Naomba ushauri nifanyeje

Naomba ushauri nifanyeje

Mzee na wewe unaponea allowance za huyo mzee, na umemuweka huyo demu wako kama kitega uchumi. Mwanaume gani wewe unatoa argument kuwa eti nikiachana naye sijui atapata wapi hela, aaagh, umenikera sana dogo.

Acha umburura, fanya kazi, kama unaona huwezi mtunza mkeo/mpenzio acha mapenzi muda wako bado, ukifika utaingia tu!
 
huyo demu akimaliza chuo ataachia mambo ili apatiwe kazi akiwa kazini ataachia mambo kwa wakurugenzi ili apate mipunga zaidi....kimaisha ya maendeleo huyo demu ni anaakili sana ila kimaisha ya mapenzi amefanya kosa kubwa mnooo na hato acha.....kaka fanya uamuzi wa akili mingi utakuja lia au kufurahi huko mbele
 
siku zote prefer gesti na hoteli.....kulala vitanda ambavyo hujatoa pesda kununua kunaweza kukuletea hatari kubwa
unaweza poteza maisha.......

cha kwanza hama hama hapo na usirudi tena....hata ukiendelea na huyo msichana hapo usikanyage

Hili ndo la Muhim sana,yaan alipaswa kurud kwenye chumba chake na uzi huu angeuanzishia kwake,
 
ah wee mwanawane kama anakupenda ebu muombe tigo ujienjoy tuu.
 
Jiulize unapenda vitamu(Kula good time kwenye nyumba uliyopangiwa na mume mwenzio) au vchungu(kugegedewa demu wako) after that jibu utakuwa nalo mwenyewe
 
kapime afya tu na muendelee na mapenz yenu. Mpaka kakwambia hvyo vyote kuna kitu hapo. Sometys hali duni huwa inashawish vitu vya ajabu hasa kwa wadada. Yeye anakufahamu kuwa huna hela lakn amekwambia dhamira yake

Kuna watu mna busara sana katika kutoa ushauri
 
wee hili liwe fundisho wanawake ni wamuwagegeda na kuwala tigo sio wakuweka moyo wako kwao.....wee viumbe wenyewe wanashindwa kuheshimu mili yao ndio wakuheshimu wewe!
ebu wacha utoto mle tigo huyoooo
 
Mbele ya Mungu wote nyie ni wazinifu.....................je huhitaji kushauriwa kuhusu hili.....................?
 
Shukuru kwa kuambiwa ukweli... pia kuna mambo mawili kakueleza ili umpe nafasi usiendelee kumganda na pia yawezekana kakwambia ili ujue ukweli... ukweli anaujua mwenyewe.... ila nashindwa kukuelewa na baadhi ya wanaume wengine unapata wapi nguvu ya kwenda kulala kitanda cha mwanamke tena unahamia kabisa mi naona ni fedheha na kutokujielewa.. badala ya wewe kuona kakupiga gape uchakarike wewe unahamia kwenda kushare umaskini.... ona sasa mda wote kakufanya zoba jinga na vivu... leo anakupa live ni aibu... namshukuru bibie kakufunza kama unajielewa uwez kubali lala tena kwenye nyumba ya mwanamke...

Natofautiana na wewe. Unapooenda kwa boyfriend wako huwa amekwambia kitanda unacholalia ni cha nani. Wanawake siku hizi kuhonga ni full shangwe, hayo ni makosa ya kiiufundi mtu yeyote anaweza kutana nayo.
 
Ni lazima tuwe tunawapeleka jando tena;
Hamjakomaa kabisa;
Hivi unaona sifa kuwekwa picha kwenye whatsaap na intagram, Loooh.

Na siku huyo mkinga akayokukuta ujue kichwa chako ni halali yake.
 
siku zote prefer gesti na hoteli.....kulala vitanda ambavyo hujatoa pesda kununua kunaweza kukuletea hatari kubwa
unaweza poteza maisha.......

cha kwanza hama hama hapo na usirudi tena....hata ukiendelea na huyo msichana hapo usikanyage


Shikamoo.
Nimecheka sana hapo kwenye vitanda.
 
Pole sana ushauri wangu fanya kazi ili umhudumie mpenz wako hiyo ni dharau kbs na huyo mwanamke hakufai co mwaminifu ht akiachana na mzee maisha hayatabiriki akikosa huduma bd anauwezo wakutafuta kwengine mwisho wa cku nikupoteza maisha kwenye hizo pesa kuna yalio jificha ondoka ukaridhike na maisha yk anaehudumia akijua atakutoa roho huwez kujua dem wako waliahidiana nn acha uvivu wa kufikiri
 
Mambo vp Wana JF,nahitaji ushauri wenu kwenye hili............!!
Ni mwaka sasa umepita toka nianze mahusiano na huyu msichana.Wakati tunaanza mahusiano alikua akiishi hostel za chuo chao but after miezi mitatu akaniambia anahamia kwake kwani mama yake kamkubalia kumpangishia nyumba.Baada ya kuhamia kwake kama mwezi ukapita nikaenda kumtembelea kwake palinishtua kidogo alikua amepanga zaidi ya chumba kimoja kama nilivyofikiri nyumba ilikua na Sebule,jiko,chumba cha kulala na pia alikua na vitu vya ndani vyote ikiwa mziki mkubwa,tv-flat,masofa,kabati n.kIlinishtusha kwamba mama yake ampangie ghafla hivyo na vitu vyote vya gharama hivyo but alinihakikishia ni mama yake na kunihakikishia zaidi mama yake alikua akija kumtembelea ananitumia mpaka picha.Wakati huo wote mimi pia nlikua nikiishi kwangu tho pia nlikua nasoma chuo.Alifanya sherehe ya kuhamia kwake na alialika marafiki zangu na marafiki zake wachache pia but marafiki zangu walishtuka baada ya kupaona kwake but niliwaambia ni mama yake na huwa anakuja mara kwa mara so wakaamini hivyo kwa shingo upande.

