Recent content by Bukirilo

  1. Bukirilo

    Wachaga ndo kabila waliouliwa mno kwenye mo29, zaidi ya nusu ya waliouliwa ni wachaga

    Nilitaka kusema na mimi . Vijana wa kichaga walipotezwa sana
  2. Bukirilo

    PostGE2025 Kocha Gamondi: Ushindi wa Tanzania ni heshima kwa waliopoteza maisha Oktoba 29

    Mmm kwa kauli hii lile kiongozi la ma chawa ( Gerson Msigwa ) litakuwa limenuna sana .fala sana lile jamaa
  3. Bukirilo

    Askofu Ruwa'ichi: Kuna lofa mmoja ameandika barua kumshitaki Padri Kitima. Huyo si mkristu, ni kibaraka, msaliti, mnafiki na ndumilakuwili

    RC inaongozwa na watu wasomi wenye akili sana na wasiopepeseka kirahisi ... sisi KKKT tuna puto chawa kabisa.
  4. Bukirilo

    Waziri Nanauka: Serikali kuanzisha kampuni laki moja na ajira Milioni moja

    Acheni uongo .... vijana msiingie choo cha kike ... mnapigwa mchana kweupe
  5. Bukirilo

    Mke wangu anategemea house girl afanye majukumu yote kisa tu tunamlipa ki 50,000

    Anafanya hivyo kutokana na udhaifu wa mumewe na bado wewe kaja kulalamika Tumpe ushauri
  6. Bukirilo

    PostGE2025 Jaji Warioba: Waliouawa Oktoba 29, 2025 ni wengi kuliko waliouawa kwenye Vita ya Kagera

    Huyu mzee namfahamu vizuri sana anamisimamo isiyoyumbishwa . Kuna muda kipindi akiwa waziri wa nyerere ndiye pekee alikuwa akimbishia mwalimu .
  7. Bukirilo

    Utotoni dalili ya kwanza kuwa wewe ni wa kiroho or chosen one

    Hapo ndiyo umeshaharibu , Lucas Mwashamba hawezi kuwa gifted kamwe
  8. Bukirilo

    Ni Biashara ipi iko na faida mzuri

    Iyo pesa ni nzuri sana .Tuliza akili kwanza usiwekeze katika biashara moja . 2 usiwekeze katika biashara yenye mtaji mkubwa bali tafuta biashara ndogo yenye mzunguko mkubwa mfn Biashara kuuza chakula . 3. Hakikisha iyo biasha unaisimamia kwa 90%.... UTAKUJA KUNISHUKURU .
  9. Bukirilo

    CHADEMA yatajwa kuwa Chama Kikuu cha siasa Nchini Tanzania

    Ukweli mtupu 100 % ... twende fear wananchi waamue .
  10. Bukirilo

    Umeingiza Mercenaries kuua Wananchi, umewazika kwenye makabuli ya halaiki halafu unajificha kwenye kichaka eti Jeshi lisishawishiwe kisiasa?

    Amejitangaza kashinda kwa kura 98 %. Ila anajificha katika jeshi . Sawa ila roho za wa Tanganyika 13000 na vilema 5600 bado damu zao zitaongea ... ni swala la muda tu kuna mambo utayafanya ki binaadam ila MUNGU yupo . Samia umeua watu wengi sana kisa madaraka
  11. Bukirilo

    Kauli 'TATA' ya Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi ''Mimi ni mkristo Mkatoliki..., mtanizoea taratibu'

    Toka wenye mtandao wanapanga kumuweka kando Philip Mpango na Kumuweka Nchimbi walishajua kuwa huyu anatufaa . So wote lao moja hao
  12. Bukirilo

    PostGE2025 Tangu aongee na 'wazee' wa Dar mbona Rais Samia haonekani?

    Tatizo hajui kuongea ... kila akikaribu kuongea anakuwa kama anatapika ..... ni kinda kila kona
  13. Bukirilo

    (Kumbukizi) Lema: Jenista, kwa jinsi unavyopenda Uwaziri siku ukitumbuliwa unaweza ukafa

    Lema ndiye Mtu mwenye unabii niliyepata kumshuhudia kwa sasa
  14. Bukirilo

    Mchengerwa: Hali ya Jenista Mhagama ilikuwa mbaya, madaktari walifanya kazi kubwa

    Aliteguka mguu .Je ndiyo umauti??? Muogopeni Mungu
Back
Top Bottom