tukafungiwa JF. Sasa kwa mara nyingine tena kakumbatiwa
  2. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Heche ndio msaliti wa chadema

    Yan ungekuwa karibu yangu ningekutaka bonge la kibaooo ... hivi wewe unamjua vizuri Heche wewe ??? Mtaangaika naye sana ila hamuwezi kumkatisha tamaa
  3. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Nchi ina Mahakimu wapuuzi, Wajinga walokoswa Hekima na Busara. Unamfungaje Mtu Miaka 30 Jela, kisa Bangi Gramu 56?

    Wakati huo huo unamuacha mwizi wa mabilioni ya pesa anayewaibia wa Tanzania na kusababisha vifo vya watu masikini wanaokufa kila leo kwa kushindwa kumudu gharama za matibabu ...???
  4. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Hivi unamjua Witney Houston wewe ? Hakuna na wala hatatokea
  5. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Poleni jeshi la polisi kwa msiba huu mzito

    Sio polisi wote ni wakatili .... wengine ni wema wachaMungu wazuri sana na wanakasirishwa na haya mauaji yanayotokea ,tatizo ni mifumo mibovu ya wakubwa wao inawakatisha tamaa
  6. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Brenda Rupia Pongezi kwa Ujasiri uzuri na uwezo wako

    Ka dada kanaakili nyingi sana .... mtulivu na anaeendana na kasi ya sasa ya uongozi wa CHADEMA na ni mzuri kweli ki uumbaji
  7. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Serikal itenge budget ya trillion 2 na zaidi kwa ajili ya kununua squatter mfano Manzese, Kigogo n.k ili kuziboresha

    Maoni yako yako mbele ya muda .... ila sio kwa serikali hii ya ccm
  8. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Katambi ampa onyo kali Afande Sele. Hatufanyi mzaha

    Huyu Waziri kapewa ofisi inayomzidi uwezo ..... anafanya vitu vya kitoto sana .....hatuna la kufanya katika serikali hii wenye akili wanatupwa bali wajinga wanapewa cheo
  9. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Hebu Tazama. Hii Ndiyo 'Cream' ya Uongozi wa Taifa Hili.

    Mwenye akili ni Mwinyi tu. Mbona Kikwete hujamuweka wakati ndiye Controller
  10. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Wabara waliobaki CCM ni wale soft (Marojo tu)

    Senge wewe ... unajiona uko salama ila subiri adhali za li katiba hili libovu zikupate ndiyo utajua .... au wewe ni mZanzibar wale waliwao mikundu
  11. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali (JasusiTV): Dr Emmanuel Nchimbi Yuko mahututi; Taarifa kamili hii hapa

    Hivi na sisi wa Tanganyika , hivi tumeshindwa kabisa kwa umoja wetu kukataa hii mifumo ya watu tena kakikundi ka chache kanachoamua kuua maelfu na kuumiza ,kuteka na kudhurumu watanganyika.?
  12. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Shetani hana Rafiki: Baada ya Nchimbi kushughulikiwa ni yupi mwingine anafuatia (WHO IS NEXT?)

    Yeyote atakaye mpinga shetani
  13. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Inaelekea Hapendi Kukosolewa na Wakristo wa CCM

    Hao ni baadhi tu ongeza na ANNA TIBAIJUKA , SINDE WARIOBA ,SIMBA CHAWENE, NAPE MNAUYE ,
  14. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Kweli Tundu Lissu ana nguvu ya ajabu. Watu wapo uraiani kama huyu anaitwa Habibu mchange bado wanapambana nae akiwa Magereza

    Lissu sio mtu wa kawauda... one of the genius adimu sana kuwahi kutokea ... anaakili nyingi sana na zaidi kuna kitu Mungu anataka amtumie kwa nyakati zijazo..... kwanza ni ajabu sana kukataa mabegi ya pesa alizoletewa na Abdul
Back
Top Bottom