wana maagent hawa ndio maana amekuuliza yawezekana yey ni fundi au agent waoSijakuelewa. Nikutumie nini?
Akuna utapeli mkuu iyo ni ISP wapya hapa na ni kampuni alali kwaio kama wataka huduma watafute watakupa ghalama zao, kutokea hapo uwamuzi ni wako bahada ya kujua ghalama zaoNaweza jua kama kuna mtu amesha wahi pata huduma zao? Nahisi kuna harufu ya UTAPELI , hawako wazi kabisa .
View attachment 2231105
Unaishi wapi kwanza na ungependa kuifungia wapi au maeneo gani ili uitumie?Sijakuelewa. Nikutumie nini?
Gharama kubwa halafu Lazima Uwe Sehemu yenye Dish peke yake. Installation tu lazima uandae laki 4 kasoro bado Bando.
Inawafaa watu wenye Maofisi na Makampuni
Gali sana Kuisntall aisee duh Milion moja na laki 6 apo bado ulipie elfu 60 au zaidi kwa mwez iyo bei wengi watashindwaHizi ndio bei walizonipa mimi, $699 (TZS 1, 625, 874.00) kununua kit yao (yenye dish, router na waya) bado hao jamaa wa kufunga nikasema hawa ni wehu. Nitasubiri tu haya makampuni mapya ya Fibre yafike mtaani kwetu tu. View attachment 2232700
Duuh kwa uandishi huu sijui kama tutafika kweli.Akuna utapeli mkuu iyo ni ISP wapya hapa na ni kampuni alali kwaio kama wataka huduma watafute watakupa ghalama zao, kutokea hapo uwamuzi ni wako bahada ya kujua ghalama zao
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Gharama znategemeana na maeneo boss mf dar cost kuwa kubwa 1.6mil nisabu ya beam ya satelite dar imejaa ko wanalazimika kutumia dish kubwa za cm120 ilikuweza kupata satellite frequens vizur na gharama ya hilo dish ndio kubwa lakin mengne ni easy n marlewano tu na kwa mwanza gharam n nafuu sana maana beam ya mwanza haina user weng ko wanatumia dish la cm74 kama la azam tv ko ukijumlisha na gharama zote unakuta kost ni 9640000/= pamoja na kifurushi cha mwaka mzima ko nikuoeta tu. Pia myeja anaweza lipia cost kwa hawamu siyo lazima yoteHizi ndio bei walizonipa mimi, $699 (TZS 1, 625, 874.00) kununua kit yao (yenye dish, router na waya) bado hao jamaa wa kufunga nikasema hawa ni wehu. Nitasubiri tu haya makampuni mapya ya Fibre yafike mtaani kwetu tu. View attachment 2232700
Tupo wazi sema kulikuwa na marekebosho ya customer care call center zetu za dar na kanda ya ziwa kwahiyo kama unahitaji uduma waweza wasiliana nasi kwa namba 0763038490Naweza jua kama kuna mtu amesha wahi pata huduma zao? Nahisi kuna harufu ya UTAPELI , hawako wazi kabisa .
View attachment 2231105
Cha Kuchekesha Ukitumia zaidi ya GB10 wanashusha SpeedHizi ndio bei walizonipa mimi, $699 (TZS 1, 625, 874.00) kununua kit yao (yenye dish, router na waya) bado hao jamaa wa kufunga nikasema hawa ni wehu. Nitasubiri tu haya makampuni mapya ya Fibre yafike mtaani kwetu tu. View attachment 2232700