Nampenda lakini meseji zake za mkato

Nampenda lakini meseji zake za mkato

Washikaji napiga kilaji hapa oxygen bar Tabora town nimeptove na nimeamin wana JF mko vizur kimawazo ..... nimefanya maamuzi na kweli tangia jana usiku hajanijulia hali eyote.... maamuzi mlonishauri na nmefanya ni sahihi.....THANK YOU VERY MUCH GUYS AND LADIES.
 
Kifupi ni kwamba hakutaki ila hataki kukwambia anahofia utaumia maana anajua unampenda ila tatizo moyo wake haukufikirii kabisaa. chukua hatua
 
Jipange baba,
Kwa jinsi mademu wa siku iz wanavozitafuta ndoa...! Mkuu huyo demu hakutaki , chukua 50 zako ,
Labda cha kukusaidia ni kwamba , wewe niPm namba yake alaf nitajarib kuongea nae kuhusu suala lako.. Naamin ataelewa tu.. Fanya hima nipate hiyo namba
Khaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaha nimecheka sana hahahaha sasa kumbe IPhone kiboko
 
Hahahaha nimecheka sana hahahaha sasa kumbe IPhone kiboko
 
kuna watu wana bahti...yan anapendwa ivyo apendiiii..mweee kama iangukie kwangu vile....
chukua hatua mapema #mawasiliano huimarisha mahusiano#
 
Ukiona anachati kwa namna hiyo ujue anabanwa sana na bwana ake mkuu na huwa wako pamoja so huwa anajibu kwa kuibia ibia
 
Huyo demu nae boya Kama Hataki si Aseme tu
 
hahaha,haya mambo nakumbuka niliyapitia kwa mtoto mmoja anaitwa lulu,alikuwa ananitesa balaa,sikuwa mjanja kwenye mapenzi,lakn sasa nawaweza sana hawa mabinti,hawanisumbui,unapofanya mitihani mingi ndo unavyozid kukua kiakili,
 
Huyo demu yupo insta. Na ninavyojua huwa inakera mtu upo insta afu unapigiwa au msg inaingia.
Kosa la pili ni kutomgegeda.
 
Huo ndio ukweli, mtu ukimpenda hata kama huna salio unakopa mtandao wala hujuu utalipaje lkn unakopa tu japo upate sms za kuchatu nae.

Mtu asiyekupenda mtihani wake ni mdogo tu, kwanza lazima utambue nature ya kazi yake,.muda wa kazi na muda wa.mapumziko kama yeye muda wote hayuko ymtyr kuchati ukang'ang'ania basi usubiei kutumbuliwa tu
Mimi ni mwanamke na mtoa uzi amini amini nakwambia: hakika huyo dada walaa hakutaki! wala hakupendi! wala hana time na wewe ila wewe una force ile mbaya...nnachofahamu mimi kama unampenda jamaa tena utatamani hata mchati 24hrs bila hata break...!! ila huyo hawezi tu kufunguka kwamba You are no longer for him...huo ndio ukweli Deadly set true!! unauma lakin i know cos i've been there before and experience the same thing kwa jamaa ambae hakunipenda...japo mi mjanja niligundua mapema kabla hakuniacha nikamuwahi mimi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji23]
 
duuuh..pole kaka yangu staili za meseji za huyo zinafanana na za kijamaa changu cha zamani...kalikuwa hivohivo..wew unahangaika kumjulia hali kumbe mwenzio hana hata interest na wew..yeuwiii nilichoka nikaamua kumove on..sitamani tena kupendwa jamani..
Pole kwa yaliyokukuta ba shaka ushapata wa kwako
 
I'm not blessed but i'm lucky....kumbe mapenzi yanasumbua kiasi hiki?? Poleni sana bhandugu.
Mimi niliona taratibu mipango mlipanga haitekelezwi na visingizio kibao, mara usinitafute niko busy kazini!!!! Mara hili mara lile. Nikaona isiwe kazi nikaamua kutangaza kufutilia mbali. Ukweli nilimpenda sana na nilipogundua kupitia integeligensia zangu kuwa amepata mtu mwingine ila hataki kusema basi nikaamua kufumua kila kitu. Ukweli moyo uliniuma sana kwa kuwa nilimpenda kwa dhadi na nilijitoa sana kwa mawazo na kila kitu. Wanaume 90% wanachoandika kwa keyboard za simu au kutamka mdomoni inabidi uende ukae utafakari kila sentensi na kila neno. Na kama nisingekuwa mwangalifu na mfuatiliaji ningeingia chaka kinene sana. God is Good all the times. I am healed kabisa and very happy with my life.
 
Aisee umenkumbusha, yalinikuta hayohayo ndugu yangu!... nlichojua baadaye kumbe alitaka tuachane ila hakuweza kusema.. mchunguze mkuu huenda ndo walewale kama wangu.

Mimi nlipojua hilo skuwa na shida nami nkakata mawasiliano nae pia hakunitafuta. Viumbe hawaa..!
Wadudu nakazia
 
Back
Top Bottom