Recent content by Brown ad

  1. Brown ad

    Mdau: Unapenda kula kitimoto ipi?

    Ya kuoka bwana ni hatari kabisa
  2. Brown ad

    Hivi hizi tuzo za Tanzania Leadership awards Clouds Media hawakushiriki...?

    Efm ndio wadhamini wa izo tuzo clouds hawezi kushirikishwa na hata angeshirikishwa asingeshinda
  3. Brown ad

    Gerald Hando kadorora E-Fm

    Mimi nilikua shabiki msikilizaji mzuri sana wa Power Breakfast ya Clouds Fm nakiri kiukweli bwana Gerald Hando ndiye aliyenihamasisha kuwa msikilizaji wa kila siku na alipohama kwenda E-fm nikahama naye Ila nikaendelee kupata ile ladha yake!! ila nasikitika kusema kuwa baada ya kuhamia huku...
  4. Brown ad

    Joto la Asubuhi (Hando, PJ na Adela) vs Power Breakfast (Masoud, Fredwaa na Barbara)

    kaka bonda yupo hai bwana iyo maisha plus wanafanya pamoja na masoud kipanya!!
  5. Brown ad

    Joto la Asubuhi (Hando, PJ na Adela) vs Power Breakfast (Masoud, Fredwaa na Barbara)

    kweli mpoki analeta masihara mpaka anapitiliza anaharibu kipindi yaani ukiuliza kipindi cha ubaoni Kina dhima gani huwezi kuelezea kabisa kiukweli kipindi efm ni cha michezo na uhondo tu
  6. Brown ad

    Hati ya nyumba

    nilikua nawaza km wewe inawezekana akawa ni yeye huu ni mwandiko wake kabisa
  7. Brown ad

    Mkuu wa Home Shopping Center atembelewa na mkuu wa mkoa wa Dar

    hizi simu kumbe walipewa wote mbona le mutuz alipost picha karibu kumi za kujisifia kapewa simu kwa ajili ana akili kubwa daaah yule baba Mungu anamuona
  8. Brown ad

    Joto la Asubuhi (Hando, PJ na Adela) vs Power Breakfast (Masoud, Fredwaa na Barbara)

    nilimsikia kwa masikio yangu yule bikira wa kisukuma, mpoki na yule mwenzao wakiipondea ile show ya chips yai waliyofanya clouds na wao wakafanya komaa concert
  9. Brown ad

    Joto la Asubuhi (Hando, PJ na Adela) vs Power Breakfast (Masoud, Fredwaa na Barbara)

    kweli kabisa masoud anajua kuliko kairudisha pb katika hadhi yake Efm sijajua tatizo ni pr manager au presenters vipindi havieleweki dhima yake wanaishia kupiga majungu tu kwenye vipindi
  10. Brown ad

    Joto la Asubuhi (Hando, PJ na Adela) vs Power Breakfast (Masoud, Fredwaa na Barbara)

    hando na pj walipoondoka pb ilitetereka ila baada ya kuja masoud kipanya na siza pb imeimarika imekua bora kushinda ile ya hando na pj kwaiyo mpk sasa pb ndio kipindi bora cha asubuhi mpk sasa
  11. Brown ad

    Hawa Clouds Fm ni wa ajabu sana jamani

    Sijui clouds watafanya kitu gani kiwe kizuri
  12. Brown ad

    Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

    chaaaaa sasa huyo mwanae nguo si kamnunulia yeye hebu acha chuki mwanamke
  13. Brown ad

    George Bantu usimuige Kibonde na mwenzake

    kweli ukishakua clouds fm unakua star automatically alivyokua EA radio hakuna hata alikua akijali ayafanyayo
  14. Brown ad

    Kubadilisha camera ya simu (Samsung S4)

    nimeambiwa inabadilishika
  15. Brown ad

    Kubadilisha camera ya simu (Samsung S4)

    habari wana jamvi!! simu yangu ya Samsung s4 ilianguka na bahati mbaya ikaharibika camera yaan screen yake imevunjika kwaiyo nikipiga picha inatoka kama ina ukungu!! Kwaiyo nilikua naomba ushari je nibadilishe hii camera au niache tu maana nahofu baada ya kufunguliwa simu uenda ikaleta tatizo
Back
Top Bottom