Recent content by brave_3

  1. brave_3

    Nani anafaa kuwa Waziri Mpya wa Michezo?

    Arudi Mwakyembe
  2. brave_3

    Breakup is hard to do, kuachana kusikie kwa mwenzio

    Mkuu maumivu ya mapenzi yana Umri hayana mwanamke wala mwanaume utofauti utakuja kwenye mapokeo
  3. brave_3

    Karibu tujadili Ubovu wa Yanga kitaalamu.

    Mechi ya Juzi kule Misri wawa kampiga mtu mateke kusudi..
  4. brave_3

    Karibu tujadili Ubovu wa Yanga kitaalamu.

    Sio kwamba Yanga hawana Timu nzuri...wana timu nzuri ila hawana Kikosi kikubwa chenye kupambana Msimu Mzima... Kinacho tokea Leo ni matokeo ya kuwa na kikosi kidogo hakuna mbadala ..... Huwezi sema yanga hawana Timu nzuri lakini ukiangalia kwenye Mechi 25 Kapoteza mechi 1...
  5. brave_3

    Karibu tujadili Ubovu wa Yanga kitaalamu.

    Aina ya ubora wa Wa Yassin Mustapher na Adeyum Yassin ni mzuri sana kwenye kuzuia ana panda juu na ana rudi fasta kujaza nafasi pindi timu inapo pokonywa mpira.... Tofauti na Adeyum Kurudi ni mzito mmno kitu ambacho hata kwajana ilikuwa ni hatari mmno. Kiungo kikiwa hovyo Basi Fei Hawezi...
  6. brave_3

    Viongozi wa Yanga Jitokezeni Museme na Mashabiki Wenu

    kwanza kabisa nipende kutumia Nafasi hii kuwapa Pole Mashabiki Na Wapenzi wa Club ya Yanga kwa kipindi hiki ambacho timu ya Wananchi inapitia kwenye matokeo yasio ridhisha kwa mechi za mzunguko wa Pili tangu umeanza.... SWALI JE YANGA ILIKUWA TAYARI KUCHUKUA UBINGWA? Wakati ligi ina anza...
  7. brave_3

    Ujenzi Bandari ya Bagamoyo: Aliyemshauri vibaya Rais Magufuli ni nani?

    ikijengwa na ika kamilika hii bandari ya bagamoyo ipo siku Tuta mkumbuka JPM.... JPM alikataa yale masharti yaliyo kuwepo baada ya kuona ni unyonyaji ulio kidhiri.... Ndungai toka mwanzo alitaka hii bandari ijengwe.... Lazima uangalia kuwa hapa kuna kitu.. Ila sawa Wa afrika Ku uzwa tumesha zoea
  8. brave_3

    Kenya: Watu 279 wamedhurika baada ya chanjo ya covid19, mmoja afariki

    Tuendelee kujifukiza R.I.P JPM ulikataa chanjo ulikuwa una maono
  9. brave_3

    Wasanii walivyoboronga nyimbo za maombolezo

    Walio fanya Vizuri ni 1.Peter Msechu 2. Aslay 3. Konde Music
  10. brave_3

    Rayvanny; Nitaondoka WASAFI (WCB) kwa amani

    Boss wa WCB hataki kumaliza bifu na hizi media kubwa... Anajua kabisa ngoma zao ziki achiwa zipigwe kwingine media yake itayumba hato pata wasikilizaji...
  11. brave_3

    Ngorongoro heroes watolewa baada ya kufungwa 3-0 dhidi ya Morocco

    Toka nilivyo ona Walivyo cheza game ya kwanza ..nikasema siangalii tena
  12. brave_3

    Ukweli usemwe: Nandy ni msanii namba moja wa kike ambaye tumebarikiwa kwa sasa

    Sahizi kwenye bongo freva kila mtu anaona kuimba tungo zenye ukakasi ni fasheni....ukweli kuna nyimbo unasikiliza mwenyewe chumbani umejifungia huwez kusikiliza na watoto karibu..... kwa sasa kwenye uwandishi ambao ukisikiliza unaelewa kimeibwa nini ni nyimbo zinazo zalishwa chini ya KING Music
  13. brave_3

    Nasumbuliwa na maradhi ya tumbo na tonsils mara kwa mara

    Funga safar mpakA mpanda[emoji4]
  14. brave_3

    GE2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    Kituo nilicho pigia kura hakina watu kabisa. Nimekuta watu 10 mimi nikiwa wa mwisho. Mpaka sahizi mtu ni moja mmoja sana. Mwitikio umekuwa mdogo sana watu kupiga kura
Back
Top Bottom