Recent content by Brayson Minja

  1. Brayson Minja

    UDSM na yenyewe yajitosa kwenye sakata la uwekezaji bandarini

    Tatizo sio uwekezaji ni terms and conditions za mkataba atujapnga uwekezaji
  2. Brayson Minja

    Sijui hapa nishauri nini kwa wapenzi hawa?

    Kwa biti yoyote anaejielewa na yuko mbioni kuolewa ni ngumu kutoka usiku wa manane . Huyo afai apige chini.
  3. Brayson Minja

    Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

    Pole sana dada, maisha yamejaa changamoto nyingi na mateso lakini katika yote Mungu ana tupitisha maana ana jua kila jaribu analotupa tunauwezo wa kulibeba kikubwa ni kuendelea kumuomba MUNGU akuna maumivu yasiyo na mwisho kwake!
  4. Brayson Minja

    Kumbukizi: Jinsi muvi ya Kichina ilivyomtoa Rapa RZA

    Acha kabisa nime fanikiwa kuitazama ni bonge moja la series na Inspiration kwa vijana tunao pambana
  5. Brayson Minja

    Muongozo kuhusu kozi ya Postgraduate Diploma in Education

    Habari wana jamvi, Nilkuwa na omba kujua kiundani kuhusiana na hii kozi ya post graduate deploma in education. Mimi baada ya kumaliza degree yangu nataka ni badili fani. Swali langu ni ili baada ya kumalza hii kozi ajra ziki toka unaajiriwa kama mtu mwenye degree ya uwalimu au yenyewe ina kuwa...
  6. Brayson Minja

    Nipi tofauti kati ya Bachelor of science in Education na Bachelor of science with education

    Habari wana jamvi kama kichwa cha habari kinavo jieleza apo juu, Kati ya hizo course mbili yupi ni mwalimu na tofauti yao ni ipi? Asanteni sana
  7. Brayson Minja

    Kiki zinazidi kuua mziki wetu si kuukuza

    Hivi hawa wasanii wetu hasa hizi lebo mbili kubwa Tanzania nini kina wakumba awawezi kufanya kazi bila kuwa na kiki? Ukiangalia mziki watanzania ulikuwa una kua kwa kasi kubwa sana, lakini hii miaka ya karibuni umeanza kushuka na hii ina sababishwa na wasanii wetu baadala ya ku focus na ngoma...
  8. Brayson Minja

    Habari naomba msaada wa ufafanuzi kuhusu haya mambo kwenye laptop

    Nlkuwa na angalia movie kwenye PC yang then charge adapter ilkuwa nyuma ya screen kama cm 15 iv baada ya mda kutoka kidg na rud after 30mn nakuta screen ime pungua mwanga sana fund aka niambia n ime kufa ic nka nunua scrn nyngn. Swal lang mm n hili chanzo cha iyo scren kuwa dark (yan ina onysha...
  9. Brayson Minja

    Msaada: Laptop yangu imezima kioo lakini sauti inatoka

    Jarib ku connect kweny flat kama ina pg kaz shda ita kuwa kweny screen s graphics card
  10. Brayson Minja

    Mjue mwanamziki Nahreel

    Copy and paste create your own Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom