ni kweli ila itakubidi ufanye kazi ya ziada manake hao itv,na izo channel zingine huwa wanachange frequency karibu kila mwezi.
itakulazimu uwe unalizungusha dishi ili kuipata iyo channel ambayo frequency zimebadilishwa,na ukumbuke kila ukichange direction ya dish unazikosa zingine na...
Sio uhuni ndo masharti ya kula lazma uliwe.yupo jamaa yangu aliomba mkopo wa machinery gari yenye friza tani 2 na nusu.alifanikiwa na alipitia hatua kama ivo na 5 percent ya mkopo alilipa+takrima.it takes slopes&hills to succeed.no paths are so clear
hao wapo independent ninavyojua,chini ya shirika lao india.hao collaborators ni kama business partners kurahisisha kazi ya uwekezaji.Labda there is something FISHY..
st.joseph ni ya wakatoliki. chini ya DMI-daughters of mary immaculate and collaborators.nimesoma diploma ya nta level 6 civil engineering hapo luguruni dsm. na nimkatoliki pia.ww huelewi kitu.
badala ya serikali kupoteza pesa na kubomoa majengo.ingeyatwaa jayo majengo na kuweka huduma muhimu za jamii kama hospitali,shule na huduma zinginezo.
-ikishindwa imilikishe hayo majengo kwa NHC watu tupange.ama vepeee¡
Mkuu naona mwalimu wa lugha..Anyway nilikuwa nimeng'atwa na sisimizi nilipokuwa natype.
-Go to hell crdb,I now closed all of my crdb accounts and shifted to barclays 6 months ago=efficient services ever.
-ambae hajawai kuibiwa aje hapa tujadili.
chochote kinachonifaa on my way lazima kipate promo.kisichonifaa pia promo lazima.
-Ni wazi kuwa crdb wanatabia hiyo na si hivyo tu bali wanatatizo la mtandao.unaweza kushop online na ukaachwa kwenye mataa au funds ikawa loaded zaidi ya mara 1.
-Barclays benki ya wa british.hawahitaji promo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.