Recent content by Broker...

  1. B

    JamiiForums Tanzania Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    naomba kuuliza mbegu zinauwezo wa kukaa mwilini mwa mwanamke kwa muda wa siku ngap? kabla ya kutunga mimba??? namaanisha mwanamke akifanya mapenzi siku ya 12 mbegu zinauwezo wa kukaa mpaka siku ya 14 zije zirutubishe yai mimba itungwe??
  2. B

    JamiiForums Tanzania KUKU kikwenu anaitwaje?

    nguku-kichaga
  3. B

    JamiiForums Tanzania Nakua chizi kwa wivu wa mke wangu...

    Mkuu kuwa na msimamo mwambie hupendi hiyo tabia na pili umeshasema ni mkeo hivyo wewe ni mwanaume sio mvulana kwa hiyo kuna wakati unapaswa ufanye mambo kama mume na sio kama wafanyavyo wavulana (wasiooa)
  4. B

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa hello hello Tanzania!

    naomba mwenye huo wimbo au link ya wimbo huo ulioimbwa na msanii Lina Sanga.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Majina ya Makonstebo Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

    naomba uniangalizie majina yanayoanza na herufi I..
  6. B

    JamiiForums Tanzania Jamani kwa wanaofahamu, hili ni tunda gani?

    Topetope!
  7. B

    JamiiForums Tanzania Njia (route) zaidi ya 60 za daladala Dar kusitishwa...

    Hii habari ilitoka kuanzia ijumaa ya tarehe 28/03/2014 kwa hiyo ni habari ya kweli kabisa haina uhusiano na sikukuu ya wajinga..
  8. B

    JamiiForums Tanzania Inasemekana Zimamoto wametoa tena majina ya nyongeza?

    naomba uniekee majina ya herufi I
  9. B

    JamiiForums Tanzania Zima Moto Updates

    fanya hivyo mkuu utusaidie sisi tuliopo mbali na huduma ya kupata hilo gazeti
  10. B

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Ku-Apply Kazi za PPF

    naomba kuuliza mwisho wa kutuma maombi ilikuwa ni lini???
  11. B

    JamiiForums Tanzania msaada wa kufungua facebook kwenye laptop

    wandugu naomba kwa anayeweza kunisaidia niweze kufungua account yangu ya facebook kwenye laptop maana tokea juzi niki log in haionyeshi picha zozote wala messages lakini nakuwa naonekana online,,na page yenyewe ipo tofauti na jinsi page ya facebook inavyofungukaga kawaida.Nitashukuru sana kwa...
  12. B

    JamiiForums Tanzania msaada

    Naomba anayeweza kuniambia kama ni ugonjwa au ni hali tuu ya kawaida inayoweza kumtokea mtu.. kisa chenyewe ni hivi kuna msichana nilikuwa na mahusiano nae kwa takribani miezi 10 hivi akaja akaanza kudate na mtu mwingine sasa shida inakuja pale ninapotaka kuanzisha uhusiano a mtu mwingine...
  13. B

    JamiiForums Tanzania wimbo wa bosi ulioimbwa na ferooz!!

    mia kiongozi asante kwa kunipatia huo wimbo
  14. B

    JamiiForums Tanzania wimbo wa bosi ulioimbwa na ferooz!!

    wakuu naombeni mwenye hiyo link anisaidie
  15. B

    JamiiForums Tanzania wimbo wa bosi ulioimbwa na ferooz!!

    naomba mwenye link yenye huo wimbo anisaidie nina shida nao sana......
Back
Top Bottom