CAG alisema Magari Kibao ya Serikali hayajulikani yanafanya Kazi Gani.. Yametelekezwa Halafu Unakuta Aliyeyatelekeza na Ujinga Wote Yupo Sehemu ai Kastaafu zake
Kwani Wewe unataka Jibu au Unataka Akili ya Mtu?? Kwanini Uishi maisha Ya 1980 wakati watu wanaishi maisha ya 2023...
Kujibu kwa Kichwa Siku hizi si ujanja Tena eti utasifiwa na Watu siku hzi watu wanatafuta Solution ya Matatizo Kwa Njia Yeyote ile Ili Mradi Tatizo Limetatulika Haijalishi...
Nunua Generator kubwa la kuanzia laki 6 mpaka mil 1.2, umeme ukikatika wa Tanesco washa Generator lako weka mafuta ya Tsh 10,000 unamaliza Shida zote za Ndani Bila Mawazo
Sasa Mambo ya Walawi yanakuhusu Nini wewe wa Kigamboni Tanzania au Kibiti.
Mambo ya Walawi ni yanayowahusu Walawi na Mungu wao ndio Alikuwa anawaandikia Hao. Kisheria Huna Kosa Lolote ukijichora Maana Hukuambiwa Wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.