Iran imejichokea kupitiliza

Iran imejichokea kupitiliza

Heshima sana wanajamvi.
Si kawaida yangu kuchangia jukwaa hili lakini leo imenibidi nishiriki japo kwa uchache.

Iran ya Ayatollah ya mwaka 1979 hadi mwaka 2025 imeharibiwa vibaya mno.

Iran iliyoweza kumudu kuishi na vikwazo kwa muda mrefu sana kiasi miaka 47 sasa imefikia tamati.

Vita ya Iran na USA & Israel si vita vya kidini kama Watanganyika wengi wanavyofiki including Mohamed Said .

Vita vya Iran na USA & Israel unaweza kuviweka katika sehemu mbili kuu.
USA anaitazama vita hivi kiuchumi zaidi,hasa maslahi yake dhidi ya China inayotaka kuondoa ukuu USA.
Israel ni suala la usalama wake wa kuendelea kuwepo.

Uimara wa Iran kiuchumi,science & technology ni kitisho eneo lote la mashariki ya kati.Makundi mengi ya kigaidi kama Hizibullah & Hamas yalikuwa yakitegemea msaada ya kijeshi na fedha kutokea Tehran.Iran ikitetereka makundi yote ya kigaidi yatajifia taratibu kwakuwa hayatakuwa yakipata tena ufadhili kutokea Tehran.
Iran haijaanguka na bado ipo imara,wameshaanza kukarabati miundombinu yao iliyoharibika tena kwa haraka mno na mengine imeanza kufanya kazi.
-Hamas sio kundi la kigaidi bali ni wapigania uhuru wa Palestina ambao walianzishwa 2004 na Mossad wenyewe ili waiangushe PLO mwishowe ikawageuka Israel yenyewe.
-Hizbollah sio kundi la kigaidi ni political organization ambayo ilianza miaka ambayo Iran ni rafiki wa Israel. Na imeanza kufadhiliwa pesa na Iran miaka ya 2000s baada ya Iran kuwa adui wa Israel kuanzia 1990s.

Uache upotoshaji.
Iran imara ni kitisho kwa mataifa yote ya middle east ndio maana mataifa yote ya mashariki yakati yakumbana na makombora ya Iran.Sasa hapo ukitia udini ni kijizima data na kuendeleza ushabiki wa kijinga.
Iran haijawahi kuwa tishio kwa mashariki ya kati,Iran ni tishio kwa Israel na maslahi ya Marekani. Iran haijawahi kuvamia taifa lolote na ndilo taifa pekee linalozuia kujitanua kwa Israel. Kama ingekua tishio Saudi Arabia isingeanzisha ushirikiano nao,Qatar isingeanzisha ushirikiano nao wa kibiashara na Bahrain wasingeandamana katika hii vita kutaka kujiunga na Iran.Pia wasingekua na urafiki na Oman
Iran ya sasa imesambaratishwa vibaya mno.
Wananchi wa Iran walikuwa na uhaba wa maji kabla ya vita.
Ayatollah aliwekeza zaidi katika masula ya ulinzi na usalama.Badala ya kujenga miundombinu ya maji na umeme wa uhakika ilijikita zaidi kujenga makombora na mitambo ya nyuklia.
Ill informed man. Iran ni miongoni mwa nchi zenye nishati ya uhakika ya umeme kupitia vinu yake vyak nuclear vya Natanz na Isfahan. Miundombinu ya maji iliwekezwa isipokua hali ya ukame inayosababishwa na majanga ya asili vilichagiza matatizo ya ukosefy wa maji.
Na inasemekana radar za USA pale mid east zilikua zinafanya weather manipulation kuharibu hali ya hewa maana baada ya kulipuliwa mvua zinanyeesha na mabwawa yanafurika maji.
Iran inakwenda Islamabad ikiwa haina kadi ya maana labda mlango wa Hormuz ambayo pia USA kashauziba.
Iran ya Ayatollah 1979 imejifia kifo cha Mende.kauli mbiu yake kifo kwa Israel kifo kwa USA imegeuka kichekesho imewarejea wenyewe.
USA ameziba gulf of Oman sio Hormuz. Analenga kuzuia meli zitakazolipa ushuru Hormuz zisipite na kuzuia meli za mizigo za Iran zisipite Oman gulf,bahati mbaya mshirika mkubwa wa Iran ni China na daily hupakia mafuta na kuondoka nayo. Kwa Iran kuna CASPIAN SEA ambayo Iran anaitumia kusafirisha mahitaji baina yake na Urusi,Uzbekistan,Kazakhstan na Azerbaijan. Pia amepakana na Pakistan ambako mipaka ishafunguliwa biashara zinafanyika.
Mashabiki wa Iran ni wakati wa kukubali bila hiyana zama za kutamba na kufadhili makundi ya ugaidi umefika mwisho wa mwisho.
Iran ijayo itakuwa kama Iraq.

