Kalapina ampondea Sugu

Kalapina ampondea Sugu

Sasa na hiyo mistari ambayo Sugu anamsalute Pina
Ilikuwaje?
Acha hizo sugu wakati analinda Petrol station alikuwa anakaa nyuma ya mwanamboka
Sugu mwenyewe anamkubali Pina ijekuwa wewe
Wewe kumbe ni mtu wa kuhadithiwa tu na vistory vya kuungaunga tu.

Jose hajawahi kulinda Petrol Station, Jose alikuwa gate Man BP makao makuu Kurasini na alikuwa amepanga Mbagala.

Ni BP ndipo palipompa Sugu access ya kurekodi Album zake pale getini michongo ya mazabe ni kama yote Nigger amepiga sana pesa hili mimi sihadithiwi huyo tangu Mbeya day ni mtu tunafahamiana bado tuko teenegers.

Mimi naondoka Bongo Jose nimemuacha bado anakaa Mbagala, kuja Kiwanja ndio alitokea Kinondoni au Sinza i think, nimekuja first time Bongo ndio nakuta uzinduzi wa album yake ya Millenia.
 
Pina mtoto mdg sana kwa sugu kuhusu bongo fleva,
Block 41 ,kabla ya maskani kuitwa kikosi Cha mizinga, ilikua inaitwa Indiana na Sugu alikua mmoja wapo na Hashim Dogo
Yes uko sahihi, Indianapolis.
Mshkaji ujuwe siyo mtoto wa Dar, kwahiyo Dar amepambana mwenyewe ndio maana alikuwa anatafuta base ya kukaa, na game ya zamani ilikuwa ni ya kimakundi zaidi siyo soul Artist ndio maana kuna muda alijiunga na kina Balozi Doula Soul kwenye kundi la DPT huku akiendelea na soul project zake.
 
Si angejumuisha hao wote aweke sponsors wapige hela pamoja.
Amedai Madee alimpa mil 2 bila ya idea inayofuata.
Mbona Madee kakusanya taka zoote wawepo wakumbukwe no bias.
Yeye yupo huko kibinafsi kuchana kwenyewe mtupuu.
Wenzio wanapiga mziki tu ya miaka 30 iliyopita
We unadiss "copycat"
Hata Chameleon angejua angekaa na wanae Mwanza kuliko kwenda kulazimisha watu mlimani city km mnasikiliza tamasha la kwaya.
Mi nna hiki,na hiki thats bullshit man grow up
 
I'm sure 99% humu hawafahamu hata wimbo mmoja wa huyo Kala Pina(this includes me), huwa anasikika kwenye ugonvi na malumbano tu exactly kama yule Wakazi ambaye yeye huwa ni critic tu(which is not bad) lakini eti wanamuita artist wakati hakuna hata wimbo wake mmoja unaofahamika.
Kala Pina anafaa kwenye udaku tu.
Hao 99% uliotaja Nina uhakika ni 99% ya wasio mashabiki wa muziki wa hip hop hata kwa mbali. Huwez kuwa hip hop halafu usimjue Pina, uongo. Pina unamsikia kwenye malumbano gan tutajie hapa. Kwamba huzijui hizi ngoma
-Mstari wa mbele
-Umoja ni nguvu
-Asiyekubali kushindwa
-Nyimbo tosha
Kwa hiyo hata "hip hop bila madawa inawezekana" nayo huijui?
Bro wewe sio fan wa muziki wa hip hop ya bongo tuwe wakweli.
 
Hao 99% uliotaja Nina uhakika ni 99% ya wasio mashabiki wa muziki wa hip hop hata kwa mbali. Huwez kuwa hip hop halafu usimjue Pina, uongo. Pina unamsikia kwenye malumbano gan tutajie hapa. Kwamba huzijui hizi ngoma
-Mstari wa mbele
-Umoja ni nguvu
-Asiyekubali kushindwa
-Nyimbo tosha
Kwa hiyo hata "hip hop bila madawa inawezekana" nayo huijui?
Bro wewe sio fan wa muziki wa hip hop ya bongo tuwe wakweli.
What do you mean unaposema fan? What has he achieved? Numbers zake zikoje kwenye digital platforms? Ana hit song yoyote ambayo leo nikiwasha channels za TZ iwe TV au Radio kwamba randomly nitaisikia?
Let me be honest, nyimbo(hip hop) za TZ na artists wa hip hop wa TZ nawafahamu sana lakini hapo hizo zote ulizozitaja za huyo Kala Pina hakuna hata mmoja ninaoufahamu, huyo huwa anasikika kwenye matukio tu tena ni kwenye matukio yenye controversies peke yake.
Weka challenge hapa fungua uzi watu waorodheshe all time top 100 hip hop hits za Kibongo tuone ni wangapi wataweka tracks za huyo Kala Pina.
 
