wepson
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 831
- 217
Habarini wakuu na wataalamu na wenye wigo mpana wa kufikiri
Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba mwenye ufahamu anisaidie kujua maana ya njozi hii
Wiki iliyopita nilitembelewa na dada mmoja kwa kweli nimedate nae mara mbili lakini mara zote mbili nimekua nikiota njozi ambazo zinafanana na kwa kijirudia rudia naomba kufahamu maana yake ni nini?
Mara ya kwanza niliota nachunga ng’ombe na mbazi lakini mbuzi wale walikua wananisumbua sana, kwa kweli sikuweza kupumzika katika machungo siku hiyo huyu dada alikua kwangu
Mara ya pili hali kadhalika nikiota mikichunga wanayama wakati huu wa aina tofauti tifauti wengi isipokua alikuepo mbuzi mmoja na mwanae weupe walikua wakinisumbua sana kiasi kwamba ilifika hatua hata nikataka kushindwa kuwa chunga wanyama wengine.
Nilifikia hatua ya kuwachapa sana Yule mbuzi na mtoto wake mpaka wakalala wakashindwa kutembea.
Kando ya eneo ya machungo kulikua na nyumba nzuri na iliyofunikwa na maua marefu nikahofu kwamba kwa fimbo nilizomchapa the Yule mbuzi kwa kua nilikua nachunga ni kama sio wangu ningeweza semelewa kwa mwenye wale wanyama.
Je wenye uwezo wa kutafsiri mambo hii ina maana gani
Asanteni
Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba mwenye ufahamu anisaidie kujua maana ya njozi hii
Wiki iliyopita nilitembelewa na dada mmoja kwa kweli nimedate nae mara mbili lakini mara zote mbili nimekua nikiota njozi ambazo zinafanana na kwa kijirudia rudia naomba kufahamu maana yake ni nini?
Mara ya kwanza niliota nachunga ng’ombe na mbazi lakini mbuzi wale walikua wananisumbua sana, kwa kweli sikuweza kupumzika katika machungo siku hiyo huyu dada alikua kwangu
Mara ya pili hali kadhalika nikiota mikichunga wanayama wakati huu wa aina tofauti tifauti wengi isipokua alikuepo mbuzi mmoja na mwanae weupe walikua wakinisumbua sana kiasi kwamba ilifika hatua hata nikataka kushindwa kuwa chunga wanyama wengine.
Nilifikia hatua ya kuwachapa sana Yule mbuzi na mtoto wake mpaka wakalala wakashindwa kutembea.
Kando ya eneo ya machungo kulikua na nyumba nzuri na iliyofunikwa na maua marefu nikahofu kwamba kwa fimbo nilizomchapa the Yule mbuzi kwa kua nilikua nachunga ni kama sio wangu ningeweza semelewa kwa mwenye wale wanyama.
Je wenye uwezo wa kutafsiri mambo hii ina maana gani
Asanteni