Ngongo kawasasa Tehran.
Iran haijawahi kufadhili magaidi maana Hamas na Hizbollah sio magaidi.
Ndio maana Hispania ilichukua uamuzi wa kumuunga mkono Iran kimatamshi katika vita na imefungua upya balozi yake nchini Iran.
Nchi za gulf ikiwemo Qatar zimefutilia mbali mikataba ya kiulinzi na Marekani.

NAKUSIHI KAMA HUJUI KITU USIJE ANDIKA UTUMBO HUMU.
 
Iran lita ya mafuta sh 61 za Tanzania, Unit moja ya Umeme sh 10 ya Tanzania, unit moja ya maji (lita 1000 aka mapipa 10) sh 8 za Tanzania, vyakula, Nyama, maziwa etc vyote bei rahisi kuliko Tanzania na GDP per capita yao ni mara 4 ya Tanzania. Utaskia MTU anakwambia Iran Wana shida.
Hiyo siyo hoja kwani hata India GDP yao ni zaidi ya mara thelathini ya ile ya Tanzania lakini bado India kuna watu maskini kuliko Tanzania.
 
Hiyo siyo hoja kwani hata India GDP yao ni zaidi ya mara thelathini ya ile ya Tanzania lakini bado India kuna watu maskini kuliko Tanzania.
Tofautisha GDP na gdp per capita Kwanza, GDP per capita ya India ni kama mara 2 ya Tanzania na cost za maisha si ndogo

mafuta India zaidi ya 3000, Tanzania zaidi ya 3000 Iran chini ya 100

Umeme Tanzania unit kama zaidi 300 India zaidi ya 200 Iran kama sh 10 etc.

Kila unapogusa Iran ni bei rahisi.
 
Heshima sana wanajamvi.
Si kawaida yangu kuchangia jukwaa hili lakini leo imenibidi nishiriki japo kwa uchache.

Iran ya Ayatollah ya mwaka 1979 hadi mwaka 2025 imeharibiwa vibaya mno.

Iran iliyoweza kumudu kuishi na vikwazo kwa muda mrefu sana kiasi miaka 47 sasa imefikia tamati.

Vita ya Iran na USA & Israel si vita vya kidini kama Watanganyika wengi wanavyofiki including Mohamed Said .

Vita vya Iran na USA & Israel unaweza kuviweka katika sehemu mbili kuu.
USA anaitazama vita hivi kiuchumi zaidi,hasa maslahi yake dhidi ya China inayotaka kuondoa ukuu USA.
Israel ni suala la usalama wake wa kuendelea kuwepo.

Uimara wa Iran kiuchumi,science & technology ni kitisho eneo lote la mashariki ya kati.Makundi mengi ya kigaidi kama Hizibullah & Hamas yalikuwa yakitegemea msaada ya kijeshi na fedha kutokea Tehran.Iran ikitetereka makundi yote ya kigaidi yatajifia taratibu kwakuwa hayatakuwa yakipata tena ufadhili kutokea Tehran.

Iran imara ni kitisho kwa mataifa yote ya middle east ndio maana mataifa yote ya mashariki yakati yakumbana na makombora ya Iran.Sasa hapo ukitia udini ni kijizima data na kuendeleza ushabiki wa kijinga.

