Hbr ndugu
Kama kichwa hapo juu dogo kachomeka USB mbovu na TV ikazima ukiiwasha inawaka lkn haidisplay kitu chochote n ukitumia king'amuzi unaweza sikiliza redio kwenye sabufa naomba msaada wenu kujua tatizo hili
Je ni kubwa sana ?
Na litanikost kiasi gan?
Na leta kwetu kwanza ndg kbla sijakimbilia kichwa kichwa kwa fundi akanipa sana mtonyo na zama hizi za nanii
Kama kichwa hapo juu dogo kachomeka USB mbovu na TV ikazima ukiiwasha inawaka lkn haidisplay kitu chochote n ukitumia king'amuzi unaweza sikiliza redio kwenye sabufa naomba msaada wenu kujua tatizo hili
Je ni kubwa sana ?
Na litanikost kiasi gan?
Na leta kwetu kwanza ndg kbla sijakimbilia kichwa kichwa kwa fundi akanipa sana mtonyo na zama hizi za nanii