Hawa ndio Freelancer wa Postal Bank

Hawa ndio Freelancer wa Postal Bank

Mm nimeacha hiyo kaz last week.coz mwez mzima nilileta wateja 39.dah wakuu nikaambulia buku tatu tu.then wakakata kodi nikabakiwa na buku mbil.nililia sana kesho yake sikumuaga mtu nilisepa.walivyonipigia simu nukawatukaaaana mpaka bas
dah pole sana
 
Ukweli uliopo ni kwamba BOMU LA AJIRA LAZIMA LITALIPUKA kama hali hii itaendelea. Muda ukifika hakuna atakayezuia hata baadhi ya wanasiasa wametabiri.
 
What a shame TPB....ndio maana niliyakopa alafu nikaingia mitini!na akaunti lao nimeliacha lifie mbali!
 
Pole kwa kulia aise imeniumiza sana....kazi ni ngumu ila why watutesi hivi unampa buku 1 mtu duh...hata naulimkwa siku hamtoshi
 
Back
Top Bottom