Iran ya sasa imesambaratishwa vibaya mno.
Wananchi wa Iran walikuwa na uhaba wa maji kabla ya vita.
Ayatollah aliwekeza zaidi katika masula ya ulinzi na usalama.Badala ya kujenga miundombinu ya maji na umeme wa uhakika ilijikita zaidi kujenga makombora na mitambo ya nyuklia.

Iran inakwenda Islamabad ikiwa haina kadi ya maana labda mlango wa Hormuz ambayo pia USA kashauziba.
Iran ya Ayatollah 1979 imejifia kifo cha Mende.kauli mbiu yake kifo kwa Israel kifo kwa USA imegeuka kichekesho imewarejea wenyewe.

Mashabiki wa Iran ni wakati wa kukubali bila hiyana zama za kutamba na kufadhili makundi ya ugaidi umefika mwisho wa mwisho.
Iran ijayo itakuwa kama Iraq.

Ngongo kawasasa Tehran.
t.jpg

1.jpg
 
Heshima sana wanajamvi.
Si kawaida yangu kuchangia jukwaa hili lakini leo imenibidi nishiriki japo kwa uchache.

Iran ya Ayatollah ya mwaka 1979 hadi mwaka 2025 imeharibiwa vibaya mno.

Iran iliyoweza kumudu kuishi na vikwazo kwa muda mrefu sana kiasi miaka 47 sasa imefikia tamati.

Vita ya Iran na USA & Israel si vita vya kidini kama Watanganyika wengi wanavyofiki including Mohamed Said .

Vita vya Iran na USA & Israel unaweza kuviweka katika sehemu mbili kuu.
USA anaitazama vita hivi kiuchumi zaidi,hasa maslahi yake dhidi ya China inayotaka kuondoa ukuu USA.
Israel ni suala la usalama wake wa kuendelea kuwepo.

Uimara wa Iran kiuchumi,science & technology ni kitisho eneo lote la mashariki ya kati.Makundi mengi ya kigaidi kama Hizibullah & Hamas yalikuwa yakitegemea msaada ya kijeshi na fedha kutokea Tehran.Iran ikitetereka makundi yote ya kigaidi yatajifia taratibu kwakuwa hayatakuwa yakipata tena ufadhili kutokea Tehran.

Iran imara ni kitisho kwa mataifa yote ya middle east ndio maana mataifa yote ya mashariki yakati yakumbana na makombora ya Iran.Sasa hapo ukitia udini ni kijizima data na kuendeleza ushabiki wa kijinga.

Iran ya sasa imesambaratishwa vibaya mno.
Wananchi wa Iran walikuwa na uhaba wa maji kabla ya vita.
Ayatollah aliwekeza zaidi katika masula ya ulinzi na usalama.Badala ya kujenga miundombinu ya maji na umeme wa uhakika ilijikita zaidi kujenga makombora na mitambo ya nyuklia.

Iran inakwenda Islamabad ikiwa haina kadi ya maana labda mlango wa Hormuz ambayo pia USA kashauziba.
Iran ya Ayatollah 1979 imejifia kifo cha Mende.kauli mbiu yake kifo kwa Israel kifo kwa USA imegeuka kichekesho imewarejea wenyewe.

Mashabiki wa Iran ni wakati wa kukubali bila hiyana zama za kutamba na kufadhili makundi ya ugaidi umefika mwisho wa mwisho.
Iran ijayo itakuwa kama Iraq.

Ngongo kawasasa Tehran.
MKuu mada nyingine zinakushushia heshima. Kuwaga makini.
 
Heshima sana wanajamvi.
Si kawaida yangu kuchangia jukwaa hili lakini leo imenibidi nishiriki japo kwa uchache.

Iran ya Ayatollah ya mwaka 1979 hadi mwaka 2025 imeharibiwa vibaya mno.

Iran iliyoweza kumudu kuishi na vikwazo kwa muda mrefu sana kiasi miaka 47 sasa imefikia tamati.

Vita ya Iran na USA & Israel si vita vya kidini kama Watanganyika wengi wanavyofiki including Mohamed Said .

Vita vya Iran na USA & Israel unaweza kuviweka katika sehemu mbili kuu.
USA anaitazama vita hivi kiuchumi zaidi,hasa maslahi yake dhidi ya China inayotaka kuondoa ukuu USA.
Israel ni suala la usalama wake wa kuendelea kuwepo.

