Recent content by Bravo Mike

  1. B

    Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

    Rekebisha kidogo, Sio misikiti bali Musallah ( Chumba cha kusalia) yaani 5m x 5m chumba kidogo tu kinatosha kabisa.. Wakati abiria wanasubiri kuondoka na muda wa Swala umefika.
  2. B

    Oil sahihi ya subaru SJ5

    Hiyo Subaru ilitengenezwa kwa soko la Japan, nchi yenye baridi kali ndio maana ilitakiwa itumie oil ya 0W20 , kama upo Dar, tumia oil yenye grade 10W30 synthetic.. Grade ya oil inategemea hali ya hewa gari inapotumika sio aina ya gari. 0W20 ni nyepesi sana kwa hali hewa ya kwetu. Fanya utafiti...
  3. B

    Jiji lisilo na maji wala barabara litakuwaje mwenyeji wa AFCON?

    Kwa hiyo hao wengine waliondaa hayo mashindano ya AFCON sijui Cote de Ivoire, Cameroon, Gabon, Equtorial Guinea wana maendeleo gani ya kimiundo mbinu ya ajabu kutushinda sisi? Mbona ni mafukara tu pangu pakavu na wamefanya?
  4. B

    Africa Tuna Tatizo Gani? Japo Tuna rasilimali Lukuki, Kutengeneza Mabilionea Lukuki, Iweje Kwenye Orodha ya Mabilionea 100 wa Forbes, Mwafrika ni 1

    Unamaanisha U.S sio? Manake U.S ndio inaongoza kuuwa watu duniani, sasa juzi wameenda kuuwa WaVenezuela 400 ya nini?
  5. B

    Unatoaje weusi kwapani na shingoni?

    Huo uweusi jiulize sababu ni nini, weka madawa ya kupaka pembeni. Fuatilia na ufanye utafiti dalili ya kiafya inayoitwa Insulin resistance, Ni sawa na gari itoe moshi mzito mweupe halafu unaipeleka car wash waisafishe labda itaacha kutoa moshi. Insulin Resistance is real.
  6. B

    IDF usiku huu yaanza kuwatandika Mboko wa-Houth wa huko Yemen!!!

    Israel ina hasira sana , kila akiangalia alichofanyiwa na Ayatollah hasira zinapanda sana..
  7. B

    Hii hukumu ya kuwaruhusu WATOTO wa kiislamu waliozaliwa nje ya Ndoa kurithi Mali za baba zao ikifika na hapa Tanzania sijui itakuwaje?!

    Sikiliza wewe usiejua kitu, kama kitu hujui uliza.. Uislam umempa haki baba mtu agawe mali yake apendavyo wakati yuko hai, anatakiwa awagawie wote watoto anaodhani ni wakwake walio nje ya ndoa madhali yuko hai.. Isitoshe bado pia kapewa nafasi tena kuandika wasia / wosia ya mali yake sio zaidi...
  8. B

    Hii hukumu ya kuwaruhusu WATOTO wa kiislamu waliozaliwa nje ya Ndoa kurithi Mali za baba zao ikifika na hapa Tanzania sijui itakuwaje?!

    Kwahiyo hiyo sheria ya mtoto wa nje ya ndoa ili arithi sharti iwe lazima mtoto afanane na babayake, asipofanana na babayake harithi.. Basi itakuwa sheria ya ajabu sana hiyo hahahahhaa
  9. B

    Hii hukumu ya kuwaruhusu WATOTO wa kiislamu waliozaliwa nje ya Ndoa kurithi Mali za baba zao ikifika na hapa Tanzania sijui itakuwaje?!

    Mtoto atarithi mali za baba yupi?. Maana Mama yake katembeza kitumbua kwa wengi, baba ni yupi? Au kwa sababu Marehemu alikuwa na vijisenti ndio aangushiwe nyumba bovu? We vipi bana!
  10. B

    Hii hukumu ya kuwaruhusu WATOTO wa kiislamu waliozaliwa nje ya Ndoa kurithi Mali za baba zao ikifika na hapa Tanzania sijui itakuwaje?!

    Sheria ya mirathi ni kama sheria ya uraia wa nchi, kuzaliwa nchini bila kutimiza masharti mengine ya uraia hakukupi haki za uraia hata kama ulizaliwa hapahapa na unaongea kiswahili fasaha kuliko Shabaan Robert na umeishi nchini miaka 50.
  11. B

    Sekta ya kitekinolojia ya Israel imeanguka kwa %44 kutokana na mashambulizi ya Iran

    Wewe unamjua Trump au unamsikia ?yeye na mambo ya pesa hataki mchezo kabisa, huyo ni mfanya biashara bahili kwelikweli, pesa ya hazina ya Marekani anahisi kama za kwake binafsi.. Usiku na mchana anawaza akapore wapi pesa, wewe unazungumza eti ataijenga Israel, acha mzaha Mzee..!
  12. B

    Trump: Nimemuokoa na Kifo kibaya kwa Ayatollah, Pia nimezuia maangamizi ya jiji la Tehran

    Mtu na akili zake timamu anamsikiliza na kumuamini Trump. Vipi Canada na Greenland zimeshajiunga na Marekani? Na ile Riviera ya Gaza inaendeleaje? Bila kusahau ile siku ya kwanza akiingia madarakani atampigia simu moja tu Putin na vita ya Ukraine vitasimama hahaha ngoja tumuulize Elon Musk !
  13. B

    Breaking: Netanyahu akubali kusitisha vita baada ya shambulio la Iran asubuhi ya Leo 24.06.2025

    Netanyahu katangaza kuwa wao ni watu wa amani hawapendi vita, hivyo anaomba Iran asitishe vita na anaamini WaIran ni watu wapenda amani.
Back
Top Bottom