Mjinga huyo wanawake akili zonafanana kama angekuwa anakupenda kiasi cha kujidhuru kwa ajili yako asingefanya huo ujinga anaokufanyia piga chini endelea na mambo yako cha kufia nn?
Njia pekee ni kuwachana live wakiwa darasani ila c kuwataja majina LA sivyo ataingia mkenge nakumbuka nilipokuwa field mwaka Jana kuna binti alijifanya ananitaka nilimponda nikamtia fimbo mbele ya wanafunzi mpaka nimemaliza field heshima IPO jitahidi hao ni wanao we ni mzazi
Da kweli wabongo c ni wapuuzi maana kuna mchina kamuua mtanzania kwenye migodi kisa kudai aongezewe hela lkn kimya sisikii chochote aise I hate to be in this poor countries
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.