Uimara wa Iran kiuchumi,science & technology ni kitisho eneo lote la mashariki ya kati.Makundi mengi ya kigaidi kama Hizibullah & Hamas yalikuwa yakitegemea msaada ya kijeshi na fedha kutokea Tehran.Iran ikitetereka makundi yote ya kigaidi yatajifia taratibu kwakuwa hayatakuwa yakipata tena ufadhili kutokea Tehran.

Iran imara ni kitisho kwa mataifa yote ya middle east ndio maana mataifa yote ya mashariki yakati yakumbana na makombora ya Iran.Sasa hapo ukitia udini ni kijizima data na kuendeleza ushabiki wa kijinga.

Iran ya sasa imesambaratishwa vibaya mno.
Wananchi wa Iran walikuwa na uhaba wa maji kabla ya vita.
Ayatollah aliwekeza zaidi katika masula ya ulinzi na usalama.Badala ya kujenga miundombinu ya maji na umeme wa uhakika ilijikita zaidi kujenga makombora na mitambo ya nyuklia.

Iran inakwenda Islamabad ikiwa haina kadi ya maana labda mlango wa Hormuz ambayo pia USA kashauziba.
Iran ya Ayatollah 1979 imejifia kifo cha Mende.kauli mbiu yake kifo kwa Israel kifo kwa USA imegeuka kichekesho imewarejea wenyewe.

Mashabiki wa Iran ni wakati wa kukubali bila hiyana zama za kutamba na kufadhili makundi ya ugaidi umefika mwisho wa mwisho.
Iran ijayo itakuwa kama Iraq.

Ngongo kawasasa Tehran.
 

Attachments

  • 20260408_080650.jpg
    20260408_080650.jpg
    154.3 KB · Views: 5
Na ongezea hapo nchi zote za kiarabu zinategemea vegetables kutoka iran


Waarabu ukiwaondolea tende na mafuta hawana kingine cha kujivunia
Sio kweli, ni maarufu pia Kwa biashara za beach&hoteli mf Burji Alifa ambayo nayo iliathirika kidgo na vita, biashara ya Usafiri wa anga na ajabu biashara mbolea japo wao kilimo hawafanyi Kwa sehemu kubwa zaidi tu ya huyo Iran (km ulivyosema) na Lebanon sbbu sehemu kubwa ardhi Yao ni Jangwa..
Na pia mwezi 5-7 ni msimu joto Kali kumbukeni kombe la Dunia Qatar lilibidi ifanyike Mwezi 11-12 msimu barid(ilkuwa sio kwd tofauti na ilivyozoeleka mwezi6)..
So vita ikiendelea hii mwezi5/6 Iran na Israel na Marekani wakashambuliana kwenye hio mitambo ya umeme,gesi na mafuta Hilo joto lake na Hali ya hewa yake so poa, ripoti zinadai ikitokea hivyo hapakaliki.. Sasa huyo mtoa mada nae...
 
Kuandamana Ile si michongo ya Marekani na Israel Hadi bunduki baadhi yao viongozi maandamano waliopewa(Trump aliwahi ropoka hio) so Bado mtoto mdogo wewe au hujui na huna uelewa wa kuchanganua mambo...
Sasa mbona huyohuyo Mmarekani kwenye hiohio vita Kaua watoto wa shule,kalipua vyuo vya hao vijana wenu wanaondamana, hospitali na madaraja, mara anataka ailipue nchi nzima na nuclear bomb irudi stone age, sijui hata kama unajua maana stone age??
 
Heshima sana wanajamvi.
Si kawaida yangu kuchangia jukwaa hili lakini leo imenibidi nishiriki japo kwa uchache.

Iran ya Ayatollah ya mwaka 1979 hadi mwaka 2025 imeharibiwa vibaya mno.

Iran iliyoweza kumudu kuishi na vikwazo kwa muda mrefu sana kiasi miaka 47 sasa imefikia tamati.

Vita ya Iran na USA & Israel si vita vya kidini kama Watanganyika wengi wanavyofiki including Mohamed Said .