I'm sure 99% humu hawafahamu hata wimbo mmoja wa huyo Kala Pina(this includes me), huwa anasikika kwenye ugonvi na malumbano tu exactly kama yule Wakazi ambaye yeye huwa ni critic tu(which is not bad) lakini eti wanamuita artist wakati hakuna hata wimbo wake mmoja unaofahamika.
Kala Pina anafaa kwenye udaku tu.
Pina alinichekesha beef na King'oko ,jamaa alikua anaamini yeye ni mkali wa hip hop, Sasa watoto wa King'oko kupitia Babuu na Langa wakatoa heat song 'KIMBIA' ikaipoteza mstari wa mbele na kikosi chake akamaind, hakujua watoto wa King'oko wana WATU aliomba yaishe
 
Wewe kumbe ni mtu wa kuhadithiwa tu na vistory vya kuungaunga tu.

Jose hajawahi kulinda Petrol Station, Jose alikuwa gate Man BP makao makuu Kurasini na alikuwa amepanga Mbagala.

Ni BP ndipo palipompa Sugu access ya kurekodi Album zake pale getini michongo ya mazabe ni kama yote Nigger amepiga sana pesa hili mimi sihadithiwi huyo tangu Mbeya day ni mtu tunafahamiana bado tuko teenegers.

Mimi naondoka Bongo Jose nimemuacha bado anakaa Mbagala, kuja Kiwanja ndio alitokea Kinondoni au Sinza i think, nimekuja first time Bongo ndio nakuta uzinduzi wa album yake ya Millenia.
Umeiweka vzr, Mkuu
 
What do you mean unaposema fan? What has he achieved? Numbers zake zikoje kwenye digital platforms? Ana hit song yoyote ambayo leo nikiwasha channels za TZ iwe TV au Radio kwamba randomly nitaisikia?
Let me be honest, nyimbo(hip hop) za TZ na artists wa hip hop wa TZ nawafahamu sana lakini hapo hizo zote ulizozitaja za huyo Kala Pina hakuna hata mmoja ninaoufahamu, huyo huwa anasikika kwenye matukio tu tena ni kwenye matukio yenye controversies peke yake.
Weka challenge hapa fungua uzi watu waorodheshe all time top 100 hip hop hits za Kibongo tuone ni wangapi wataweka tracks za huyo Kala Pina.
Hahahaha,nyimbo zenyewe zilikua zinapigwa kibabe, DJ au presenter unatishwa sana ili upige nyimbo zake na zingine bila majani na Hashim Dogo kutia mikono zingekua za kawaida tu

Si alikua na studio? Iliitoa msanii gani au Ngoma gani hit kipindi Hilko?
 
Wewe kumbe ni mtu wa kuhadithiwa tu na vistory vya kuungaunga tu.

Jose hajawahi kulinda Petrol Station, Jose alikuwa gate Man BP makao makuu Kurasini na alikuwa amepanga Mbagala.

Ni BP ndipo palipompa Sugu access ya kurekodi Album zake pale getini michongo ya mazabe ni kama yote Nigger amepiga sana pesa hili mimi sihadithiwi huyo tangu Mbeya day ni mtu tunafahamiana bado tuko teenegers.

Mimi naondoka Bongo Jose nimemuacha bado anakaa Mbagala, kuja Kiwanja ndio alitokea Kinondoni au Sinza i think, nimekuja first time Bongo ndio nakuta uzinduzi wa album yake ya Millenia.
Sasa wa kuhadithiwa ni mm au wewe?
Emu muulize kama hajawahi kuishi kinondoni mwanamboka?
Halafu tofauti ya gateman na mlinzi ni nn
Mbona unaleta ulimbukeni nigga!!
 
Bora umemchana anaileta ushamba wake kama Kalapina hapa , Kalapina boya TU hata Wana block 41.hatuna time nae, kaulize Block 41 khs Kalapina utaambiwa ushamba wake wa ki maku
Nyie wote washamba tu
Usnitch wenu na watu hauwasaidii lolote
Huyo kalapina na ushamba wake Sugu alimpa tag
 
Back
Top Bottom