Recent content by btheone

  1. B

    Lady Jay dee baada ya kupokea tuzo, asema narudi kimya kimya

    hii post haina maaana kabisa
  2. B

    Msaada twa kubadilishiwa mshahara baada ya kuongeza elimu

    Ofisi ya Utumishi wa Umma hawanauwezo wowote nenda kwa muajiri wako then muajiri wako atawezakuangalia kama unastahili na kama unastahili basi utaingizwa katika mfumo na afisa utumishi wa wilaya yako.
  3. B

    Naomba ushauri nifanyeje

    huyo demu akimaliza chuo ataachia mambo ili apatiwe kazi akiwa kazini ataachia mambo kwa wakurugenzi ili apate mipunga zaidi....kimaisha ya maendeleo huyo demu ni anaakili sana ila kimaisha ya mapenzi amefanya kosa kubwa mnooo na hato acha.....kaka fanya uamuzi wa akili mingi utakuja lia au...
  4. B

    Picha ZINAOGOFYA za mashambulizi Lamu -Kenya i

    Duh...Duniani kumekua pahala pabaya hivi...Mungu tusaidie duh inauma sana
  5. B

    Hawa ndio Freelancer wa Postal Bank

    Pole kwa kulia aise imeniumiza sana....kazi ni ngumu ila why watutesi hivi unampa buku 1 mtu duh...hata naulimkwa siku hamtoshi
  6. B

    Kwa nini wanaume wengi wanalamikia ndoa zao jf

    Sijui why tunasema matatizo yetu hapz
  7. B

    Updates from PPF

    Sasa wanapata wanawake tu au ukiwa wa kiume unapewa na wadada wa hapo kazi ni ngumu sana mjini
  8. B

    Interview Finca Bank

    Kafanye kwanza interview
Back
Top Bottom