Vita vya Iran na USA & Israel unaweza kuviweka katika sehemu mbili kuu.
USA anaitazama vita hivi kiuchumi zaidi,hasa maslahi yake dhidi ya China inayotaka kuondoa ukuu USA.
Israel ni suala la usalama wake wa kuendelea kuwepo.

Uimara wa Iran kiuchumi,science & technology ni kitisho eneo lote la mashariki ya kati.Makundi mengi ya kigaidi kama Hizibullah & Hamas yalikuwa yakitegemea msaada ya kijeshi na fedha kutokea Tehran.Iran ikitetereka makundi yote ya kigaidi yatajifia taratibu kwakuwa hayatakuwa yakipata tena ufadhili kutokea Tehran.

Iran imara ni kitisho kwa mataifa yote ya middle east ndio maana mataifa yote ya mashariki yakati yakumbana na makombora ya Iran.Sasa hapo ukitia udini ni kijizima data na kuendeleza ushabiki wa kijinga.

Iran ya sasa imesambaratishwa vibaya mno.
Wananchi wa Iran walikuwa na uhaba wa maji kabla ya vita.
Ayatollah aliwekeza zaidi katika masula ya ulinzi na usalama.Badala ya kujenga miundombinu ya maji na umeme wa uhakika ilijikita zaidi kujenga makombora na mitambo ya nyuklia.

Iran inakwenda Islamabad ikiwa haina kadi ya maana labda mlango wa Hormuz ambayo pia USA kashauziba.
Iran ya Ayatollah 1979 imejifia kifo cha Mende.kauli mbiu yake kifo kwa Israel kifo kwa USA imegeuka kichekesho imewarejea wenyewe.

Mashabiki wa Iran ni wakati wa kukubali bila hiyana zama za kutamba na kufadhili makundi ya ugaidi umefika mwisho wa mwisho.
Iran ijayo itakuwa kama Iraq.

Ngongo kawasasa Tehran.
Kwani aliyeomba mazungumzo ni Iran au Marekani? Yani marekani ajue anashinda vita na bado asimamishe vita? Thubutu.

Mmarekani kakutana na kisiki cha mpingo. Muajemi kajiandaa kwa vita miaka 40+ ilikua suala la muda.

Mtaongeza hizo ceasire mpaka mtoke nduki...
 
Wasingeandamana vile na kuuwawa kama nzige. Tatizo watu mnasumbuliwa sana na ushabiki wa kidini.
Wameandamana sababu hela ya imeshuka thamani, Leo hii hata hapa Tanzania Dola ikiwa tsh 5000 ina maana overnight purchasing power ya MTU inashuka papo hapo. So watu wanaandamana kuongezewa hio purchasing power, ndio maana unaona Serikali ya Iran inaprint hela mpya na kuongeza mishahara kuendana na Hali mpya ya Maisha.
 
Sio kweli, ni maarufu pia Kwa biashara za beach&hoteli mf Burji Alifa ambayo nayo iliathirika kidgo na vita, biashara ya Usafiri wa anga na ajabu biashara mbolea japo wao kilimo hawafanyi Kwa sehemu kubwa zaidi tu ya huyo Iran (km ulivyosema) na Lebanon sbbu sehemu kubwa ardhi Yao ni Jangwa..
Na pia mwezi 5-7 ni msimu joto Kali kumbukeni kombe la Dunia Qatar lilibidi ifanyike Mwezi 11-12 msimu barid(ilkuwa sio kwd tofauti na ilivyozoeleka mwezi6)..
So vita ikiendelea hii mwezi5/6 Iran na Israel na Marekani wakashambuliana kwenye hio mitambo ya umeme,gesi na mafuta Hilo joto lake na Hali ya hewa yake so poa, ripoti zinadai ikitokea hivyo hapakaliki.. Sasa huyo mtoa mada nae...
Sasa Burj Khalifa ndio itazalisha mahitaji maalum kama ya chakula!??
Jamaa amekusudia crucial needs ambazo nchi inahitaji mathalan chakula. Leo hii Iran na nchi washirika wakigoma kuuzia Qatar na UAE chakula na hizo pesa zao za artificial tourism watafanyia nini!? Au watakula hizo pesa!?
 
Back
Top Bottom