Recent content by BUHABU

  1. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nini Sababu ya Gari Kuwa na Vibrations Kubwa Ikifika Speed 50+

    Hakuna zaidi ya hapo, umelenga mle mle, na mara nyingi hutokea sana kwa Subaru Forester
  2. B

    JamiiForums Tanzania Idea 3 za Biashara zinazoenda kuniweka kundi la Milionea by 2025

    Mkuu angalia vzr Uchambuzi yakinifu wako, Barbershop (Modern & Executive) - 13M ni ndogo saana. Hiyo hata vifaa tu unaweza usipate achilia mbali kodi ya pango, ukaranati, usajiri wa vinyozi (lazima utafte kinyozi bora na mwenye wateja), nk nk nk
  3. B

    JamiiForums Tanzania Naomba Tafsiri ya hii njozi

    Mkuu Kwanza elewa ya Kwamba ndoto ni baadhi ya njia ambazo MUNGU anazitumia kuzungumza na wanadamu lakini pia ni njia ambazo shetani pia huzitumia... Ila zaidi elewa kuwa ndoto huweza kutokea kwa sababu ya mazingira ya ulichokifanya au kukifikiria kabla hujalala... Sitaki kwenda mbali...
  4. B

    JamiiForums Tanzania PICHA YA KIBABE

    Hata mimi ni mehisi hico kitu, na enzi za Mandela akiwa kijana hivyo, Sankara hakuwepo by the way Mandela hakuwahi kukutana na Sankara
  5. B

    JamiiForums Tanzania Idara ya Usalama wa Taifa ina wajibu wa kumsaidia Masha

    Hongera kwa uchambuzi lkn lazima ukubali kuwa kuna mambo mengi sana huyajui juu ya usafiri wa anga, usafiri wa Anga Tanzania, tozo za serikali hazijawahi kuwa shida kwa kiasi hicho, na tozo za serikali sio tatizo la fastjet kufungwa,, ni kweli gharama za kuendesha shirika la ndege ni kubwa sana...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee: Natamani hali iwe ngumu sana mpaka tukose Bajeti ya Ikulu

    Wakati mwingine mawazo kama haya yakitolewa na mbunge yanamfanya hata mjinga au zuzu kujiona anaweza kuwa mbunge......... Budget vs Actual wamezidisha kwa 1b je kama kulikuwa na budget mid year Review? Au labda kuna Activity kwenye Action Plan wameitekeleza mapema kabla.kwa mfano ilikuwa...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

    Mleta mada ni wa kusamehe tu Maana hata hajui Tarehe 25 December Huwa ni nini???
  8. B

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Uchukuzi asaini mkataba wa ununuzi wa rada 4 za kuongoza ndege

    Soma vzr na wewe, Waziri hajasaini mkataba kashuhudia tu
  9. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya now wants SADC to drop bid for AU chair

    Anaw Anawachukia balaaa. Na hata siku moja South Africa hajawahi kuwa na ushawishi wowote kwanza ndo nchi ngeni SADC
  10. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya now wants SADC to drop bid for AU chair

    Hivi kwanza ni kujiuliza swali ni nchi gani Afrika ambayo Kenya iliisaidia kupata uhuru ?? baada ya hapo ndo ujue mnafiki ni mnafki tu.
  11. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya now wants SADC to drop bid for AU chair

    Wanaijua SADC au wanaingea tu. Kama namuona Mugabe atakavyofyumu kumuona Mkenya anagombea.SADC wako pale kutokana na historia sio ujanja ujanja wa kujipendekeza by the way soon Zuma sio Rais wa South Africa kama Kenyatta hakuliona au kuliwaza hilo imekula kwake.Katika Diplomasia ya Afrika...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Darasa la kupigilia pamba kijanja

    kabisa mkuu hata mimi nimeshuhudia mara nyingi suti inaenda na saa yenye mkanda wa plastic isipokuwa inategemea aina ya saa na muonekano wake
  13. B

    JamiiForums Tanzania Nichukue ipi kati ya Ractis, IST au Runx?

    Kama ni speed chukua Runx, Kwenye Mafuta IST hiyo ingine siijui vyema.
  14. B

    JamiiForums Tanzania TBC 1 warusha harusi LIVE. Waziri Nape acharuka, awataka watoe maelezo ya kina

    TBC hii sasa ni zaidi ya Aibu hata kama ni biashara kwa upuuzi kama huu ipo siku watalipia kuchambana live
  15. B

    JamiiForums Tanzania Kanda ya Ziwa ni Lowassa

    Si mlijidai mnaanzisha Kaskazini Movement endeleeni nayo sasa. Na mmepandikiza kitu kibaya sana Tanzania hii. Kwa taarifa tu Kilimanjaro na Arusha wanaopiga kura ni 1.6m Kigoma peke yake ni 1.2 Bado Mwanza, Musoma, Bukoba, Simiyu, Shinyanga ,Geita nk. Mwanzoni mngeweza pewa kura kidogo kidogo...
Back
Top Bottom