Ki ukweli ananipenda sana kiasi kwamba kwenye watsup dp yake ananiwekaga mimi tu mda wote na instagram full kuweka picha zangu na ujumbe wa mapenzi kuonesha ulimwengu ananipenda sana.Nikajiaminisha napendwa sana.Kwa sababu kwangu nipadogo(chumba kimoja) aka ning'ang'aniza ni hamie kwake.Nika hamia tho niliamia na rasket tu vitu vingine vilibaki kwangu na niliendelea kulipa kwangu kodi tho nimehamia kwa demu tyr.




But juzi akaamua kuniapasualia ukweli wote tukiwa kitandani.Kuwa kwao maisha ni ya chini sana tofauti na ninavyomuona na jamii inavyomchukulia pia kwao hawawezi ata kumlipia ada ya shule na matumizi tofauti na nlivyokuwa nafikiria kabla. Baada ya miezi miwili ya kuaanza mahusiano yetu alifukuzwa chuo kwa kukosa ada baada ya ndugu aliyekua anamsaidia kutofautiana nae na baada ya hapo alikutana na mbaba flani ambae alimuonea huruma na kuamua kumlipia ada na hela ya matumizi kama mwanae.Lakini eti baada ya miezi mitatu yule mbaba akampeleka nje kidogo na jiji na kulala nae mchana kwa hoteli na wamesha lala mara nne toka wakutane sasa ikiwa ni karibu mwaka na vitu vyote vya ndani,ada na hela tunazokula sio za mama yake ni za huyo mbaba.Na ananiambia hayo yote coz ananipenda sana na anataka kuachana na huyo mzee coz karibu anamaliza chuo na ameshamlipia ada tayari.Ndugu nilihisi naota ndoto kumbe ilikua ni kweli nilishindwa kumjibu mpaka leo na jibu sina.Ni kamuuliza mbona mama yako alikua anakuja kwako akaniambia mama yake anajua pale ni kwangu na nilikua nimesafiri .

Wana JF naomba ushauri nimkimbie,nimvumilie tho sina hela zakumpa akiachana na huyo mtu wake,ama nifanye nn.........????




add: Tumeshapima afya zetu wote tupo wazima.Na bibie anaforce kumwambia huyo mzee waachane sasa nafikiria wakiachana nani atampa hela ya matumiza kila siku mimi sina hizo hela???
Mwambie asimuache,ili mradi wewe umekubali ku share na huyo mzee haina tabu
 
Natofautiana na wewe. Unapooenda kwa boyfriend wako huwa amekwambia kitanda unacholalia ni cha nani. Wanawake siku hizi kuhonga ni full shangwe, hayo ni makosa ya kiiufundi mtu yeyote anaweza kutana nayo.

yani nikijua boyfriend wangu kaongwa kitanda ni kibuti siku hiyo hiyo ... pumbafu kabisa
 
Beiby nmeongea yote yale ni hasira tu za wanaopenda kulelewa...cpo ivo beiby ucjekosa nipa hela ya mboga bure leo

wala sipo huko nimtazamo wako,hela ipo kwenye draw mummy
 
huyo mwanamke ana tamaa ya kama nyumba ya kupanga kafanya sherehe kuhamia wewe ni walpaper yake hili watu wasimcheke na ungesubutu kumjibu kwa hasira ungeambulia matusi na wewe ulialika marafiki zako kwenye sherehe ya kupanga si ujinga huo hona aibu uliyonayo sasa ulitakiwa upambane na demu kakujua una msimamo utapata tabu sana
 
Akiachana na huyo mzee maisha aliyozoea kuishi bibie ataweza kumpa?... asimshawishi kuachana na huyo mzee ila amwache bibie afanye maamuzi mwenyewe..... ila ukiangalia kwa undani binti anahitaji space jamaa kashindwa kureact angemjibu dry ndiyo angejua ukweli kabisa.........uwezi kuwa na power while u have nothing..... . Kijana jamani kakaa kimya anashindwa hata afanyaje kaishi maisha ya juu sasa anatakiwa kurudi chini kwa kweli ni tatizo

Sasa nazidi kuelewa kwa nini wanaume wanaojitambua hawakubali kuoa wachagga, wanagegeda na kutoka spidi 120. Kijana kaeleza fika kuwa yuko Chuo, ina maana mwanafunzi, lakini unalazimisha aongeze utafutaji wa hela kwa vile kazidiwa na mwanamke. Aongeze vipi? Aende bodi ya mikopo wamuongezee loan, ajifunze kukwapua mifukoni? Au na yeye atafute sugarmami?
Jamani mmeona rangi halisi ya wachagga, vijana mnaotaka kuoa jioneeni wenyewe hapo mawazo ya mabinti wa kichagga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom