Mimi nilikiwa mwalimu wa leseni yaani induction course ! nimeshajiendeleza na kupata shahada ya ualimu miaka 2 iliyopita.
Tatizo lipo kwenye kubadilishiwa mshahara yaani mpaka sasa sijabadilishiwa.
Hatua nilizopitia ni pamoja na kupeleka taarifa zangu ofsi ya utumishi wa umma,mkurungezi WILAYA lakini bado kubadilishiwa.
Naombeni msaada kwa yeyote anayejua namna nyingine ya kuweza kutatuliwa tatizo langu.
Tatizo lipo kwenye kubadilishiwa mshahara yaani mpaka sasa sijabadilishiwa.
Hatua nilizopitia ni pamoja na kupeleka taarifa zangu ofsi ya utumishi wa umma,mkurungezi WILAYA lakini bado kubadilishiwa.
Naombeni msaada kwa yeyote anayejua namna nyingine ya kuweza kutatuliwa tatizo langu.