Recent content by Bukirilo

  1. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

    Daaah Tanzania??? Kumlaumu polepole kwa kukosoa hadharani bila kificho .... na si kulaumu watekaji na wauaji .huu ni upumbavu wa kiwango cha mende
  2. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania John Heche nakuomba sana jilinde popote ulipo

    Walimkamata Tundu Lisu wakadhani chama kitayumba ... nondo anazozitoa huyu Heche na kuzidi kukistawisha chama ukizingatia CHADEMA walizuiliwa kufanya mikutano ila bado wanasonga .hii ndiyo hofu inayowatisha ..... na mimi nashauri Mhe Heche pia punguza interviews za media . Sasahivi Radio , TV...
  3. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Najiandaa kuandika Kitabu kidogo chenye kuonesha na kuelezea historia ya Rais Samia na mafanikio yake kisiasa na kiuongozi

    Hivi unajua kuwa wewe ndiye chanzo cha Mama wa watu kutukanwa ??? Japo ni vigumu kusahau lakini wewe ndiye unazidi kutukumbusha vilio vya October 29 . Pumbavu sana
  4. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Hakuna jambo lililoniuma mwaka huu kama kutochaguliwa Uhamiaji ukizingatia nina Barchelor of Arts in Law Enforcement na JKT Certificate ninayo

    My brother usikate tamaa . Mafanikio yako hayategemei kazi iyo tu
  5. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: JasusiTV: Hatimaye yamekuwa. Hoja ya kum - impeach VP Dr Emmanuel Nchimbi yaweza kusomwa wakati wowote katika bunge hili la bajeti!

    Hivi wewe unaijua katiba ya Tanzania kweli ? Hao majaji wa kuu wa mahakama wanateuliwa na Rais , IGP ,Mkuu wa Majeshi nk ..... Jiulize tu hata kwa ufahamu wako mdogo ? Kama kweli hausiki na mauaji yale na utekaji wowote , mbona hajawahi kuwawajibisha hata tu kwa kukataza kwa unafiki matukio haya...
  6. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Nimejikuta nimewakumbuka watu waliotekwa (kina Polepole)

    Hata kama muasisi wa mauaji alikuwa Magufuli kuendelea kuua kwa kisingizio mbona fulani aliua nadhani adhabu yako itakuwa mara mbili zaidi ....je unadhani kila anaekukosoa adhabu ni mauti ??? Mtaua wangapi ? Maana kila siku ndiyo wanazidi tu kuchipuka .... ila damu ya mtu haijawahi kupotea bule...
  7. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Serikali tunaomba mtoe ufafanuzi wa hizi kauli za viongozi wazanzibar

    Mbona sio jambo la kushangaza ?? Unyanyasaji wawa Zanzibar kwa wa Tanganyika haukuanza leo labda kama hukuwahi kuishi Zanzibar.... sema kwa sasa wako proud sana kwa sababu Tanganyika haina kiongozi wa kuwatetea ..... yote kwa yote ni kutokana na ujinga tulionao wa Tanganyika . Hatuna umoja...
  8. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Anthony Mtaka: Una Miaka 59 unatukana Serikali saruji imepanda sana, wakati inauzwa Tsh. 4,000 ulikuwa wapi kujenga?

    Mbona huyu nilikuwa ninamuamini sana . Karogwa lini ? Shida ukiwa ccm ni kama una laana , hata huwe na hekima ya kiasi gani kuna siku utaongea matapishi .... kama huyu kwa kauli yake hii kurudisha imani tena ngumu sana .
  9. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Vita Vikuu vya Nafsi Yangu

    Mshana ulizaliwa kuwapa maarifa wengine .... kwa jamiiforums wewe ni namba 1
  10. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kinakupa kampani ukiwa umeboreka mwenyewe bila watu?

    Simu hasa dream League
  11. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa UDOM aihoji Bodi ya Ithibati kwanini Vyombo vya Habari vya Tanzania haviaminiki tena na wananchi? Nani anapaswa kuwajibika?

    Ma chawa tu hawa ..... hawa ndiyo chanzo cha kudidimiza uhuru wa habari kwa ku deal na waandishi wanaouliza maswali magumu kwa serikali. Combo hoki kinatumika ki ccm sana
  12. Bukirilo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kombo aenda ubalozi wa EU Tanzania kuzungumzia vikwazo

    Eti Who are you... kauli ya kijinga sana . Unawaambia watu wanaokupa misaada unajitambua kweli ?
Back
Top Bottom