![]()
![]()
Huku Sinza ni vilio na taharuki. Serikali inaweka X kwenye maeneo ya wazi ambayo watu wamejenga nyumba za makazi au Biashara.
Ha ha hahao ni matapeli tu!
...ilisha kubalika ubomoaji ufanyike mabondeni pekee! ambako ujenzi wake umesababisha joto jingi dar kwa ardhi kukosa pahala pa kupumulia na vegetation iliyokuwepo ilisaidia sana hata kutuletea mvua.
Ina maana waliovamia sehemu za wazi wanaachwa!hao ni matapeli tu!
...ilisha kubalika ubomoaji ufanyike mabondeni pekee! ambako ujenzi wake umesababisha joto jingi dar kwa ardhi kukosa pahala pa kupumulia na vegetation iliyokuwepo ilisaidia sana hata kutuletea mvua.