Mtoto kachomeka USB mbovu kwenye flat screen

Mtoto kachomeka USB mbovu kwenye flat screen

buhanda

Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
77
Reaction score
30
Hbr ndugu
Kama kichwa hapo juu dogo kachomeka USB mbovu na TV ikazima ukiiwasha inawaka lkn haidisplay kitu chochote n ukitumia king'amuzi unaweza sikiliza redio kwenye sabufa naomba msaada wenu kujua tatizo hili
Je ni kubwa sana ?
Na litanikost kiasi gan?
Na leta kwetu kwanza ndg kbla sijakimbilia kichwa kichwa kwa fundi akanipa sana mtonyo na zama hizi za nanii
 
Dah mimi nakumbuka utotoni nilitumbukiza radio ya betri za national kwenye maji, ilikua ya baba,,hiko kipigo sikisahau, sembuse ingekua tv[emoji23]nisingeonekana nyumbani nadhani, hongera kwa kuwa mzazi bora tv itatengenezeka tu usiogope
 
Itakuwa alitaka kuweka TBC 1 kwenye Flash
Kama ni tbc1 acha izime kabisa na ife hisirekebishike kabisa....maana kuangalia hii channel ndiyo zao la watu wasio julikana wanaosumbua nchi kwa kupandikizwa ideology za kusifia tuu...

Pumbafu kabisa :::: in arusha's voice.
 
Dah mimi nakumbuka utotoni nilitumbukiza radio ya betri za national kwenye maji, ilikua ya baba,,hiko kipigo sikisahau, sembuse ingekua tv[emoji23]nisingeonekana nyumbani nadhani, hongera kwa kuwa mzazi bora tv itatengenezeka tu usiogope
Hata akimpiga itapona??
 
Hbr ndugu
Kama kichwa hapo juu dogo kachomeka USB mbovu na TV ikazima ukiiwasha inawaka lkn haidisplay kitu chochote n ukitumia king'amuzi unaweza sikiliza redio kwenye sabufa naomba msaada wenu kujua tatizo hili
Je ni kubwa sana ?
Na litanikost kiasi gan?
Na leta kwetu kwanza ndg kbla sijakimbilia kichwa kichwa kwa fundi akanipa sana mtonyo na zama hizi za nanii
Mkuu usitunze vitu vibovu ndani au aliokota nje?
 
Atakuwa kaingiza usb kwenye sehemu ya flash tena ikiwa connected kwenye umeme ila si flash kama unavyosema, be mind hakuna flash mbovu inayoaribu screen unless otherwise imechokonolewa ndani. Ushauri nenda kwa fundi tv hilo tatizo linatibika ila bei mtajuana kule kule HATUTAKI UMBEA HAPA, period
 
Ndio maana nikampongeza kwa kuwa mzazi bora kwa mtoto wake ,by the way mimi sisupport mambo ya kupiga watoto na wanawake in general(special groups)
Ingekuwa shuleni hawachapwi viboko shule zingekuwa km sokoni au sehemu ya bar.
Kumpiga mtoto ni kumkanya ili siku nyingine asirudie. Leo kachomeka flash. Unamuangalia kesho atabeba CD mbovu mwisho anaharibu mlango wa deki. Baba au mama unacheka tu teh teh teh
Nyie ndiyo mnaolea kizazi kibovu. Utakuta kitoto kinatukana mpaka wakubwa mzazi wake anacheka.
Usimnyime mtoto kiboko panapostahili na hii haimaanishi humpendi bali unamfanya awe makini na kile anachokifanya.
 
Back
Top Bottom