Ofisi ya Utumishi wa Umma hawanauwezo wowote nenda kwa muajiri wako then muajiri wako atawezakuangalia kama unastahili na kama unastahili basi utaingizwa katika mfumo na afisa utumishi wa wilaya yako.
huyo demu akimaliza chuo ataachia mambo ili apatiwe kazi akiwa kazini ataachia mambo kwa wakurugenzi ili apate mipunga zaidi....kimaisha ya maendeleo huyo demu ni anaakili sana ila kimaisha ya mapenzi amefanya kosa kubwa mnooo na hato acha.....kaka fanya uamuzi wa akili mingi utakuja lia au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.