Recent content by buhanda

  1. B

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kigoma manispaa nije lindi manispaa
  2. B

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Nipo Kigoma manispaa natafuta mwl wa lindi manispaa tubadishane
  3. B

    JamiiForums Tanzania Mtoto kachomeka USB mbovu kwenye flat screen

    Hbr ndugu Kama kichwa hapo juu dogo kachomeka USB mbovu na TV ikazima ukiiwasha inawaka lkn haidisplay kitu chochote n ukitumia king'amuzi unaweza sikiliza redio kwenye sabufa naomba msaada wenu kujua tatizo hili Je ni kubwa sana ? Na litanikost kiasi gan? Na leta kwetu kwanza ndg kbla...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mashine za Kukoboa na Kusaga

    Ndio inawezekana sana ila mfungaji wa mashine anatakiwa kuwa mtaalam
  5. B

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa bei za projectors

    Ndan ndugu
  6. B

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa bei za projectors

    Laki 1 ? Mmh naweza ipata WAP
  7. B

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa bei za projectors

    Seminar presentation ndg ndio matumizi yangu
  8. B

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa bei za projectors

    Natanguliza shukrani kwenu wana jf Naomba kujuzwa bei za projector za bei rahisi sana kampuni yeyote ile ni kwa matumizi ya kawaida tu Napenda kuwasilisha kwenu
  9. B

    JamiiForums Tanzania Ninunue HP au dell

    Wakuu naomba kujuzwa kwa hili nina laptop aina ya HP probook 4431s wakati nainunua mwaka 2011 ili ina 640 GB hard disk na ilikuwa na window 7, nikawa nabadili window kila ikiwekwa window ikawa ina miss drivers ikabidi niweke window 8 ,sasa ninashangaa laptop inakuwa na 596 GB hard disk...
  10. B

    JamiiForums Tanzania Ninunue HP au dell

    Hongera sana ndg kwa hii taarifa Hivi naweza kuiweka hii HD nitakayoitoa ikawa kama external HD na ikawa kwenye case yake?
  11. B

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Ndg naomba kujuzwa jinsi ya kununua series(movies) kwa m pesa
  12. B

    JamiiForums Tanzania Naomba kusaidiwa tatizo la hiyo laptop maana hapo ukichomoa adaptor tu inazima kabisa

    Nisaidieni wadau juu ya mada tajwa hapo juu Nimejaribu kubadili adaptor lakini tatizo bado lipo na haiwaki mpka uchomeke adaptor Natanguliza shukran kwenu wanajf wote
  13. B

    JamiiForums Tanzania Ninunue HP au dell

    Mm nmenunua HP probook mpk kesho ipo n bado mpya n kwa speed duma akasome
Back
Top Bottom