Recent content by bujumbura

  1. bujumbura

    Kocha wa Taifa Stars Amunike ameidhalilisha sana Simba SC katika Uteuzi wake hivyo siishangilii tena Taifa Stars hadi akiondoka / akifukuzwa

    Hahahahaaa! Mambumbumbu watakuunga mkono hapa Sent using Jamii Forums mobile app
  2. bujumbura

    Kocha wa Taifa Stars Amunike ameidhalilisha sana Simba SC katika Uteuzi wake hivyo siishangilii tena Taifa Stars hadi akiondoka / akifukuzwa

    Wewe mbumbumbu tu tena huna madhara yyte hata usiposhangilia, kocha ndo ameshachagua sasa kama roho inakuuma hama nchi, ulisikia wapi timu ya taifa ikawa simba au Yanga? Kweli wewe mbumbumbu la mambumbumbu na mbumbumbu wenzio wanakuunga mkono. Hiyo simba yenu ni timu ya uwanja wa mkapa tu nje ya...
  3. bujumbura

    Wakenya ni Binadamu wa ajabu sana!

    Mbona umetumia maneno makali sana?
  4. bujumbura

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    ________________________________
  5. bujumbura

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Walipompekea yule mwanamke aliyezini ili awaruhusu wampie mawe kama sheria ya Musa inavyosema....ndipo Yesu anajibu akawaambia,yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga mawe ...wale watu walitawanyika wote wakamuacha yule mwanamke na Yesu.....Ndg hilo ni jambo LA kawaida sana...
  6. bujumbura

    Mkuranga: Kuna ajali ya Basi imetokea Mwanambaya

    Ni basi la kampuni gan hilo?
  7. bujumbura

    Tarehe 16 may Yanga fc inatangaza ubingwa

    Kama ubingwa wa ndani unawashinda mtawezaje kuiwakilisha nchi ? Kaeni huko huko mchangani
  8. bujumbura

    Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma, awataka wajitumbue

    Acha kuzusha mkuu Leo ni jumapili wala si siku ya kazi,nyie ndo mnayoitoa maana jf kwa vipost vyenu uchwara
  9. bujumbura

    Natafuta mume tuoane

    Mkuu naona kama wewe msabato Ndiyo hutakiwi ndiyo maana povu jingiiiiiii
  10. bujumbura

    Eti wanataka mahari ya Tshs. 2,000,000... kipindi hiki cha Magu...

    Exactly, she is worth more than any amount of money, providing dowry doesn't mean you are buying her instead that is the sign of being ready to take care for her as husband
  11. bujumbura

    Ukipata nafasi ya kumshauri ushauri mmoja tu Mh. Rais Utamshauri nini?

    Ntamshauri ahamishie makao mkuu ya nchi Kigali iwe rahisi kuiongoza
  12. bujumbura

    Mh. Rais mteue Pascal Mayalla kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari

    Huyu ni yeye mwenyewe ila ametumia id nyingine
Back
Top Bottom